Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Mtu anapata wapi ujasiri wa kumfuatilia na kumpangia mtu maisha ya kuishi ?
Ikizingatiwa wewe sio Baba ake wala sio mama ake.?

Jiulize swali mmoja tu Kutumia kwake madawa kunaathir nin ktk maisha yako?

Ama akiwa sio mtumiaji wa madawa kunakunufaisha nin ktk maisha yako.?

Yaani mtu unaamka asubuh asubuh na kushusha kitabu kizima cha maneno kwa kumpangia mtu maisha ya kuishi.

Itoshe kusema kama hakuna lote unalofaidika nalo ungeacha kufatilia maisha ya watu.
Kalia kidole 🖕🏿🖕🏿🖕🏿🖕🏿
 
Huo ni ukweli mchungu, mwamba alianza kwenye upunda na sasa kaamua alambe kabisa, wanavyoanza wanasema wanapandisha energy wakishakua addicted ndio vile tena....
Wasi wasi wangu asije akamuharibu na kale kabinti
JAmaa ukimwangalia vizuri, huhitaji hata daktari kuthibitisha, dawa zimemkolea yuko half-way akiongeza speed kidogo mwendo anaumaliza.

Zuchu?
Unahisi yuko salama hadi sasa?
 
Huu ni msiba wa kujitakia na sidhani kama ni rahisi kumrudisha mtu mwenye addiction ya madawa refer Chid Benz,Pauline Zongo nk naona jamaa kaamua kujimaliza mwenyewe, Walaumiwe management/familia yake kwa kutomsaidia mwanzoni tu alipoanza, kama ni kweli basi tushampoteza Guavo low budget,Ni suala la mda tu tutaanza kuambiwa pray for Guavo
Huyu ni mkubwa kuliko hao wote, ni hasara kubwa kumpoteza ndio maana waungwana tunapaza sauti abadilike ingali mapema.
 
Sasa huu muda wa kuandika haya wewe una utoa wapi? Kwa taarifa tuu hii si mara ya kwanza hili jambo kuja hapa…! Wanasema jambo likisemwa sana linapaswa kuangaliwa kwa jina la pili zaidi hakuna ubaya kwenye hili….! Mtoa mada kaandika jambo zuri sana na nina hakika watu wa karibu na Diamond lazima walifanyie kazi!
Asante sana.
 
Wewe ni mpumbavu na isitoshe wewe ni teja mtumiaji.

Wewe unafikiri kwa nini serikali inapambana kudhibiti madawa ya kulevya kwa watu?

Kama mtu kutumia madawa ya kulevya ni "Maisha ya mtu" kwa nini serikali iingilie kati kupambana na wauzaji madawa ya kulevya?

Kwa nini isi ingilie walevi wanywa pombe?
Kumbe watu wenye akili bado mpo JF?
Asante.
 
Unajua shida ya familia zetu mtu akishakuwa ana pesa na nguvu ya pesa hata kusemwa au kushauriwa inakuwa shida….
Kuna wazazi wengi huwaogopa watoto wao kwakuwa wanazo pesa..hilo ni shida
Na muda mwingine wazazi wanaweza kuwa hawajui lakini watu wengine wakajua…..
Leo unamwaga madini matupu, umesema ukweli mchungu.
Wanaolisha familia wanageuka wazazi kwa wazazi.
 
Once upon a time jay dee aliimba usiusemee moyo wa mwenzako kamwe. Hakuna mwanaume anayevuka stage ya mapenzi ndo maana hadi wa leo ana kinyongo na mabeto
Aya yako ya kwanza haina ukweli bwana, halafu wala Diamond hana mpango na Zari kihivyo.
Aya ya pili ndio umetisha 👏🏽👏🏽
 
Muwe mnaelewa mambo nyie!si mnasema wanaume tafuteni hela!!? Sasa utafutaji una namna nyingi na hiyo namna ndio inayomtesa simba hadi atumie hayo makitu!!

Utajiri ni siri na siri ya utajiri ndio utajiri yenyewe!!

Anahesabu siku na masaaa,lazima arnde walau kwa style hiyo huko anapopaswa kwenda akatumike baada ya utajirisho!!!

Mtupende wanaume acheni kututia presha za utafutaji hadi tunauza nafsi!!
Kwahiyo mkuu na wewe unaweza kutumia madawa ya kulevya ili kuupata utajiri?
Nimekosa kabisa cha kuongea!
 
JAmaa ukimwangalia vizuri, huhitaji hata daktari kuthibitisha, dawa zimemkolea yuko half-way akiongeza speed kidogo mwendo anaumaliza.

Zuchu?
Unahisi yuko salama hadi sasa?
Nasikitika mimi nimekosa huo utaalamu, Ndio maana nimeshindwa kuamini miaka yote hii mpaka nilipopata uthibitisho juzi!
 
Mtu anapata wapi ujasiri wa kumfuatilia na kumpangia mtu maisha ya kuishi ?
Ikizingatiwa wewe sio Baba ake wala sio mama ake.?

Jiulize swali mmoja tu Kutumia kwake madawa kunaathir nin ktk maisha yako?

Ama akiwa sio mtumiaji wa madawa kunakunufaisha nin ktk maisha yako.?

Yaani mtu unaamka asubuh asubuh na kushusha kitabu kizima cha maneno kwa kumpangia mtu maisha ya kuishi.

Itoshe kusema kama hakuna lote unalofaidika nalo ungeacha kufatilia maisha ya watu.
Badilika Diamond
 
Acheni ulozi, madawa hata trump anatumia. Kuna madawa classic hayana madhara sio hayo wanaotumia watoto wenu huko kinondoni
Tatizo mtu mweusi akipokea jambo anapitiliza, wenzetu hawawi addicted sababu wanatumia kiasi na kwa sababu maalum

Unaweza kuona Tramp anatumia kama tiba, wajamaica wameruhusiwa kuvuta bangi ila hakuna machizi, wabongo sasa.

Sasa usishangae Mond pamoja na utajiri na kutumia unga classic kuna siku tutamtia kamba
 
Back
Top Bottom