Espoir_jnr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 489
- 1,934
Naomba maana ya forum?Hii ni forum ungejua maana ya forum usingeongea huu ujinga
Nani akufuatilie maisha yako mtu unayetumia jina bandia
Nipo gizani mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba maana ya forum?Hii ni forum ungejua maana ya forum usingeongea huu ujinga
Nani akufuatilie maisha yako mtu unayetumia jina bandia
Kama huko jamiiforum na hujui maana ya forum pole sanaNaomba maana ya forum?
Nipo gizani mimi.
Mbona kama umemind kichiziOk, but how is that any of your concern?
You don’t got a life of your own and wish to live vicariously through others or what?
Mbona kama umemind kichiziNimemuuliza kwani waliagana naye? Hajajibu.
Watanzania wengi wanapenda sana kuishi kwa kufuatilia maisha ya watu, wakati yao wenyewe yamewashinda.
Mafala huwa hamuishi, mnazaliwa kila siku na kuishi muda mrefu ili murndelee kuuguzwa kwa mambo yasiyowahusu.Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana na hata watoto wao ndo hawa wakina anthony joshua, saka, rotimi n.k
Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha
Mfano diaspora wengi wa tanzania wanaoishi south afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Hilo jukumu 'Wana-diaspora' wamepewa na nani, kwa mamlaka gani, lini, wapi na kwa ushahidi gani?Ni jukumu la kila mtu kufanya jambo la maana haijalishi yupo wapi
Amekuwa atheist 🤣🤣🤣We umefanya nini cha maana tokea uende marekani
Unatofauti gani na mtu wa tandale
Amekuwa atheistWe umefanya nini cha maana tokea uende marekani
Unatofauti gani na mtu wa tandale
Wamekusikia, subiri majibu yao.Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana na hata watoto wao ndo hawa wakina anthony joshua, saka, rotimi n.k
Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha
Mfano diaspora wengi wa tanzania wanaoishi south afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Unasema ana makasiriko na roho ya kwa nini sio?Huyo jamaa anasumbuliwa na chuki, wivu na hasira tu.
Hana hoja.
WA kwnz Huyu APA. Uzi wa Kiswahili na kausom kiswhili lkn Ch ajab anajib kizungu. Huyu Nd wale ukimkut nje anakukataa Kam mtanzania mwnzie na kujion kashakuw mzungu. Utumwa WA Fikra.Ok, but how is that any of your concern?
You don’t got a life of your own and wish to live vicariously through others or what?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi hawajakuachia raba mtoni nini?! Na mikoti oversize[emoji3][emoji3][emoji3]
nyani ngabu, icho ulichoandika hapa ni kiingereza, au ndio zile american slang? mtoto wangu wa darasa la sita hapa bongo anaandika kiingereza kizuri kuliko hiki. "you don't got a life of your own" ndio nini icho? sasa hawa ndio wameendaga huko hawana shule, wanabeba mabox na kuchunga wazee. anashindwa hata na mtu aliyesoma HGL tu hapa bongo.Ok, but how is that any of your concern?
You don’t got a life of your own and wish to live vicariously through others or what?