Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, unaniacha hoi tu unaposema " u-smart anautinga majumba mandinga..."U-smart anautinga majumba mandinga ya almasi,je kwa hii mistari nayo ni ujinga? Hauwezi kumtenga Martin na Diamond,Wema meneja wake ni Martin,Diamond mkewe ni Wema,So Martin anam-manage mke wa diamond.
Mkuu, kwani bango ndio nini!??, hao CRDB wenyewe wamekosea, hutakiwi kusema CRDB Bank, unatakiwa useme CRD Bank au useme tu CRDB.
Hakuna utetezi wowote hapa, tunazungumzia kurudia neno moja mara mbili, sio majina yaliyobadilika.
mmh Labda Kama chief kiumbe amemuuzia.. maana ile Gari ilikuwa ya chief kiumbe ..
Hatutaki mambo ya kuzoeleka, tunataka kujua je, ni sahihi??Kurudia neno moja mara mbili kwa jina ambalo limezoweleka hususan unapotumia lugha mbili tofauti si tatizo.
Gari ya gharama,halafu kapanga,haya haya ya Kanumba
Ahsante, ni majukumu tu.
Itakuwa BMW X6 mzee! Ila sasa kwa bongo ni msanii gani anaimiliki? Labda presidenti mwenyewe!
Hatutaki mambo ya kuzoeleka, tunataka kujua je, ni sahihi??
^Hatutaki mambo ya kuzoeleka, tunataka kujua je, ni sahihi??
^Ni sahihi kabisa.
Inaezekana maana chief Kiumbe alikuwa haitumii namba, alikuwa anatumia kibao cha jina lake KIUMBE. Nashangaa eti gari mpya ina namba B wakati B ni ya mwaka juzi.
Wewe unatangaza magari ya wanaume wenzako utatangaza lini ya kwako.Msanii wa kizazi kipya diamond platinumz sasa anamiliki gari aina ya land cruiser v8 mpya! Rekodi ambayo Haijawai kuvunjwa na msanii yeyote ktk nchi hii! Ikumbukwe v8 ni gari la kifahari linatumiwa na viongoz wa juu nchini km waziri mkuu na baadhi ya mawaziri ! Inakadiriwa kuwa na dhamani ya mil 300! Ni dhahiri shairi huyo kijana sasa ametoka! ! Hongerasana naseeb!
hakika kama muziki ungekuwa unalipa kutokana na namna unavyoumiza kichwa katika kuandika mashairi basi huyu jamaa angekuwa anaendesha ferrari achana na v8! Big up fid
LAND CRUISER VX V8 ni bei kubwa kuliko BMW X 6.......V8 INAANZIA GBP 65,000 wakati X6 INAANZIA GBP 48,000 kwa maana hio ukiwa na GBP 48,000 unaweza kuendesha X6 LAKINI HUGUSI VX V8
Toyota Land Cruiser V8 | Specs & Prices | Toyota UK
NCC

![]()
"ukishindwa kujiandaa jiandae kushindwa mjinga utaachwa unashangaa kumuona martin kadinda u-smart anautinga majumba mandinga ya bwana almasi,je hizi tracks za harakati ni ujinga? Hapana nguvu ya mamba ni maji na umaarufu au kutamba kushika namba ni bahati"
Ndiyo kapanga SinzaUna hakika kuwa kapanga?? Au uko Mpanda??