Diamond Platnumz mziki sasa inatosha, kastaafu kwa heshima ukimbilie kwenye siasa

Diamond Platnumz mziki sasa inatosha, kastaafu kwa heshima ukimbilie kwenye siasa

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wanabodi,

Ushauri kwa ndugu yetu Diamond Platinum naona sasa taa nyekundu kwake imeanza kuwaka ni kiashiria kwamba mwisho wa muziki wake umekaribia au kama sivyo basi anatakiwe akaboost kidogo mambo kwa babu, itakuwa alijisahau huwa watu wana renew kwa babu kila mwaka.

Kwa sasa naona kama upepo mbaya umempitia na amekuwa na roho ya kutokubalika kila kona hata muziki wake hauendi kivile.Rejea kisa cha baadhi ya watu kutaka aondolewa BET pia kuna shutuma za ku copy na ku paste nyimbo za Wizkidayo kama Essence japo hakuna ushaidi wa kutosha.

Ushauri wangu kwake Diamond mimi kama shabiki wa nyimbo zake kwa sasa ameshafanya mengi sana inabidi ahachane na muziki 2025 atafute jimbo la kugombea au rais wa JMT Samia Suluhu ampe teuzi hata pale wizara ya sanaa, Basata,au BMT waanze kumsogeza taratibu taratibu kwenye siasa. Vinginevyo heshima yake itapotea ni bora aka retire with a crown kuliko kungoja kudharaulika.
 
Domo ni mtu wa majungu inawezekana akaiweza siasa kwani inahitaji watu kama yeye, ila mi namshauri awe star wa kucheza sinema za ngono na wanawake wa pale Tandale na Uwanja wa Fisi atuwekee Netflix tuwe tunaangalia tukiwa na stress zetu.
 
Habari wanabodi

Ushauri kwa ndugu yetu Diamond Platinum naona sasa taa nyekundu kwake imeanza kuwaka ni kiashiria kwamba mwisho wa muziki wake umekaribia au kama sivyo basi anatakiwe akaboost kidogo mambo kwa babu, itakuwa alijisahau huwa watu wana renew kwa babu kila mwaka.
Wakati anaanza muziki ulimshauri pia au aliamua mwenyewe? Anyway binafsi si mkubali hata kidogo hasa baada ya kujua kumbe ni ccm.
 
tenor (11).gif

Mondi akiona huu uzi.
 
Habari wanabodi,

Ushauri kwa ndugu yetu Diamond Platinum naona sasa taa nyekundu kwake imeanza kuwaka ni kiashiria kwamba mwisho wa muziki wake umekaribia au kama sivyo basi anatakiwe akaboost kidogo mambo kwa babu, itakuwa alijisahau huwa watu wana renew kwa babu kila mwaka.

Kwa sasa naona kama upepo mbaya umempitia na amekuwa na roho ya kutokubalika kila kona hata muziki wake hauendi kivile.Rejea kisa cha baadhi ya watu kutaka aondolewa BET pia kuna shutuma za ju copy na ku paste nyimbo za Wizkidayo kama Essence japo hakuna ushaidi wa kutosha.

Ushauri wangu kwake Diamond mm kama shabiki wa nyimbo zake kwa sasa ameshafanya mengi sana inabidi ahachane na muziki 2025 atafute jimbo la kugombea au rais wa JMT Samia Suluhu ampe teuzi hata pale wizara ya sanaa, Basata,au BMT waanze kumsogeza taratibu taratibu kwenye siasa. Vinginevyo heshima yake itapotea ni bora aka retire with a crown kuliko kungoja kudharaulika.
Hapana huo siuo ushauri hebu jitafakar mwenyewe kwanza
 
Hv huu mwaka Diamond ametoa wimbo gani ambao inaonekana nyimbo zake hazieleweki? Inaonekana umemfahamu jamaa baada ya kubalehe , Huu ushauri Diamond alipewa 2010 miaka kumi sasa, majungu, fitina na wivu hujenga...mmeshindwa jamaa basi mnataka mumuombe aache Tu mziki sasa
 
Habari wanabodi,

Ushauri kwa ndugu yetu Diamond Platinum naona sasa taa nyekundu kwake imeanza kuwaka ni kiashiria kwamba mwisho wa muziki wake umekaribia au kama sivyo basi anatakiwe akaboost kidogo mambo kwa babu, itakuwa alijisahau huwa watu wana renew kwa babu kila mwaka.

Kwa sasa naona kama upepo mbaya umempitia na amekuwa na roho ya kutokubalika kila kona hata muziki wake hauendi kivile.Rejea kisa cha baadhi ya watu kutaka aondolewa BET pia kuna shutuma za ju copy na ku paste nyimbo za Wizkidayo kama Essence japo hakuna ushaidi wa kutosha.

Ushauri wangu kwake Diamond mm kama shabiki wa nyimbo zake kwa sasa ameshafanya mengi sana inabidi ahachane na muziki 2025 atafute jimbo la kugombea au rais wa JMT Samia Suluhu ampe teuzi hata pale wizara ya sanaa, Basata,au BMT waanze kumsogeza taratibu taratibu kwenye siasa. Vinginevyo heshima yake itapotea ni bora aka retire with a crown kuliko kungoja kudharaulika.
Hela anayo itengeneza kwenye platform ya YouTube kwa mwezi ni zaidi hela anayopata mbunge.

Halafu sio kila mtu maarufu anafaa kuwa mbunge,mwache kijana aendelee kutupa burudani kwani bado mziki anaudai.
 
Juzi Diamond amepost teaser ya nyimbo yake mpya, matokeo yake watu wa Nigeria wamemshambulia sana kuwa ame-copy nyimbo ya Wizkid ya Essence, na wamesisistiza kuwa Diamond huwa anacopy nyimbo za Nigeria na kuzifanyia remix 🤣
 
Back
Top Bottom