Kalia kidole 🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿Mtu anapata wapi ujasiri wa kumfuatilia na kumpangia mtu maisha ya kuishi ?
Ikizingatiwa wewe sio Baba ake wala sio mama ake.?
Jiulize swali mmoja tu Kutumia kwake madawa kunaathir nin ktk maisha yako?
Ama akiwa sio mtumiaji wa madawa kunakunufaisha nin ktk maisha yako.?
Yaani mtu unaamka asubuh asubuh na kushusha kitabu kizima cha maneno kwa kumpangia mtu maisha ya kuishi.
Itoshe kusema kama hakuna lote unalofaidika nalo ungeacha kufatilia maisha ya watu.
JAmaa ukimwangalia vizuri, huhitaji hata daktari kuthibitisha, dawa zimemkolea yuko half-way akiongeza speed kidogo mwendo anaumaliza.Huo ni ukweli mchungu, mwamba alianza kwenye upunda na sasa kaamua alambe kabisa, wanavyoanza wanasema wanapandisha energy wakishakua addicted ndio vile tena....
Wasi wasi wangu asije akamuharibu na kale kabinti
Fambafu sana mnajua kurarua wake za watu kama mazouzou vile😂Labda kama uliopata ni hiyo goosebumps ila kuhusu uchungu subiri utundikwe mimba ndio uje kuuongelea hapa.Msepende kukuza vitu msivyojua
Huyu ni mkubwa kuliko hao wote, ni hasara kubwa kumpoteza ndio maana waungwana tunapaza sauti abadilike ingali mapema.Huu ni msiba wa kujitakia na sidhani kama ni rahisi kumrudisha mtu mwenye addiction ya madawa refer Chid Benz,Pauline Zongo nk naona jamaa kaamua kujimaliza mwenyewe, Walaumiwe management/familia yake kwa kutomsaidia mwanzoni tu alipoanza, kama ni kweli basi tushampoteza Guavo low budget,Ni suala la mda tu tutaanza kuambiwa pray for Guavo
Asante sana.Sasa huu muda wa kuandika haya wewe una utoa wapi? Kwa taarifa tuu hii si mara ya kwanza hili jambo kuja hapa…! Wanasema jambo likisemwa sana linapaswa kuangaliwa kwa jina la pili zaidi hakuna ubaya kwenye hili….! Mtoa mada kaandika jambo zuri sana na nina hakika watu wa karibu na Diamond lazima walifanyie kazi!
Kumbe watu wenye akili bado mpo JF?Wewe ni mpumbavu na isitoshe wewe ni teja mtumiaji.
Wewe unafikiri kwa nini serikali inapambana kudhibiti madawa ya kulevya kwa watu?
Kama mtu kutumia madawa ya kulevya ni "Maisha ya mtu" kwa nini serikali iingilie kati kupambana na wauzaji madawa ya kulevya?
Kwa nini isi ingilie walevi wanywa pombe?
Leo unamwaga madini matupu, umesema ukweli mchungu.Unajua shida ya familia zetu mtu akishakuwa ana pesa na nguvu ya pesa hata kusemwa au kushauriwa inakuwa shida….
Kuna wazazi wengi huwaogopa watoto wao kwakuwa wanazo pesa..hilo ni shida
Na muda mwingine wazazi wanaweza kuwa hawajui lakini watu wengine wakajua…..
Aya yako ya kwanza haina ukweli bwana, halafu wala Diamond hana mpango na Zari kihivyo.
Aya ya pili ndio umetisha 👏🏽👏🏽
Kwahiyo mkuu na wewe unaweza kutumia madawa ya kulevya ili kuupata utajiri?Muwe mnaelewa mambo nyie!si mnasema wanaume tafuteni hela!!? Sasa utafutaji una namna nyingi na hiyo namna ndio inayomtesa simba hadi atumie hayo makitu!!
Utajiri ni siri na siri ya utajiri ndio utajiri yenyewe!!
Anahesabu siku na masaaa,lazima arnde walau kwa style hiyo huko anapopaswa kwenda akatumike baada ya utajirisho!!!
Mtupende wanaume acheni kututia presha za utafutaji hadi tunauza nafsi!!
Nasikitika mimi nimekosa huo utaalamu, Ndio maana nimeshindwa kuamini miaka yote hii mpaka nilipopata uthibitisho juzi!JAmaa ukimwangalia vizuri, huhitaji hata daktari kuthibitisha, dawa zimemkolea yuko half-way akiongeza speed kidogo mwendo anaumaliza.
Zuchu?
Unahisi yuko salama hadi sasa?
Badilika DiamondMtu anapata wapi ujasiri wa kumfuatilia na kumpangia mtu maisha ya kuishi ?
Ikizingatiwa wewe sio Baba ake wala sio mama ake.?
Jiulize swali mmoja tu Kutumia kwake madawa kunaathir nin ktk maisha yako?
Ama akiwa sio mtumiaji wa madawa kunakunufaisha nin ktk maisha yako.?
Yaani mtu unaamka asubuh asubuh na kushusha kitabu kizima cha maneno kwa kumpangia mtu maisha ya kuishi.
Itoshe kusema kama hakuna lote unalofaidika nalo ungeacha kufatilia maisha ya watu.
Tatizo mtu mweusi akipokea jambo anapitiliza, wenzetu hawawi addicted sababu wanatumia kiasi na kwa sababu maalumAcheni ulozi, madawa hata trump anatumia. Kuna madawa classic hayana madhara sio hayo wanaotumia watoto wenu huko kinondoni