Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwa mangi kachukue nitakuja kulipaNataka thoda
Duka la mangi limefungwaNenda kwa mangi kachukue nitakuja kulipa
Kama Mwanafa kapata diamond anashindwaje? But kwa ushauri wangu atakiwi kwenda bungeni kwasababu hela anayopata kwenye mziki wake ni kubwa kuliko kazi ya ubunge.Kwa hiyo akiutafuta ubunge ni 100% atapata? Si ungemshauri awekeze kwenye kiwanda cha sukari bei ipungue?
Basi njoo ghetto langu utapataDuka la mangi limefungwa
😀😀Basi njoo ghetto langu utapata
Arnold Alois Schwarzenegger ..Wamerakani walitaka wafute kipengele kwenye katiba yao cha kuzuia mtu asiyezaliwa Marekani hawezi kugombea uraisi ..Tanzania tumefikia mahali mtu akiwa maarufu basi watu wanadhani mtu huyo anakuwa tayari kuwa kiongozi wa kisiasa.
Pathetic.
Mbona unacheka?
Nafurahia kuja ghettoMbona unacheka?
Amekukosea nini Mond??, maana sio kwa comment hii.Domo ni mtu wa majungu inawezekana akaiweza siasa kwani inahitaji watu kama yeye, ila mi namshauri awe star wa kucheza sinema za ngono na wanawake wa pale Tandale na Uwanja wa Fisi atuwekee Netflix tuwe tunaangalia tukiwa na stress zetu.
Kumbe shida si Ubora wake ktk kazi ya muziki,Bali shida ni Chama chake.Ok nimekupata mkuu.Wakati anaanza muziki ulimshauri pia au aliamua mwenyewe? Anyway binafsi si mkubali hata kidogo hasa baada ya kujua kumbe ni ccm.
Ghetto langu lina soda, juice ndio maana nikakumbia uje uienjoy maisha au ulidhani maana nyingine tofauti?Nafurahia kuja ghetto
Sasa wewe ndo umewaza tofauti. Nilielewa hivyo hivyo kuwa soda ipo ghetto na ndicho kilichofanya nifurahiGhetto langu lina soda, juice ndio maana nikakumbia uje uienjoy maisha au ulidhani maana nyingine tofauti?
Kama amekopi na kaimba vizuri shda nini??Juzi Diamond amepost teaser ya nyimbo yake mpya, matokeo yake watu wa Nigeria wamemshambulia sana kuwa ame-copy nyimbo ya Wizkid ya Essence, na wamesisistiza kuwa Diamond huwa anacopy nyimbo za Nigeria na kuzifanyia remix 🤣
Hii niliona imeanzia mjini Twitter kuleJuzi Diamond amepost teaser ya nyimbo yake mpya, matokeo yake watu wa Nigeria wamemshambulia sana kuwa ame-copy nyimbo ya Wizkid ya Essence, na wamesisistiza kuwa Diamond huwa anacopy nyimbo za Nigeria na kuzifanyia remix 🤣
Wadada mkisikia ghetto tu mnawaza mengine hapana si kila mwanaume anahiyo tabia ingawa wapo wachache.Sasa wewe ndo umewaza tofauti. Nilielewa hivyo hivyo kuwa soda ipo ghetto na ndicho kilichofanya nifurahi
Kwa hapa,wewe ndo umewaza hayo mengine. Mimi mawazo yangu yapo kwenye pepsiWadada mkisikia ghetto tu mnawaza mengine hapana si kila mwanaume anahiyo tabia ingawa wapo wachache.