Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Inabidi wajasiriamali wa Bongo tukachukue mbegu ya Coca plant Amerika kusini tuje tuibadilishe nyanda za juu kusini kuwa kiwanda cha kuzalisha Cocaine ,
Kilo moja ya cocaine ni zaidi ya milioni 100 za kitz Europe na Australia .
 
Kuna kijana fundi mzuri sana wa hizi electronics alinifuata akaniambia boss weka mtaji tufungue ofisi, wewe nunua spare ikiwemo vioo vya tv, tv mbivu na AC za radio, mimi nitakuwa natumia bidhaa zako tunahudumia wateja, nikawawa najivuta vuta bado, ila kwa hii jibu lako hapa naenda kufanya nae jambo.

Pia tutanunua vitu vibovu vya electronics ili tuchukue spare.

Asante mkuu kwa kunipa idea vizuri hapa.
 
Ka usafiri unao, tufanye kazi 🤒🤒
 
A
Hamjui ma jobless tuna pitia yapi, hapa natumia ka wi-fi nime ombeleza password 🤒
Aisee Mimi Mimi huwa nachanga na Washikaji tuna subscribe Zuku 69000 unlimited kwa mwezi hapa ni wewe tu. Ukiweka umeweka hii labda kama upo nje ya eneo unaweka hata bando la 1000 tu inasaidia ukiwa kwenye foleni au sehemu zingine.
 
A

Aisee Mimi Mimi huwa nachanga na Washikaji tuna subscribe Zuku 69000 unlimited kwa mwezi hapa ni wewe tu. Ukiweka umeweka hii labda kama upo nje ya eneo unaweka hata bando la 1000 tu inasaidia ukiwa kwenye foleni au sehemu zingine.
Bora hao, ninapo kaa wenye smart phone 2 😄.
👉Nakaza tu, nta fanyaje tena 🤒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…