Diamond kaniponza jamani

Usijali atarudi tuu kama kweli ana kupenda.
 
Hahahaaaa..... Ur fake story is "made in Tanzania".
 
Haha haa,pole sana inawezekana kuna kitu kakumbuka..binafsi kuna dem wangu siku moja alikua anamuongelea jamaa mmoja kuwa anasikia watu wanasema ana 'mguu' mkubwa sana..hivi karibuni nimepata tetes kuwa demu wangu anatembea na huyo jamaa..ila kwa sasa nafanya uchunguzi nikithibitisha nitarudi hapa..
 
Huyo mshamba 2 unamsumbua au nae tozi sasa hawakubali matozi wenzake
 
Yaaan namuona ana mambo ya kitoto kweli,duuuu ctarudia tena kumbe ni hatari mm nilikua cjui

Umeamua kuponda naye yuko huku anafuatilia uzi, ndio maana uchumba na ndoa imekuwa vurugu siku hizi
 
Mimi huwa siongelei msichana nikiwa na mtu wangu, mara nyingi tutaongelea maisha yetu tu
 
Wivu tu unamsumbua hakuna kingine hapo..sasa ushajua upo na mtu wa hainagani siku nyingine ujiepushe kusifia watu mbele yake.,
 

mama wengine watajua unamuita damondo kijanja
 
Subiri siku naye aanze kukwambia anamkubali sana lulu, na kumpa sifa kibao.
 
black more
shiling 10000 kwa pea


serfin more
shiling 10000 kwa

pea

orange more shiling 10000
kwa pea

gapi wekundu
shiling 10000 kwa pea

gold fish
shilingi10000 kwa pea.
na aina nyingine nyingi

Mawasiliano 0712505049
picha utaziona whats app maana nipo katika hatua za mwisho kufungua website
 
Subiri siku naye aanze kukwambia anamkubali sana lulu, na kumpa sifa kibao.

Najua kbs nguvu za kumpata huyo lulu cjui masogange hana,lbd aende kwa mganga,akaloge,ss mm wivu wa nn while i no ma men status,ata awacfie mpk asubui presha cna.
 

Ndo nn
 
Kama mmeo yupo jamiiforums atakuwa ashajua kuwa umekuja kumtangazaaa..

Hayupo hilo nina uhakika nalo nishakagua cmu,laptop,vyote yaan,na c mpz sana wa hzi mambo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…