Leo ni umuongelee asante kwa saportAtuambie ana urefu gani na kilo ngapi ili tumtafutie Body Mass Index, BMI.
Na anatakiwa ajue tofauti ya kukonda na kuwa mwembamba.
Inashangaza mtu kama Diamond kuishangaa afya yake badala ya kutumia fedha alizonazo kupata ushauri wa kiafya.
Bora ukose mali upate akili maana ukiwa na hizo mali kama akili huna, basi ni bure!
Kitambi ili iwejeMatatizo ya kula magengeni,kamuacha Zari,saa hizi angekuwa anamkaangia misosi nyumbani na kitambi kingeshajitokeza...
🤣🤣🤣🤣awe makini na zuchu, atakuwa anamnyonya damu yule
Mkuu huu ni upotoshaji msiihusishe bangi na kila ishu....bangi haifyonzi mwili, bangi huimarisha mwiliBangi bangi bangi bangi bangi,hiyo kitu sio poa maana inafyonza mwili na inaleta njaa na hata ukila hunenepi.
Hapo mkuu umetupiga na kitu kizito ebu pitia comment yako upi alafu jiulize ulichoandika ni sahihiBangi bangi bangi bangi bangi,hiyo kitu sio poa maana inafyonza mwili na inaleta njaa na hata ukila hunenepi.
wala sibahatishi ninachoongea,nina experience na hii kitu na watu wanaonizunguka wanaotumia marijuana,bangi inakondesha mkuu acha kabisa.ninawafahamu watu kama wanne walikuwa na miili iliyonawili ila walipoanza kutumia bangi wamebaki skeletonHapo mkuu umetupiga na kitu kizito ebu pitia comment yako upi alafu jiulize ulichoandika ni sahihi
Kauli hiyo sio ya busara sababu kila mtu ana haki ya kuishi anavyotaka!!!!!Sio lazima watu wote waishi kwa imani au mtazamo unaoamini wewe ni sahii!!!Binadamu tuna kawaida ya kua na mapungufuLikonde tu na lizidi kukonda sana kwanza limetuasi sisi Me kwa kutoboa pua [emoji35]
Usimunyoshee mwenzio kidole either iwe kwa kumaanisha au kwa kutania!!!It's very heavy omba yasikukute @ LakunleUpungufu wa kinga mwilini.