Diamond Platnumz ang'ara kwenye jarida la Billboard kwa kufanya vizuri Youtube

Mimi sio kama wewe. Am free soul. Wait and watch
Moyoni ulipo umefurahi ile mbaya kumuona yupo karibu na diamond imagine wakirudiana rasmi si utafanya sherehe kabisa huo ndio ukweli wenyewe hayo mengine unaongea lakini si kutoka moyoni.
 
Team dona tulia basi Zari akirudi jua final say na domokaya watagombana vibaya mno. Domo hawezi kua na mama wawili ujue
Moyoni ulipo umefurahi ile mbaya kumuona yupo karibu na diamond imagine wakirudiana rasmi si utafanya sherehe kabisa huo ndio ukweli wenyewe hayo mengine unaongea lakini si kutoka moyoni.
 
Kwa idadi ya hao viewers tuu akiamua asifanye show kabisa wala biashara nyingine yoyote,anaweza kuishi kwa kipat anacholipwa na you tube
 
wapiga ramli wa mondi taarifa hizi kwao ni chungu sana...

anewei endeleen kupga ramli huenda kuna siku shetani atazijibu maana mungu hua hajibu upumbavu wa wajinga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Team dona tulia basi Zari akirudi jua final say na domokaya watagombana vibaya mno. Domo hawezi kua na mama wawili ujue
Kwani diamond na tanasha wamerudi na? Mpaka useme diamond hawezi kuwa na mama wawili?
 
maisha hayajawahi kua sawa, kiba na beki3 wake robidinyo wakihangaika kupost ujio wa kingoma chao kipya huku mwenzao anatolewa mfano na BILLBOARD, dah! sina chakuwaambia kiba & bek3 wako robidinyo isipokua kuwapa pole kwa maumivu mnayougulia mda huu
kwani alikiba anaweza akawa anaumia katika hili...?
labda baadhi ya mashabiki zake wasiompenda Mond
 
Elewa kiswahili kashata hana watoto wawili namaanisha hater wa zari walimuita bibi so kwa domo ni mama wakati huo huo kuna baby ya shamte
Kwani diamond na tanasha wamerudi na? Mpaka useme diamond hawezi kuwa na mama wawili?
 

Haujaeleweka au umeamua kupotosh
Viewes za star wakubwa wengi usa na kwingine ziko mpaka za 2billion, views za 200m ni za kawaida sana

Nadhan unazungumzia afrika

Rephrase usionekane hamnazo
 
Mohamed Ramadan is currently the most viewed African artist.2 billions views... kwa kuwa ni Mmisri (Muarabu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…