Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran chief,nipo South Africa kwenye harakati nyingine. Upepo ukigoma border ndiyo mpango mzima.Hii Iko poa, kama uko serious tukutane Tunduma hiyo mwezi wa nne tuanze upya kuutafuta huo mtaji uliopotea.
Kuna kijana fundi mzuri sana wa hizi electronics alinifuata akaniambia boss weka mtaji tufungue ofisi, wewe nunua spare ikiwemo vioo vya tv, tv mbivu na AC za radio, mimi nitakuwa natumia bidhaa zako tunahudumia wateja, nikawawa najivuta vuta bado, ila kwa hii jibu lako hapa naenda kufanya nae jambo.Ingia kwenye spare za radio tv na solar. Kariakoo wauzaji wa jumla ni wengi ukipenda nenda Uganda. Tafuta location fungua duka hesabu mzigo weka kijana then anza kutafuta mafundi tv, radio na solar wa mkoa uliopo na mikoa jirani waonyeshe bidhaa zako na wao ni lazima wataambiana na bei yako iwe rafiki. Tafuta connection ya hawa wanamuziki wa nyimbo za asili ili ipate dili ya kuwa unawauzia spare the sound pindi wakiwa wanafanya service pia mapub yote zungukia na makanisa haya ya kilokole upande wa sound hebu jaribu hii idea. Ukiendelea kulia njaa basi nuksi yako sio ya nchi hii.
Hahahahahahah iringa sehemu gani mkuu,leta maelezo kamili au nije Pm?Ingia chimbo iringa kula ndagu ya kulisha kuku mahindi
Yah bro, wame nipa endorsement 😄🤒🤒Mzee hizo emoji ni Kama umeingia mkataba na kampuni yake.
Hata uki tagiwa, uta fanya nini 😄😄Akikujibu nitag
Hamjui ma jobless tuna pitia yapi, hapa natumia ka wi-fi nime ombeleza password 🤒Kuingia humu nayo ni kazi ujue 😁
Ka usafiri unao, tufanye kazi 🤒🤒Kwani hili la bangi lina ugumu gani wakuuu? Maana naendeshaga gari Dsm hadi Mza, Arusha hadi Dom, naweza njia nzima nisimamishwe na trafik, ikitokea ni mara moja moja pia tena ukiwatangulizia elf 5 mkononi hawahitaj hata kuendelea kuongea na ww.
Je huo muda ukiwa umejaza bangi kwenye boot si unatamba tu au?
Kweli?Nalipata sana Hilo..... Cheki bariadi bado Kuna gapes kule
Okay okay,labda mtaji kiasi gani wa kuanzia halafu Kwa mtu mgeni kabisa Tunduma Kwa haraka anaanzia wapi ili kuanza kusafirisha.?Shukran chief,nipo South Africa kwenye harakati nyingine. Upepo ukigoma border ndiyo mpango mzima.
Haujawahi kwenda ugenini kufanya mishe chief? Kuna watu wanajibana hata na m1,m2 na kuendelea .Okay okay,labda mtaji kiasi gani wa kuanzia halafu Kwa mtu mgeni kabisa Tunduma Kwa haraka anaanzia wapi ili kuanza kusafirisha.?
Nishakuwa mzee, na washiriki washakufa. Ile Magazini ilivyoshushwa ilikuwa tufe ama afe wakati anatongozwa apewe senti kadhaa alishangaa panga inashuka begani baada ya hapo ikawa la heriKumbuka jinai haifi
Ingia chimbo iringa kula ndagu ya kulisha kuku mahindi
Aisee Mimi Mimi huwa nachanga na Washikaji tuna subscribe Zuku 69000 unlimited kwa mwezi hapa ni wewe tu. Ukiweka umeweka hii labda kama upo nje ya eneo unaweka hata bando la 1000 tu inasaidia ukiwa kwenye foleni au sehemu zingine.Hamjui ma jobless tuna pitia yapi, hapa natumia ka wi-fi nime ombeleza password 🤒
Bora hao, ninapo kaa wenye smart phone 2 😄.A
Aisee Mimi Mimi huwa nachanga na Washikaji tuna subscribe Zuku 69000 unlimited kwa mwezi hapa ni wewe tu. Ukiweka umeweka hii labda kama upo nje ya eneo unaweka hata bando la 1000 tu inasaidia ukiwa kwenye foleni au sehemu zingine.
Okay okay,labda mtaji kiasi gani wa kuanzia halafu Kwa mtu mgeni kabisa Tunduma Kwa haraka anaanzia wapi ili kuanza kusafirisha.?
Life gumu sana aisee 🤣🤣🤣Bora hao, ninapo kaa wenye smart phone 2 😄.
👉Nakaza tu, nta fanyaje tena 🤒