KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Unarudia tu yaleyale bila ya maelezo kwa nini haviwezi kuwa pamoja, hata baada ya kuelezwa kwa nini vinaweza kuwa pamoja.Chadema na ccm haviwezi kua pamoja
Mbowe ameusaliti umma kwa vipande 30Waache upumbavu wao, wakati anafilisiwa na kufungwafungwa jela walifanya nini kumuokoa?
Sijamuona mbowe akidai katiba mpya toka atoke jela kwa break ya kwanza kutinga IkuluKama hizo ni kauli za diasport basi itoshe kusema ni WASENGEREMA na akili zao Hazina akili kabisaa! Kwa hiyo walitaka Mbowe asilipwe fedha zake alizodhulumiwa! Au akilipwa amtukane Rais ili awe mpinzani kweli?! They should learn to give credit where it is due!
Mbowe amevunja sheria gani kumsifia Samia?
Mbowe ameusaliti umma kwa vipande 30
Nenda nawewe ukasaliti kwani alipokuwa jela ulienda kushare nae maumivu? Wewe ni Push gang tu unayeogopa maridhiano.Mbowe ameusaliti umma kwa vipande 30
Hao Wote ni wauwaji Na wapenda majisifu. Uliwahi kuvaa viatu vya mapira ya gari? Uliwahi kukaa foleni ya kununua chumvi?Nchi hii imewahi pata viongozi Wazalendo wawili tu Mwalimu Nyerere na Hayati Dr JPM hawa wengine ni wachumia Tumbo ,hata tukiwapa Nchi watauza kila kitu .
Mkuu una akili za kukutisha?Nimesikiliza haya mahojiano vizuri Diaspora wanalalamika kwamba Freeman Ekael Mbowe anamsifia mama baada ya mambo yake binafsi kushughulikiwa na Rais, ikiwemo kufunguliwa Account zake za fedha ambazo zilifungwa muda uliopita, kutoka jela pamoja na shughuli zake mbalimbali za kibiashara.
Diaspora wameenda mbali zaidi na kusema halikadhalika kwa Tundu Lissu baada ya kupata stahiki zake za Ubunge wote kwa pamoja ndio wanamsifia lakini Diaspora wanasema Rais Samia hajabadilisha chochote kwenye demokrasia ikiwemo mikutano ya kisiasa mpaka sasa bado hajaruhusu na kwamba Mama ndie aliyeanzisha tozo kuwaumiza zaidi wananchi maskini wa Tanzania.
CheKI akili za kimalaya hizi unataka mbowe apiganie haki zako? Halafu wewe unakatika viuno tuu. Pigania mwenyewe k weweUbaya wa Haki ni kwamba ukipewa wewe haki yako UTASAHAU HAKI ZA WENGINE.
NI kweli magufuli alimnyima mbowe haki yake ndo maana aliipigania.sasa kapewa haki yake je Atakumbuka HAKI ZA WENGINE?
Hivyo vipande 30 ni vya kwake, wewe huna share hapo.Mbowe ameusaliti umma kwa vipande 30
Mbowe aliomba maridhiano tangu kipindi cha dikteta 09-12-2019, wewe unataka uendelee kulala na mumeo ndani yeye anateseka magereza, kwanini msianzishe chama chenu na mumeo mkawa wawazi?Issue sio kumsifia bali ni kuupotosha umma kwa kushindwa kwake kuwa muwazi kuhusu sababu hasa inayomfanya amfagilie Hangaya, kiasi cha kukinzana na misimamo yake ya huko nyuma!
Mbowe aliomba maridhiano tangu kipindi cha dikteta 09-12-2019, wewe unataka uendelee kulala na mumeo ndani yeye anateseka magereza, kwanini msianzishe chama chenu na mumeo mkawa wawazi?
Mbowe amewakamata pabaya kwa hilo povu. MBOWE SHIKILIA HAPOHAPO MPAKA KIELEWEKENonsense! Kama Ayatollah Mbowe ni mumeo, basi declare interest badala ya kuleta arguments zisizokuwa na kichwa wala miguu!
Ni sehemu gani ya Katiba au Mkataba wa kisheria unao sema Mbowe anapaswa kuangalia nchi?Mbowe ni kiongozi wa umma alipaswa kuangalia nchi inataka nini katika mazungumzo yake na mama sio kufunguliwa account zake za fedha au kurejeshewa bilikanas
Ni sehemu gani ya Katiba au Mkataba wa kisheria unao sema Mbowe anapaswa kuangalia nchi?
Mbona wanaoangalia nchi wametajwa kwenye Katiba ni Rais, Jeshi, Polisi na TISS.
Usimtwishe Mbowe majukumu asiyostahili