Kuwa mwanachama wa chama ni haki yake. Msimhukumu kwa hilo mtakuwa mnamwoneaTRA endeleeni kumshika makalio huyu Fala mpaka Aache kuishabikia CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa mwanachama wa chama ni haki yake. Msimhukumu kwa hilo mtakuwa mnamwoneaTRA endeleeni kumshika makalio huyu Fala mpaka Aache kuishabikia CCM
huyu si ndio mpiga tarumbeta wa ccm kwenye kampen mpumbavu kabisa tena wamshughulikie mpaka atie adabuView attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
Aendelee kukatia mauno CCM. He is having a taste of his own medicine. Kwani wakereketwa na wanachama wa chama tawala na wao wanalalamika 'barabarani' kama wapinzani? Si akalalamike ndani ya vikao vya chama huko?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Makonda Baba lao
Muda wa marejesho huu lazima kila sehemu ipitiwe kupata chochoteHatunywiii sumu
Hatujinyongiiii
Ccm mbele kwa mbeleee
Kila mtu atafikiwa
Ndio maana alilazwa ghaflaDahhh!maskini alikosa ata Aftatu ya kula
Kwa hili mtamwonea tu jamani.Yaani huyu chaijaba akae kimya, ndiye alikuwa anawasaidia kujaza mikutano yao ya kampeni.
Sio huyu aliyeimba.Aendelee kukatia mauno CCM. He is having a taste of his own medicine. Kwani wakereketwa na wanachama wa chama tawala na wao wanalalamika 'barabarani' kama wapinzani? Si akalalamike ndani ya vikao vya chama huko?
Akili ya kimasikini huwa inafikiria tajiri kapata hela kwa njia isiyo halali na siku akisikia mwenye hela amepata matatizo basi masikini hufurahi kiasi kwamba itampunguzia ugumu wa maisha.Akae Kwa kutulia kabisa .
Pesa chafu Kwa Sasa zinamiminika Kupitia Hawa watu.
Jeiefu bana..Samia mama lao...majaliwa baba lao...eeeh...eeh...eeeeh...eeeh
Tale nacheza yope huwezi...eeeh eeeh eeeeh
TRA nacheza yope....huwezi...eeh eeh eeeh eeeeeeehh!!!!
Aiyaiyaaax3“Wapinzani watetereke” in Zuchu’s voice
Kwani ye si alikuwa kazini? Hajazitaka siasa zao.Yaani huyu chaijaba akae kimya, ndiye alikuwa anawasaidia kujaza mikutano yao ya kampeni.
TRA huwa wanavamia tu kote..Acha kutetea uchubwada..wakupe taarifa ya nini?..wanakuja ofisini kwako na hapo ndo watasema kilichowaleta ni nini?..Mkuu kwani umemuelewa kijana yeye hajapinga suala zima la kulipa na amesema ni mlipaji mzuri wa kodi anacholalamikia ni namna njia wanayotumia TRA kuvamia ofisi as if yeye ni kibaka
Alipe kodi ahache janja janja, hamtaki mama akope lakini wakati huo kodi hamtaki kulipa.Mkuu ngoja na wewe yakupate tuone utacomment nini
Akae kwa kutulia zuchu wakutuimbia wapinzani tutetereke kweli?TRA wamekaa kibabe Sana nimemsikia Diamond akilalamikia kwamba kama wanashida nae number ya simu yake wanao wampigie au kama lolote lipo yupo teyari kuruhusu majadiliano kuliko kumvamia kwenye ofisi yake kama vile ni kibaka binafsi jamaa kaeleza vizuri Sana kwa Huu upuuzi wa TRA watamchafulia Mama sifa