Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana

Hata watoto wa-nigerian diaspora wanafanya mambo ya maana mfano wakina Anthony Joshua, Israel Adesanya, Saka, Rotimi n.k

Wakenya watoto wao waliozaliwa abroad na diaspora wanafanya makubwa mfano Obama, Lupita Nyongo, rish sunak waziri mkuu wa uingereza na wengineo wengi

Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha

Mfano diaspora wengi wa Tanzania wanaoishi South Afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri, wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Shida ni unyonge mifumo yetu inatufanya wananchi wawe wanyongeee sana kila sector tunafanya kiuwoga uwoga ..
Kama taifa tutizame namna nzuri mtindo wa maisha isee.
 
Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana

Hata watoto wa-nigerian diaspora wanafanya mambo ya maana mfano wakina Anthony Joshua, Israel Adesanya, Saka, Rotimi n.k

Wakenya watoto wao waliozaliwa abroad na diaspora wanafanya makubwa mfano Obama, Lupita Nyongo, rish sunak waziri mkuu wa uingereza na wengineo wengi

Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha

Mfano diaspora wengi wa Tanzania wanaoishi South Afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri, wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad

mi nilijua unaongelea maendeleo wanayopeleka kwene nchi mama kumbe unaongelea maisha binafsi!!

Kazi kweli kweli
 
We maskini Umbwa takataka Kafie mbele qmmmk.

Mama yako bora angetoa kizazi kuliko kuzaa mbwa kapuku takataka kama wewe.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Wacha mbwembwe. Sema umefanya nini la maana zaidi ya kuuza tako kwa wazungu huko?😀😃😄😁😆
 
mi nilijua unaongelea maendeleo wanayopeleka kwene nchi mama kumbe unaongelea maisha binafsi!!

Kazi kweli kweli
Hata kwenye nchi mama, wakwetu hawa akina Nyani Ngabu , Kiranga , Maghayo na Infropreneur hawawezi fikia hao Wanaijeria na wakenya mkuu. Wengi ni jobless huko nje. Wanastrugle tu huko kwa kubeba mabox, kuogesha wazee wa kizungu n.k so hawana mchango wowote zaidi ya kututisha humu na tuviingereza vingi😀😃😄😁😆😅
 
Mtu anatakiwa kuishia maisha yake, ayatakayo, bila kusumbuwa mtu au kusumbuliwa, sadly dunia haiko hivyo, kupondona kupo, hata iweje!
Pia tukubali wenzetu ughaibuni wana I miss bongo! Pamoja na uchafu wake, umaskini wake nk nk
Ila ukweli unauma, usemayo yana ukweli!
Pamoja na yote. BONGO TAMU SIJUTII KUZALIWA AU KUISHI HAPA.
 
Diaspora wa Kitanzania wataishia kufa masikini nchi za watu...
Maisha yamewapiga wanataman kurudi bongo ila wanaona aibu kwasabab hawana maisha hawana pesa, kitu pekee wanachomiliki huko ughaibuni ni mawigi na raba za airforce...
Nyie kufeni huko ila msisahau kutunza pesa kwaajili ya kusafirishia maiti zenu kuja bongo, otherwise mtazikwa huko kama mbwa koko...
UKWELI MCHUNGU
 
Diaspora wa Kitanzania wataishia kufa masikini nchi za watu...
Maisha yamewapiga wanataman kurudi bongo ila wanaona aibu kwasabab hawana maisha hawana pesa, kitu pekee wanachomiliki huko ughaibuni ni mawigi na raba za airforce...
Nyie kufeni huko ila msisahau kutunza pesa kwaajili ya kusafirishia maiti zenu kuja bongo, otherwise mtazikwa huko kama mbwa koko...
UKWELI MCHUNGU
Watasema unawaonea wivu. Hawatakagi kuambiwa ukweli yani
 
Wanadanganya kuonesha kuwa wana maisha mazuri kitu ambacho si kweli ili kuonesha watu kuwa wapo na maisha mazuri chukulia mfano wa wasanii wa kibongo na maisha ya kufake. Kiujumla wanajidanganya wenyewe.

Sio kweli mkuu try to thick critically, kwani kwenda mbele ni hoja, kuna watu wanaishi maisha mazuri bongo vibaya sana, sasa wewe kwenda kuwa homeless na kula processed food na vyakula vya juzi ndio utamu huo. Wengi walienda kwa kudanganywa hivyo hivyo walipofika hawakukuta maisha mazuri kama walivyofikiri wao.

Chukulia mfano kuna watu wanaishi maisha ya tabu sana hapa Dar ila kuna mtu mwingine mkoani ana maisha mazuri sana cha ajabu huyu wa Dar anaigiza kuwa ana maisha mazuri ila akipata shida km kuugua ndio anaumbuka.

Your point is baseless.

Mtu akudanganye wewe anamaisha mazuri ili apate faida gani? Anapata nini kutoka kwako? Unampa hela au? What if ana maisha mazuri kweli?

Wewe huna shughuli za kufanya hadi ufuatilie nani ana maisha mazuri kweli au mabaya?

Kama unadhani watu wengi wana maisha mazuri bongo kuliko nje, basi na wewe waonyeshe hao diaspora hizo picha ili na wao wakuonee wivu. If that were the case, watu wasingekua wanauliza jinsi ya kwenda nje kila siku.
 
Wacha mbwembwe. Sema umefanya nini la maana zaidi ya kuuza tako kwa wazungu huko?😀😃😄
Wewe unakipi cha maana ulichofanya zaidi ya Ukapuku, ufukara na umaskini wa baba yako aliyezaa fala, mbwa na maskini takataka kama wewe..!!

Baba yako maskini kakuzaa wewe li maskini lingine huna ulichofanya, unakuja kuuliza watu usiowajua nini wamefanya.
 
Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana

Hata watoto wa-nigerian diaspora wanafanya mambo ya maana mfano wakina Anthony Joshua, Israel Adesanya, Saka, Rotimi n.k

Wakenya watoto wao waliozaliwa abroad na diaspora wanafanya makubwa mfano Obama, Lupita Nyongo, rish sunak waziri mkuu wa uingereza na wengineo wengi

Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha

Mfano diaspora wengi wa Tanzania wanaoishi South Afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri, wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Ngoja waje wakupopoe kwa mawe. Ni ukweli ingawa kuna kauchungu fulani hivi.

Wengi tunabangaiza life hakuna la maana na miaka inaenda kasi.

Kimaisha wengi hatujatoboa kivile isipokuwa exposure, ila full stress ya kutoboa kimaisha.

Tunaishi magetoni zaidi ya miaka 15. Huwa narudi home mara moja moja kusalimia, baadhi ya jamaa tuliowaacha bongo wametupiga gap kali la life.

Tunachowazidi ni; lugha, mavazi, miondoko ya kimamtoni na exposure.

Mfukoni tupo apeche alolo.

Huku homeless na life duni kwa baadhi ya wenyeji wapo, ukute mbongo anakuja mamtoni bila ramani ategemee msoto mkali.
 
Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana

Hata watoto wa-nigerian diaspora wanafanya mambo ya maana mfano wakina Anthony Joshua, Israel Adesanya, Saka, Rotimi n.k

Wakenya watoto wao waliozaliwa abroad na diaspora wanafanya makubwa mfano Obama, Lupita Nyongo, rish sunak waziri mkuu wa uingereza na wengineo wengi

Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha

Mfano diaspora wengi wa Tanzania wanaoishi South Afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri, wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Vipi yule mmiliki wa NALA Tanzania aliyekataa mshahara wa milioni 200 Microsoft? Au unatumia makalio kuwaza?
 
Diaspora wa Kitanzania wataishia kufa masikini nchi za watu...
Maisha yamewapiga wanataman kurudi bongo ila wanaona aibu kwasabab hawana maisha hawana pesa, kitu pekee wanachomiliki huko ughaibuni ni mawigi na raba za airforce...
Nyie kufeni huko ila msisahau kutunza pesa kwaajili ya kusafirishia maiti zenu kuja bongo, otherwise mtazikwa huko kama mbwa koko...
UKWELI MCHUNGU
Unamjua Benjamin Fernandes kijana mtanzania mmiliki wa NALA?
 
Diaspora wa Kitanzania wataishia kufa masikini nchi za watu...
Maisha yamewapiga wanataman kurudi bongo ila wanaona aibu kwasabab hawana maisha hawana pesa, kitu pekee wanachomiliki huko ughaibuni ni mawigi na raba za airforce...
Nyie kufeni huko ila msisahau kutunza pesa kwaajili ya kusafirishia maiti zenu kuja bongo, otherwise mtazikwa huko kama mbwa koko...
UKWELI MCHUNGU

Warudi kwenye mgao wa umeme, hospital, barabara, shule mbovu. Hakuna maji, hakuna kazi, Vumbi kama lote etc. Itakua kweli wanatamani kurudi huko. Waringishie na wewe picha za bongo waone wivu 😂 😂 😂
 
We maskini Umbwa takataka Kafie mbele qmmmk.

Mama yako bora angetoa kizazi kuliko kuzaa mbwa kapuku takataka kama wewe.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
punguza stress mkuu shule ulikataa mwenyewe maisha yamekupiga usilaumu watu.

We si uliona kubeba daftari ni zito, beba box sasa huko ughaibuni
 
Hata kwenye nchi mama, wakwetu hawa akina Nyani Ngabu , Kiranga , Maghayo na Infropreneur hawawezi fikia hao Wanaijeria na wakenya mkuu. Wengi ni jobless huko nje. Wanastrugle tu huko kwa kubeba mabox, kuogesha wazee wa kizungu n.k so hawana mchango wowote zaidi ya kututisha humu na tuviingereza vingi😀😃😄😁😆😅
Wewe una kipi ulichowapita hao wa Nigeria?

Nakwambia hivi, Mama yako bora angetoa kizazi kuliko kuzaa maskini mbwa takataka kama wewe.
 
punguza stress mkuu shule ulikataa mwenyewe maisha yamekupiga usilaumu watu.

We si uliona kubeba daftari ni zito, beba box sasa huko ughaibuni
Hunijui halafu unasema maisha yamenipiga.

Unafanya speculations uchwara tu.

Baba yako bora angemwaga manii zake chooni kuliko kuzaa maskini mbwa takataka kama wewe.
 
Back
Top Bottom