Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Ingia kwenye spare za radio tv na solar. Kariakoo wauzaji wa jumla ni wengi ukipenda nenda Uganda. Tafuta location fungua duka hesabu mzigo weka kijana then anza kutafuta mafundi tv, radio na solar wa mkoa uliopo na mikoa jirani waonyeshe bidhaa zako na wao ni lazima wataambiana na bei yako iwe rafiki. Tafuta connection ya hawa wanamuziki wa nyimbo za asili ili ipate dili ya kuwa unawauzia spare the sound pindi wakiwa wanafanya service pia mapub yote zungukia na makanisa haya ya kilokole upande wa sound hebu jaribu hii idea. Ukiendelea kulia njaa basi nuksi yako sio ya nchi hii.
Kuna kijana fundi mzuri sana wa hizi electronics alinifuata akaniambia boss weka mtaji tufungue ofisi, wewe nunua spare ikiwemo vioo vya tv, tv mbivu na AC za radio, mimi nitakuwa natumia bidhaa zako tunahudumia wateja, nikawawa najivuta vuta bado, ila kwa hii jibu lako hapa naenda kufanya nae jambo.

Pia tutanunua vitu vibovu vya electronics ili tuchukue spare.

Asante mkuu kwa kunipa idea vizuri hapa.
 
Kwani hili la bangi lina ugumu gani wakuuu? Maana naendeshaga gari Dsm hadi Mza, Arusha hadi Dom, naweza njia nzima nisimamishwe na trafik, ikitokea ni mara moja moja pia tena ukiwatangulizia elf 5 mkononi hawahitaj hata kuendelea kuongea na ww.

Je huo muda ukiwa umejaza bangi kwenye boot si unatamba tu au?
Ka usafiri unao, tufanye kazi 🤒🤒
 
A
Hamjui ma jobless tuna pitia yapi, hapa natumia ka wi-fi nime ombeleza password 🤒
Aisee Mimi Mimi huwa nachanga na Washikaji tuna subscribe Zuku 69000 unlimited kwa mwezi hapa ni wewe tu. Ukiweka umeweka hii labda kama upo nje ya eneo unaweka hata bando la 1000 tu inasaidia ukiwa kwenye foleni au sehemu zingine.
 
A

Aisee Mimi Mimi huwa nachanga na Washikaji tuna subscribe Zuku 69000 unlimited kwa mwezi hapa ni wewe tu. Ukiweka umeweka hii labda kama upo nje ya eneo unaweka hata bando la 1000 tu inasaidia ukiwa kwenye foleni au sehemu zingine.
Bora hao, ninapo kaa wenye smart phone 2 😄.
👉Nakaza tu, nta fanyaje tena 🤒
 
Back
Top Bottom