Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?
Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?
Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.
Embu tuambie ni sheria gani inayosema ivyo, na section ipi; hili na sisi wengine tukasome.Unaposema TRA wafuate taratibu, ungeeleza ni taratibu gani walizokiuka. Najua kufungia account ya bank ya mdaiwa sugu wa kodi bila taarifa, ipo kisheria, kwa kadiri ya sheria iliyopitishwa na hilo linaloitwa Bunge.
Hizi zama si za Jakaya kwa kishindo tunaitika ZILIPENDWA by Diamond aka mhutu.TRA kama ilivyo kwa Polisi, LATRA, Takukuru, EWURA, TCRA na wengine wa namna hiyo malamiko dhidi yao yanajulikana.
Hakuwahi kusikia malalamiko ya watu wengine dhidi ya mamlaka hizi ikiwamo TRA?
Haihitaji kumiliki basi kujua ndivyo sivyo za LATRA, au kuwa na gari au kituo cha mafuta kujua fyongo za EWURA.
"Nani wamekuwa na uthubutu wa kuwaongelea wahanga wa mamlaka hizi bila kujali kulipiziwa visasi? Hii ikiwa hata bila ya wao kuwa wameguswa moja kwa moja? Wengine ninyi si imekuwa kusema hadi mkaliwe kooni wenyewe tu?"
View attachment 2465114
"Ubinafsi wenu si ndiyo unaowapa nguvu miungu watu hawa waliopaswa kukusikiliza wewe na badala yake wapo kukunywesha maji kwenye karai?"
View attachment 2465589
Kwani yeye alidhani kelele za wapinzani siku zote zilikuwa kuhusiana na nini kumbe? Kwani hakujua kwanini tulishangaa na wimbo wake "baba letu?"
Tofauti yao na yeye kwenye hili analoliongea sasa si ni kuwa leo yeye ameguswa tu? Wenzake kwao sera zote za kigandamizi ni mwiba usiovumikika hata kama wao haziwagusi moja kwa moja.
Na huu sasa si ndiyo uzalendo?
Kataa wahuni kwa Tanzania ya haki.
Wahuni siyo watu wazuri!
----------
Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu
Ndomana sinaga habari wala kuwasikiliza hawa wasanii wa kibongo
Ninawezaje kuficha upumbavu wangu wakati upumbavu ni kipawa anachotoa Mungu.
Sanduku la kura gani hili linalosimamiwa na Wakururugenzi,police na watendaji wa vijiji na kata?Ndugu kwanza TRA sio kitengo cha CCM ndio maana kwenye kudai kodi akijali mwenye biashara yupo chama gani. Kwa ivyo mfanyabiashara yoyete anapokutana na kadhia akazungumza ni kwa maslahi yake.
Pili lengo kubwa la taasisi ya chama cha siasa kukusanya mawazo ya jamii yake na kutengeneza opinion, so kama wanaona TRA inafanya kazi ovyo au kuna sheria inawapa watu nguvu wao wataelezea mapungufu yake na kutaka mabadiliko.
Opinion ya chama lengo ni kushawishi wananchi wa support kupitia sanduku la kura kwa utashi wao, lakini uwezi laumu raia au wafanyabiashara regardless ya support ya vyama vyao kwa kuto support ideas za chama fulani hadharani because of their influence kwenye jamii kwa sababu zingine.
Huo ni utoto, pambana vita yako usilazimishe watu waunge mkono movement zako kwa njia ambazo awazani ni sahihi kwao.
Hii concern nadhani inataka mada yake pekee, vinginevyo tutakuwa tuna diversify mada ya watu tukianza kuingiza changamoto za uchaguzi.Sanduku la kura gani hili linalosimamiwa na Wakururugenzi,police na watendaji wa vijiji na kata?
Waache walalamike na kulialia mambo yakiwaendea vizuri kwa katiba Mbovu wanajiona wajanja. Yakikaa vibaya wanataka tuwasaidie kulia.KATIBA MPYA NI SASA NA YEYOTE ATAKAE PINGA NI BORA EITHER ATOWEKE AMA AUNGANE maana asipofanya hivyo lolote litakalomkuta kutokana na katiba mbovu asilalamikie mitandaoni ili kutafta huruma bali apambane mwenyewe.
Sanduku la kura gani hili linalosimamiwa na Wakururugenzi,police na watendaji wa vijiji na kata?Ndugu kwanza TRA sio kitengo cha CCM ndio maana kwenye kudai kodi akijali mwenye biashara yupo chama gani. Kwa ivyo mfanyabiashara yoyete anapokutana na kadhia akazungumza ni kwa maslahi yake.
Pili lengo kubwa la taasisi ya chama cha siasa kukusanya mawazo ya jamii yake na kutengeneza opinion, so kama wanaona TRA inafanya kazi ovyo au kuna sheria inawapa watu nguvu wao wataelezea mapungufu yake na kutaka mabadiliko.
Opinion ya chama lengo ni kushawishi wananchi wa support kupitia sanduku la kura kwa utashi wao, lakini uwezi laumu raia au wafanyabiashara regardless ya support ya vyama vyao kwa kuto support ideas za chama fulani hadharani because of their influence kwenye jamii kwa sababu zingine.
Huo ni utoto, pambana vita yako usilazimishe watu waunge mkono movement zako kwa njia ambazo awazani ni sahihi kwao.
Siyo changamoto za Uchaguzi ni mipango ya ccm kuendelea kutawala vyama vingingine kwa kisingizio cha Sanduku la kura.Hii concern nadhani inataka mada yake pekee, vinginevyo tutakuwa tuna diversify mada ya watu tukianza kuingiza changamoto za uchaguzi.
Kama ni kweli usemayo kwa nini Serikali haijawashughulikia hao wanaonynyasa Wananchi kisa waliichagua CCM? Tukiwa kwenye mambo serious tuwe serious pia. Tusipende kutumia hearsay kwenye mambo serious, tutakuwa hatuitendei haki Serikali yetu.Ndiyo maana kawambia pale TRA kuna wapinzani; na kwamba sababu za yeye kufutwa ni kwa sababu aliinga mkono CCM. Hivyo wapinzani wanamchukia, na mawakala wao kwenye serikali wanatumia nafasi zao kumkomoa. Tunajua TRA wamejaa wachagga ambao wengi ni CHADEMA NA WANAFANYA HIVYO KWA KIBURI KABISA KWA KAULI MBIU- MLIICHAGUA CCM NGOJA MUONE
Diamond huyo kasema, wengine wanawaroga kesi inaishaKama ni kweli usemayo kwa nini Serikali haijawashughulikia hao wanaonynyasa Wananchi kisa waliichagua CCM? Tukiwa kwenye mambo serious tuwe serious pia. Tusipende kutumia hearsay kwenye mambo serious, tutakuwa hatuitendei haki Serikali yetu.
Ni kweli TRA wana changamoto zao lukuki za uendeshaji ingawa kuwaita Chama cha Upinzani si sahihi.Labda kama wewe ni TRA mwenzao au huna uzoefu na biashara yoyote. Fungua biashara yoyote halali kisha utuletee mrejesho hapa.
Na hapo ndipo kauli zake zinapotukwazaNi kweli TRA wana changamoto zao lukuki za uendeshaji ingawa kuwaita Chama cha Upinzani si sahihi.
Amekosa la kunena, hivi hana accountant wake wa kujitetea ulipaji huuNi kweli TRA wana changamoto zao lukuki za uendeshaji ingawa kuwaita Chama cha Upinzani si sahihi.
Amekosa la kunena, hivi hana accountant wake wa kujitetea ulipaji huu
Yeye aimbe tu mambo ya kodi wapo anaowalipa walizungumzie yeye atabwabwaja tu na kutafuta sympathy [emoji28] ambapo pia kaikosa kwa kuingiza siasa
Elimu baba [emoji1]Nakazia:
".... kwa kuingiza siasa kijinga."
Chadema ipi inayopiginia wananchi? Chadema hii mwenyekiti wake anashinda Ikuru kulamba asali 🤣🤣 vijana wa Chadema acheni kuturagai.
Anaitabiria mema CDM!!!Yaani kudaiwa kodi tu kashaanza kuhisi TRA kuna chadema🤣🤣