Ati mademu wa... wana UTIWasituletee ustaaa
Sisi wenyewe mastaaa
Hainaga shobo mwanangu...Unataka Rrrrr na hauna salio? Nyoo
Hainaga shobo mwanangu 🤣🤣🤣
Kiruuuuuu 🤸♂️🙄
Awoteeee 🤣🤣🤸♂️🤸♂️Ati mademu wa... wana UTI
Mademu wa... Wana viuno vigumu...
Mademu we... Wanaomba sana vocha...
Mademu wa... Ni wabishi...
Hahahah...
Hatushobokei ustaa...
Mna viuno vigumu ati...Awoteeee 🤣🤣🤸♂️🤸♂️
Eti tunaomba sana vocha… khaaa 🤣🤣Mna viuno vigumu ati...
Mabantu hao...
😅 Niombe tu...Eti tunaomba sana vocha… khaaa 🤣🤣
Naam, hilo sishangai mashetani huwa mmefungiwa.Na usisahau kitimoto huwa inabaki nyingi sana wakati wa mfungo wa Ramadhani... Hata huko kwenye rost au kavu nako huwa inabaki nyingi sana kipindi hicho..
Hakuna tatizo hata akishutia Kaburini, bali mimi sio co-director kumpangia kama yeye asivyo na uwezo wa kunipangia mimi kama mlaji kipi niangalie na kipi nisiangalie, nikiona kitu sikipendi taacha kuangalia lakini sio kumpangia cha kufanya....Kwani kuna tatizo akishutia msikitini,
Swali Ni mtaruhusu? Sasa sijaona kama umejibu hapoNimeshajibu
Urudi ueleze maana yako ya sacrifice,Huelewi unachokisoma hakuna Mwenyezi Mungu alipotoa sacrifce, hilo ni agizo kwa Ibarahim.Na ambalo Waislaam mpaka leo hii, wanachinja kila Eid Al Ad'ha au Eid Ahaj.
Tunaochinja hao wanyama ni sisi binadam kwa faida yetu sisi, Mwenyezi Mungu haihitaji hiyo nyama. Nyama ya hao wanyama wanaochinjwa huliwa na sisi binadam, inatawanywa karibu na inapochinjwa kwa yeyote na wanapotosheka inagawanywa duniani kote wanapohitaji, mpaka tanzania huwa inaletwa.
Hapo ndipo tulipopata mafundisho ya uchinjaji huo wa wanyama. Hakuna kinyume chake kama unavyojaribu kupotosha wewe.
Sasa fananisha hiyo na nyie mnaekula nyama ya Yesu na kunywa damu yake. Tena cha kushangaza huo mnaosema mwili wa yesu mnaupika kwa mashonde. Bisha nikupe aya ya biblia.
Tena kwa kukukumbusha tu, Tanzania bei ya kondoo na mbuzi hupanda sana kipindi cha Eid kuliko wakati wowote.
Ma shaa Allah, mafundisho ya Qur'an ni faida juu ya faida juu ya faida. Kumbuka hilo.
Kwani imelenga kanisani!!!???? Ukiusikiliza huo wimbo unaona kulikuwa na sababu ya kuhusisha kanisa?Kwani wimbo wake umelenga msikitini?
Katikati ya huduma ya uimbaji (injili) mtu anapokea sim ya mapenzi na kuondoka akiwaacha wenzake wakiendelea na huduma! Hiyo ina tafsiri kuwa mapenzi/zinaa ni muhimu zaidi ya ibada. Ni dhihaka na kufuru kwa Mwenyezi Mungu.Wewe niambie kwenye huwo video wa wimbo wake wapi unaona unamakosa tuanzie hapo kwanza
Ila mwezi unaruhusiwa msikitini!!!??Biblia inasema kama aliyetundikwa msalabani ana laana, msikitini hakuna laana.
Wangeimba kaswida, kwani wimbo wao unahusiana vipi na kwaya!!!???Msikitini huingii mpaka uwe na udhu(isiwe na janaba)..msitini huwa hapaimbwi Wala kupigwa vinanda,sini yao ni kuimba kwaya,tangu lini kwaya ikaimbwa msikitini!!?
Kumbe mashetani mwezi wa ramadhani ndo huwa yamefunga!!??? Asante kwa elimu. Kwahiyo now yamefungua!Naam, hilo sishangai mashetani huwa mmefungiwa.
Hiyo haikuwa ibada ilikuwa ni mazoezi ya kwayaKatikati ya huduma ya uimbaji (injili) mtu anapokea sim ya mapenzi na kuondoka akiwaacha wenzake wakiendelea na huduma! Hiyo ina tafsiri kuwa mapenzi/zinaa ni muhimu zaidi ya ibada. Ni dhihaka na kufuru kwa Mwenyezi Mungu.
Hawaimbi kaswidaWangeimba kaswida, kwani wimbo wao unahusiana vipi na kwaya!!!???