Pre GE2025 Diamond Platnumz: Wana Mbeya mnatakiwa kutembea kifua mbele kwa kumchagua Tulia, tusikubali kulipoteza hili jembe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naunga mkono hoja
 
Huu upumbavu asituletee wana Mbeya, apeleke huko kwao Tandale. Sisi tumemkataa mazima. Hatuwezi kuwa na Mbunge ambaye analeta mashindano ya marathon, ngoma za utamaduni badala ya kuleta maendeleo.

Kwanza ni DIKTETA kwenye bunge, hata hicho kiti cha Prez wa IPU anakinajisi
 
Ondoa upuuzi hapa. Madam Spika amelikoroga, acheni kusifia mediocre.
In international diplomacy. Rule no 1. Never go bananas at the podium. In other words do not over react. Do not show your anger even when justified. Keep calm.

Jibu sahihi kwa uzoefu wangu lingekuwa simply

Regrettably President Zelenskys schedule made it difficult when I asked to visit. I look forward to visiting Ukraine at his earliest convenience.

Ila kutoa direct answers kwenye forums hizo ni hatari... you are always walking
 
Wasanii wa Tanzania wana bahati kuwa na audience ambayo haipo socially or politically aware kama Kenya, Nigeria na South Africa. La sivyo wengi sana wangeshakuwa cancelled maana kiukweli zaidi ya kuburudisha na kustarehesha, wengi ni good for nothing
Vijana wa kibongo ni wapole hawana uanaharakati kama hao wa Kenya.

Kenya ni masikini sana, ardhi yao yenye rutuba ni sehemu ndogo kulinganisha na ile yenye ukame. Kuanzia Nairobi kuelekea kaskazini mpakani na Somalia ni nchi kame kabisa.

Vijana wao wanakua wakiwa wamechanganyikiwa na maisha kulinganisha na vijana wa Tanzania ambao chakula kwao ni kingi pia hata wangekuwa na elimu hawana hulka za kupigania maslahi yao.
 
Pdidy ahusike kutuliza mtu wake
 
Huyu Dada Diamond toka alipokutana Paff Daddy, yaaani amevurugwa.

Inabidi apimwe utimamu wa marinda!!!
Yanaweza kuwa tayari yamefumuliwa!!!

πŸ€ΈπŸ˜ƒπŸ€£.

Kuhusu Tulia Mbeya hatoboi,labda wagawanye Jimbo ndiyo salama ya Tulia.

Kingine Tulia anapenda sana kung'anga'ania kugombea Mbeya mjini badala ya Kwenda kugombea Kwao Rungwe.

Safari ataelewa watu wa mbeya.maana uchaguzi wa Mwisho alibebwa na Magufuli.

Mbunge/spika aliyesimamia shoo ya kuuza Bandari zetu Bungeni.

Spika aliyekataa kujadili hoja watu kutekwa na Kuuwawa.

Hana sifa za kuwa mbunge kabisa,akafanye kazi zake za kitaaluma lakini siyo Ubunge.
 
Wajinga ni hao waliouliza maswali ya mtego, Dr Tulia kawajibu vizuri tu.Usikubali hata siku moja ile dhana ya mzungu kwamba wewe mwafrika ni second class citizen, lazima uonyeshe kuwa unayo haki ya kukalia kiti ulichopewa.

RIP Mandela aliulizwa swali la kijinga kama aliloliuzwa Tulia, kwanini Afrika ya kusini ipo karibu na Muamar Ghadhaffi, akawajibu kwamba adui wa USA sio lazima awe adui wa Afrika ya kusini.
 
Huna lolote la kumzuia Tulia asigombee hapo Mbeya mjini, JPM na Samia ni watu wa chama kimoja. Kama JPM alikuwa anafoka na kutumia nguvu kumbuka Samia anatumia lugha laini lakini lengo lake ni lazima litimizwe.

Tafuta uelewa wa masuala ya mkataba wa TPA kabla hujaongelea kitu usichokifahamu vyema.
 
Tayari katoka kwenye reli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…