Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes..Mbowe mashine ww..yule bamia na nyanya chunguDuu kweli Mbowe mashine kubwa kisiasa Jiwe hamkuti hata kwa chembe
Kwann mkimbie na mpira kuogopa mechi ya uchaguziHoja na vitendo, nikukumbushe tu awamu hii ni ya vitendo zaidi, na vishindo vyake vimeua kabisa dalili za hoja zozote toka upinzani dhaifu.
Kwa aina hii ya upinzani tungechelewa sana kupata Uhuru au tusingeupata kabisa.Kwann mkimbie na mpira kuogopa mechi ya uchaguzi
Bado hatua flan hivi muhimu ndio tutaheshimiana nchi za Africa hazijifunzi miaka nenda Rudi trend za injustice zinajirudia kila nchi bado hatua muhimu iliyo kuu ya majuto kwa wote wanaochekelea dhuluma Leo ikishafika hiyo stage ukombozi wa kweli utakuwa umefika rasmiUwa tunawaambia wanajifanya kisiwa niliona bbc walivyokuwa waki dicscus ili jambo tena kupitia world service focus in africa ilikuwa ndio trending news from africa.
Bado hatua flan hivi muhimu ndio tutaheshimiana nchi za Africa hazijifunzi miaka nenda Rudi trend za injustice zinajirudia kila nchi bado hatua muhimu iliyo kuu ya majuto kwa wote wanaochekelea dhuluma Leo ikishafika hiyo stage ukombozi wa kweli utakuwa umefika rasmi
Kwa aina hii ya upinzani tungechelewa sana kupata Uhuru au tusingeupata kabisa.
Hamjajifunza hata kwa uchaguzi wa marudio wa Zanzibar mlipo wasusia ccm wakala mboga na ugali wote huku nyie mkibaki mmewakenulia meno wazungu
Hawa ilikuwa enzi za Kikwete, ni afadhari kidogo.
Wazarendo, sio Wazalendo hao!Ngoja tuone,vibaraka na wazalendo nani ataibuka kidedea
Sera waziuzie chooni kwako kama wamefungiwa wasifanye siasaYa mabeberu waachie mabeberu...
Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.
Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.
Hiro riafande riko kama RPC wa kanda moja Maalumu hapa nchini.
Kama Sera za Chadema ni mbovu, mnaogopa nini nyinyi maccm, kuruhusu viongozii wake wagombee ili wananchi ndiyo wawakatae??Ya mabeberu waachie mabeberu...
Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.
Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.
Nitaendelea kuwaamini wazunugu kuliko hawa wazalendo wapumbavu.
Tunajua tunapendwa ila miwananchi haiwezi kutuchagua maana ni miwakala ya mabeberu, sisi wazarendo CCM!!!Kwa kasi ya awamu ya tano, kuna mbadala ya sera kweli?? bora mmezuga kutojua kujaza fomu ili mkimbie aibu ambayo ingewakuta.
Ya mabeberu waachie mabeberu...
Hapa kwetu wapinzani badala ya kuuza sera zao , wapo busy kuangalia matangazo ya vyombo vya habari vya kimataifa.
Ninaamini kabisa sera za Chadema ni mbovu na hazitekelezeki ndio maana wameemua kucapitalize kwenye matukio badala ya kumwaga nondo.