Diamond dhidi ya TRA tuko naye, ila kauli zake!


Mkuu siasa hazipaswi kuchukuliwa personal. Ni muhimu kutenganisha watu na siasa. Hapa ndipo ule msemo "hakuna rafiki au adui wa kudumu bali agenda" huigia kazini.

Diamond kutendewa ndivyo sivyo si haki ila sasa haya anayosema ndipo ulipo utoto wake ulipo.

Au nasema uongo?
 
Kauli inaonyesha unaweza kuwa msanii mkubwa lakini ni empty set. Alipe tu Kodi, watu waendelee kula plau.
 
Jongwe kasema wenye akili wataelewa.

Ni upumbavu kudhani chama Cha upinzani ndio kimekukalia kooni.

LIPA KODI hio halafu tutajidiliane mambo magumu kwa mustabali wa nchii hii sio kukata mauno jukwaani na kusema "eti mumeipende wenyewe" haya Sasa " hamnywi sumu , hamjinyongi" ila maumivu mnayaoata vile vile.

Siku mkianza kutumia akili zenu barabara! Itapendeza sana

Kwasasa LIPA hizo Kodi wanachi wa kule mahezanulu wapate maji ya bomba na umeme.
 
Au kama vipi wekeni upinzani hapo TRA wote wazifuatilia Kodi vizuri[emoji1787][emoji1787]
 
Napenda kulipa Kodi ila TRA hawana credibility kwenye maisha yao ya kawaida na maendeleo yao mmoja mmoja tunawajua wanaojilimbikizia Mali wasizofanana nazo Kwa vipato vyao.
 
Wafuatailie kabrasha zote

Huyu dogo atakua mkwepakodi mkubwa
 
Lipa KODI acha kuandika ujinga
 
Mkuu hujawahi kukutana na hao TRA wanamaneno ya shombo na wanafanya kwa kauli mbiu SI MLIICHAGUA WENYEWE CCM sasa kwa kauli hiyo wewe unaelewa nini?
Acha ukabila , huo ni upumbavu unashindwa kulipa Kodi unajishika na chama au ukabila,
Hizo akili zako Zina matatizo,
Kodi ni kwa manufaa ya taifa zima
 
Acha ukabila , huo ni upumbavu unashindwa kulipa Kodi unajishika na chama au ukabila,
Hizo akili zako Zina matatizo,
Kodi ni kwa manufaa ya taifa zima
Unajua nakuheshimu sana na sababu kubwa inayonifanya ni kuheshimu ni kuwa wewe ni mjinga sana. Ungekuwa unatakka kulika kodi usingepinga tozo?
 
Awasiliane na wakubwa wa chama chake cha akina Kanumba maana TRA wanafuata maelekezo kutoka kwa mkali Lucifer
 
Mkuu mbona sijaona ubaya wowote wa chadema. Kiuhalisia hapa diamond ndo kaukosea upinzani maana kusema utafikiri pale tra kuna wapinzani inaweza kutafsiriwa vibaya
 
Kwani shidaau madai ya huyu Bwana ni yapi....TRA wana mwonea au issues za tax zomekaaje kwake,
Kiufupi asipanic akae na hao viongozi wa TRA na Wenye mamlaka ya fedha wajue namna ya kumsaidia lakini siyo kubwatuka huku mtandaoni......kama kaweka uwekezaji mkubwa wenye mabiliion ya fedha basi waangalie namna ya kulipa Kodi kwa ufasaha
Vilevile nimegundua huyu kjana Hana washauri wazuri kwenye maswala ya fedha
 
Mkuu mbona sijaona ubaya wowote wa chadema. Kiuhalisia hapa diamond ndo kaukosea upinzani maana kusema utafikiri pale tra kuna wapinzani inaweza kutafsiriwa vibaya
Kwa CDM neno “upinzani” lina connotation la vyama vya siasa; bila ya kujali limetumika katika mazingira gani.

Sometimes neno liangaliwe katika context ya argument, nadhani upinzani kwa Diamond alimaanisha kama vile wasafi inaugomvi na TRA.

It doesn’t make sense kuwahusisha upinzani wa vyama vya siasa na madai yake ya TRA. Tatizo CDM kutaka kujipachika kwenye kila mgogoro ndani ya jamii; that’s my take.
 
Asante sana mkuu hata mimi pia umenifungua akili.
 
Kama hesabu zake ziko sawa ana hofu ya nini? Hajui kwamba kadhia kama hizi zinawakuta watu kila siku. Yeye analipwa hela nje ya nchi ananunua, anawekeza, lazima wamhoji vyanzo vyake na wadai Kodi zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…