Diamond Platnumz mziki sasa inatosha, kastaafu kwa heshima ukimbilie kwenye siasa

Diamond Platnumz mziki sasa inatosha, kastaafu kwa heshima ukimbilie kwenye siasa

Kuna aliyekuja na hizi taarabu mwaka 2010. Diamond yupo palepale. Nyimbo ya mwisho kuachiwa ni mwaka jana, mpaka sasa ina Milioni 70+ views.

Nani mwingine bongo katoa nyimbo ikaifikia? Kawa nominated BET hujasema ni improvement ila kuona haters wanasema atolewe ukaona ndo' bango. Kuna reality show inakuja Netflix jamaa yumo ila hujasema ni improvement.

Chill ndugu. Kibongobongo ukitoboa ndo watu wanakuchukia. Watu wanataka u-hustle nao chini.
 
Unaweza kuwa namba moja ila uwezi ukawa namba moja milele.

Inspector haruni anasema "mlikokua ninyi hata sisi tulikuwepo, na tulipo sasa hata nyinyi mtakuja"
Alikuwa anajifariji tu, failures huwa wana misemo ya aina hiyo ndiyo maana hata msemo wa 'aliye juu mngoje chini' umebadilika na kuwa 'aliye juu mpandie huko huko'.
Watu wanaowekeza ni aghalabu kutetereka, mifano iko mingi sana kwenye hilo.
 
Domo ni mtu wa majungu inawezekana akaiweza siasa kwani inahitaji watu kama yeye, ila mi namshauri awe star wa kucheza sinema za ngono na wanawake wa pale Tandale na Uwanja wa Fisi atuwekee Netflix tuwe tunaangalia tukiwa na stress zetu.
Kwani mkuu wewe huwezi kuwa star wa sinema za ngono kwanza ili awe role model wake.
 
Me naona mngemtafuta mwingine wakuchukua nafasi yake afu ndio mseme
 
Habari wanabodi,

Ushauri kwa ndugu yetu Diamond Platinum naona sasa taa nyekundu kwake imeanza kuwaka ni kiashiria kwamba mwisho wa muziki wake umekaribia au kama sivyo basi anatakiwe akaboost kidogo mambo kwa babu, itakuwa alijisahau huwa watu wana renew kwa babu kila mwaka.
Nadhani aaaaaa.... mkikubali awe m/kiri wa chadema. Hili kuipaisha kama CCM
 
Alikuwa anajifariji tu, failures huwa wana misemo ya aina hiyo ndiyo maana hata msemo wa 'aliye juu mngoje chini' umebadilika na kuwa 'aliye juu mpandie huko huko'.
Watu wanaowekeza ni aghalabu kutetereka, mifano iko mingi sana kwenye hilo.
Kwenye mziki huwezi kaa kwenye pick milele mkuu, lazima uteremke tu.
 
Huwezi kutoa ngoma zote kali ila naungana na wewe huu wimbo ni hovyo kwa level yake.
Lakini cha ajabu mpaka kesho atakuwa anaongoza ktk digital platforms zote EA, hapo ndipo unapo gundua mbaya kwako ila kwa wenzako mzuri.
 
Back
Top Bottom