Kizaz hiki wanafikiri huyo mondi ndy alianzisha mziki wakati kuna watu walianza harakati kitambo na kuingiza mziki kwenye biasharaWewe utakuwa una miaka 18 sasa!
Diamond aliukuta mziki wala hakuanzisha! Diamond alishikwa mkono na watu kwenye huu muziki na amefika hapo kwakuwa kuna watu walikuwa wanajua zaidi yake!
Hata akifa leo kila kitu kitaendelea! Alikuwepo Kanumba mkali wa Movie na sasa kuna wwngine wakali wa series!
Usipayuke tu.. Nenda na factsHauko serious mzee
Kizaz hiki waliyozaliwa 2000 hawawezi kukuelewa mkuuNdio maana nimekuambia wewe muziki hujui
Wenzio tumeanza kufuatilia tuzo za Kora na msanii kama Lady jay dee alishapata toka first album
Diamond ni commercial artist hivyo ana impact kibiashara ila kwenye genre ya bongo flava hajaweka impact yoyote zaidi ya kuwa copy cat
Nikikuambia uniletee Diamond platinumz sound unaweza nionesha, vipi kuhusu mb dog, chillah, Juma Nature au TID
Respect the OGs kijana
Mimi shabiki wa reggae na hiphop ya ukweli tuMashabiki ndio mnahitaji hivyo
Kizaz hiki waliyozaliwa 2000 hawawezi kukuelewa mkuu
Ova
Ndio maana nmesema huna akili mkuu[emoji23][emoji23]Usipayuke tu.. Nenda na facts
Au unadhani hapa upo kijiweni brooo
Mimi ni fan wa Steven, sijui kama kuna movie aliyoitoa sikuiangalia ndio maana nakuambia
Kanumba ni influence, hardwork na aggressiveness
Ila kwenye Quality ya kazi na records, ni kawaida.
Wewe sasa ndio unioneshe kazi yake gani unaona inazidi ubora wa Vuta Nkuvute, Going Bongo au Homecoming
Hata hivyo sioni unachoongea. Uwe na siku njema die hard fan wa mondi
Rejea heading yako ni Sawa useme presida wa TZ akidanja basi hakuna mwingine atakae ongoza TZ hayo ni mawazo matope toka ndani ya box,Ndio maana nmesema huna akili mkuu[emoji23][emoji23]
Yaani quality ya movie za kanumba mwaka 2011..enzi hizo . una compare na saizi .... invention imekuwa kubwa kwenye vifaa .....
Wewe ni bichwabox huna akili, sipingani na ulichokiandika Ila uwasilishaji wako ni wa ovyo sio wa kisomo hiki sio kijiwe chenu cha visungura angalia unapoweka mada mezani onasomewa na nani na kuchambuliwa na nani, akili ndogo haikai na akili kubwaTaifa linahasara kuwa na vijana kama nyie...
Watu kama nyie ni mzigo kwa taifa ....mna maliza oxygen ya tzWewe ni bichwabox huna akili, sipingani na ulichokiandika Ila uwasilishaji wako ni wa ovyo sio wa kisomo hiki sio kijiwe chenu cha visungura angalia unapoweka mada mezani onasomewa na nani na kuchambuliwa na nani, akili ndogo haikai na akili kubwa
Nimekupa mfano hai kwani uliemtaja yupo kwenye nini kichuguu sio Nchi? Akili zero fikiri kabla ya kuandikaMfano wako ni irrelevant....Nchi ni taasisi mkuu.... haiwezi kukosa succession planning