Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Kuna swali nimekuuliza hapoWange wape na hauwezi kuwa fanani bila hadhira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna swali nimekuuliza hapoWange wape na hauwezi kuwa fanani bila hadhira.
Mbona nimekujibu "HADHIRA ".Kuna swali nimekuuliza hapo
Haya bwanaMbona nimekujibu "HADHIRA ".
Asante.Haya bwana
Kuacha nini mtoto mzuriHivi hujaacha tu?
ya kupingaKuacha nini mtoto mzuri
Kama huniamini muulizeAlikuambia?
Mbona sijatia pilipili, ni ya kawaida tu mkuuSasa Kwanini umesema maneno makali hivi??.
Kamata hauelewekiHv huu mwaka Diamond ametoa wimbo gani ambao inaonekana nyimbo zake hazieleweki? Inaonekana umemfahamu jamaa baada ya kubalehe , Huu ushauri Diamond alipewa 2010 miaka kumi sasa, majungu, fitina na wivu hujenga...mmeshindwa jamaa basi mnataka mumuombe aache Tu mziki sasa
Diamond ndo anataka awe Kama Alikiba .Watasema Kiba 😀 😀 😀 😀
Namjua ndio maana siwezi kukuamini.Kama huniamini muulize
Nimeacha rasmi, sipingi lolote tenaya kupinga
Pumzika sasa eehNimeacha rasmi, sipingi lolote tena
[emoji23][emoji23][emoji23], Haya bhanaMbona sijatia pilipili, ni ya kawaida tu mkuu
Sawa mtoto mzuriPumzika sasa eeh
Kwani uongo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juzi Diamond amepost teaser ya nyimbo yake mpya, matokeo yake watu wa Nigeria wamemshambulia sana kuwa ame-copy nyimbo ya Wizkid ya Essence, na wamesisistiza kuwa Diamond huwa anacopy nyimbo za Nigeria na kuzifanyia remix [emoji1787]