Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hakutumia busara yaani mpaka kamuita Stupid president aiseeMatokeo yake Trump ndo kadhalilika, alitegemea mteremko kama viongozi wa shithole countries
Huyo ndo Rais sasa, ulitaka awe kama hawa marais wetu wa shithole countries? Mwamba kavamiwa na Putin hajakimbia anapambana, Trump naye anataka rasilimali za nchi yake kiutapeli mwamba kadinda.Huyu alitakiwa awe kichekesho tu na sio Rais
Na Trump kafanya makusudi ili amdhalilishe
Aliyeitwa stupid president ni bidenHakutumia busara yaani mpaka kamuita Stupid president aisee
Zele kwa lile jicho nilisema anamzaba Kofi Trump
Asingeenda baada ya kuitwa Dictator
KumbeAliyeitwa stupid president ni biden
Trump kasema Rais mpumbavu Biden alitoa pesa za wamarekani kuisaidia UkraineUmesikiliza mazungumzo ya Trump na Zele?
Trump ndio kamuita zele mpumbavu anaetaka kuanzisha vita vya tatu
Mtazamo wako mkataba waliompa uliona kwako ni sahihi....zoba sana.....unatunisha vipi misuli kwa mtu kama Trump ?!!
Ama alikuwa ndotoni akidhani pembeni yake yuko Rais Joe Biden ?!!ha ha ha
Alichofanikiwa huyo Magufuli wako ni kutoishi muda mrefu ktk Uraisi, vinginevyo angepakwa mafuta na angelegea kama Bafro kwenye chai.Magufuli aliwajua mapema hawa wazungu hakuna kitu cha bure
Mpaka sasa hajaelewa.Hii ni point kubwa sana mkuu asipokukuelewa achana naye
Shida ni kwamba wasingefika kote huku kama wangemsikikza Russia wao wakakubali kudanganywa. Sasa hivi wamekimbiwa.Sawa.
Lakini wakiona wananyanyaswa na USA ni haki yao kuamua kuachana na msaada wa USA na kupigwa katika hizo wiki 3.
Nchi yao, maisha yao, vita yao.
Shida iko wapi?
Kwa nini unafikiri kuwa wameingia katika vita kwa kukubali kudanganywa na wasingedanganywa wasingeingia katika vita?Shida ni kwamba wasingefika kote huku kama wangemsikikza Russia wao wakakubali kudanganywa. Sasa hivi wamekimbiwa.
Walishaambiwa wasijiunge na NATO kwa makubaliano kabisa wao wakakaidi.Kwa nini unafikiri kuwa wameingia katika vita kwa kukubali kudanganywa na wasingedanganywa wasingeingia katika vita?
Unawezaje kusema hivyo kwa watu wanaotetea ardhi ya nchi yao?
Nchi huru ina uhuru wa kujiunga na organizations zozote inazotaka, sasa kwa nini unataka nchi huru isiwe na uhuru wa kuamua inataka kujiunga na organization gani?Walishaambiwa wasijiunge na NATO kwa makubaliano kabisa wao wakakaidi.
Igizo la kumuhadaa putinamini kwamba ile ni deal na drama na distraction ni part ya mbinu
👍Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
You simply couldn't comprehend the tone and body language if US leaders; that was not a diplomatic one. They provoked Zelesky on purpose for him to make some statements they had waited for. Be keen.From your foggy orchard, you misconstrued the each bit of situation as it was unfolding. Of course well aware of threats lying ahead, Zelensky stood his ground, while amplifying his position by highlighting the historical perspective of the conflict.
Upumbavu wake ni kuingia vitani na nuclear powered state which made Hitler shit in his pants.Mkuu kwahiyo upumbavu wake ni kukataa kuwa mnafki sio?
Last time I checked Russian troops ndio wapo Ukraine, Ukrainians are just defending themselvesUpumbavu wake ni kuingia vitani na nuclear powered state which made Hitler shit in his pants.
Cross check your facts on agreements on West expansion to the East. Continue checking.Last time I checked Russian troops ndio wapo Ukraine, Ukrainians are just defending themselves