Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mwenye kujua aliliona hilo, bibi Alijua kafikaAma kweli sometimes unaona mapicha picha watu wamekumbatiana kumbe ni maigizo tu. Mwenyewe diamond amesema zari ndie aliependa kuliko yeye alivyompenda. Ila kwenye picha picha unaona kama yeye ndio aliekuwa into her.
Sio kila kinachoonekana ni dhahiri ni dhahiriAma kweli sometimes unaona mapicha picha watu wamekumbatiana kumbe ni maigizo tu. Mwenyewe diamond amesema zari ndie aliependa kuliko yeye alivyompenda. Ila kwenye picha picha unaona kama yeye ndio aliekuwa into her.
Umemaanisha niniWHEN LOVE ENDS LIES BEGUN
Ila kuna kitu hakiko sawa. Iweje bibi mtu yupo huru kuwasiliana na watoto na zari anajua diamond yupo close na mamaake. Ila zari azuie diamond asiongee na watoto? Mimi huyu jamaa simuamini amini ingawa ni mzuri sana wa kuongea yapo mengine amesema ambayo yana make sense ila wewe jiulize mbona babaake tu anamkaushia. Baba kaenda pale studio unahisi kabisa hana furaha nae. Maybe kiki ya nyimbo yakeDiamond alitaka watu mumzungumzie either kasema ukweli or uongo lakini amefanikiwa malengo yake kwa 100%
Amefaulu kuwa talk of the town. PeriodIla kuna kitu hakiko sawa. Iweje bibi mtu yupo huru kuwasiliana na watoto na zari anajua diamond yupo close na mamaake. Ila zari azuie diamond asiongee na watoto? Mimi huyu jamaa simuamini amini ingawa ni mzuri sana wa kuongea yapo mengine amesema ambayo yana make sense ila wewe jiulize mbona babaake tu anamkaushia. Baba kaenda pale studio unahisi kabisa hana furaha nae. Maybe kiki ya nyimbo yake
Umemaanisha nini
Sawa chief officerUtakuja kuelewa vzr siku ukiachana na mzazi mwenzako..i had an experience...!mtu anakwambia huyu kunguni hajawahi kuninunulia hata underwear wakati mkononi ana sumsung note 4 kanunuliwa na huyo kunguni..!?mapenzi yakiisha uongo hujitokeza
Domo yuko tayari kufanya chochote kaajili ya pesa na umaarufu. Kaona mademu zake kina Mabeto na Tanasha hawakiki kaamua kumchafua Zari na Peter.Kaona kulipa watu instagram kumchafua Zari kumebuma, kaamua kumchafua mwenyewe. Eeeeeeh mbona hakumuacha kabla.. muongo sana huyo libaba.
Hahaha ila yule trainer watu wengi walisema
Kila mtu anamuongelea yeye. Ndicho alichokitaka.Domo yuko tayari kufanya chochote kaajili ya pesa na umaarufu. Kaona mademu zake kina Mabeto na Tanasha hawakiki kaamua kumchafua Zari na Peter.
Peter ana familia yake. Zari naye ana maisha yake sasa.
Ama kweli leo nimeamini kwanini Jay Z na Beyonce hawataki tena ukaribu wa Kanye na Kim.
Yaani kuna vidubwana vikiona vinaelekea kubuma viko tayari kukuchafua kwa namna yoyote vijiboost.
Pole sana Zari, alichobakiza Domo ni kusema aidha wewe msagaji au unashiriki mapenzi kinyume na maumbile.
Kama aliweza kumkana mwanae mchana kweupe atashindwa kutunga story Kama hii.. ..diamond ni mshenz Sana kwenye mahusiano halafu ndio wa Kwanza ku play victim card