Diamond Platinumz amiliki gari ya thamani kubwa

Diamond Platinumz amiliki gari ya thamani kubwa

Ni mtazamo tu maana hata Jay Dee na AY wanayo uwezo wakutosha sana ila wanatofautiana kwa LIFE STYLE.
Kwa niaba yako nampa hongera.
 
Kwa shoo zipi anazofanya? tunatakiwa tuvumbue macho sasa. Je analipa kodi ya mapato kama anavyopata?
Anafanya shoo wapi na wapi mpaka anapata hela nyingi hivyo?
ana vitega uchumi vp ambavyo vinampa kipato tofauti na muziki?
Nahitaji kulijua zaidi soko lake la muziki na VYANZO VYA MAPATO kabla sijasema neno katika Uzi MAALUM

Ukitaka hayo TRA waanze kujiuliza, ni pale Diamond atakapotangaza atazunguka nchi nzima kumpigia kampeni Dr Slaa.
 
wekeni picha ya hiyo gari yke.

kama hii

images
 
hapa anzungumziwa dearmonde wewe kadinda unamleta wa nn, unamuuza??

U-smart anautinga majumba mandinga ya almasi,je kwa hii mistari nayo ni ujinga? Hauwezi kumtenga Martin na Diamond,Wema meneja wake ni Martin,Diamond mkewe ni Wema,So Martin anam-manage mke wa diamond.
 
mmh Labda Kama chief kiumbe amemuuzia.. maana ile Gari ilikuwa ya chief kiumbe ..
 
Pampers ni aina ya diapers,zipo aina nyingi ni sawa na kusema kituo cha mafuta kampuni ya Puma ukasema nipo Sheli ya Puma yote ni makosa,hauwezi kwenda dukani na kusema nipe pampers za pinpon hayo ni makosa,Barabara=Road hauwezi kurudia na pia hauwezi kusema naenda benki ya CRDB ni kosa sema naenda CRDB.

Tuwekee bango la CRDB tukuamini.
 
Pampers ni aina ya diapers,zipo aina nyingi ni sawa na kusema kituo cha mafuta kampuni ya Puma ukasema nipo Sheli ya Puma yote ni makosa,hauwezi kwenda dukani na kusema nipe pampers za pinpon hayo ni makosa,Barabara=Road hauwezi kurudia na pia hauwezi kusema naenda benki ya CRDB ni kosa sema naenda CRDB.

Makosa yanini wewe wakati hata wewe kuna vitu huvijui kuwa vilianzia kwa majina mengine na yakawa mengine baada ya muda hata Yeshua akawa Jesus na unamuita kwa jina hilo kila siku ambalo mwenyewe alipokuwepo hajawahi kulisikia hata siku moja.

Kanata imekuwa Canada ni lini wewe uliita Canada kwa jina lake sahihi Kanata?

Mfano mwingine ni Tabloid, ni nani leo hii a/ukisikia au a/ukisoma neno tabloid a/unalihusisha na vidonge vya dawa?
 
We mama umeshaanza kuchanganya madawa, jina sio "kilwa road", ni kilwa.
Tunasema barabara ya kilwa, hatusemi barabara ya kilwa road.
Tunasema barabara ya Morogoro, sio ya Morogoro road.

Hata kwa kingereza huwezi kusema" the road of kilwa road" kwa kiswahili sasa ndio utaonekana kituko maana utalazimika kusema "barabara ya kilwa barabara"

Tunasema barabara ya Kilwa Road kama tunavyosema Benki ya NBC au Benki ya CRDB. Hakuna makosa. Ingekuwa tunatumia lugha moja ndio kosa.

Mtu anakuuliza unaenda wapi, unamwambia nakwenda bendera tatu, hizo bendera ziko wapi? au unamwambia nakwenda mnazi mmoja, huo mnazi uko wapi? na hakuna kosa ulifanyalo, ni utamu wa lugha.

Mie mpaka leo makutano ya Msimbazi na Pugu road napaita DMT, hiyo DMT iko wapi? au wewe uliyezaliwa baada ya kufa DMT hapo utapajuwa? lakini nalo si kosa.
 
Makosa yanini wewe wakati hata wewe kuna vitu huvijui kuwa vilianzia kwa majina mengine na yakawa mengine baada ya muda hata Yeshua akawa Jesus na unamuita kwa jina hilo kila siku ambalo mwenyewe alipokuwepo hajawahi kulisikia hata siku moja.

Kanata imekuwa Canada ni lini wewe uliita Canada kwa jina lake sahihi Kanata?

Mfano mwingine ni Tabloid, ni nani leo hii a/ukisikia au a/ukisoma neno tabloid a/unalihusisha na vidonge vya dawa?

Dada ulipotelea wapi? nilikumiss sana
 
hilo gari sio lake amepigia picha tu ku make story mitandaoni na kwa magazeti ya udaku na ndo maana kama umeona picha aliyopiga na gari hilo ameficha namba za mwanzo za usajili wa gari hilo ili asije akaumbuliwa kuwa gari si lake
 
Faiza, usitake kulazimisha mazoea yawe sheria, namaanisha, kusema Naenda benki ya CRDB au naenda benki ya NBC ni makosa, sio sahihi, unatakiwa kusema naenda NBC, hapo tayari mtu ataelewa kuwa unaenda benki, kwa sababu kwenye NBC tayari neno benki limo, kusema Benki ya NBC ni kurudia neno benki mara mbili, yaani, ni sawa na kusema "Naenda kunywa maji ya kunywa.
Tunasema barabara ya Kilwa Road kama yunavyosema Benki ya NBC au Benki ya CRDB. Hakuna makosa. Ingekuwa tunatumia lugha moja ndio kosa.

Mtu anakuuliza unaenda wapi, unamwambia nakwenda bendera tatu, hizo bendera ziko wapi? au unamwambia nakwenda mnazi mmoja, huo mnazi uko wapi? na hakuna kosa ulifanyalo, ni utamu wa lugha.

Mie mpaka leo makutano ya Msimbazi na Pugu road napaita DMT, hiyo DMT iiko wapi? au wewe uliyezaliwa baada ya kufa DMT hapo utapajuwa? lakini nalo si kosa.
 
Hakuna utetezi wowote hapa, tunazungumzia kurudia neno moja mara mbili, sio majina yaliyobadilika.
Makosa yanini wewe wakati hata wewe kuna vitu huvijui kuwa vilianzia kwa majina mengine na yakawa mengine baada ya muda hata Yeshua akawa Jesus na unamuita kwa jina hilo kila siku ambalo mwenyewe alipokuwepo hajawahi kulisikia hata siku moja.

Kanata imekuwa Canada ni lini wewe uliita Canada kwa jina lake sahihi Kanata?

Mfano mwingine ni Tabloid, ni nani leo hii a/ukisikia au a/ukisoma neno tabloid a/unalihusisha na vidonge vya dawa?
 
Back
Top Bottom