bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Imani ni kitu chenye nguvu kwa anaeamini kama yeye anaona wese linatatatua shida zake za kiroho poa tu sawa na mtu atambiae mizimu akaona anatatulika shida zakePalestina na Israel haziuani sababu ya dini , nyakati ngumu kwenye maisha zipo ili kuleta maana ya maisha , kuhisi ni yesu kakupigania sio vibaya , ila sitegemei ukakanyage wese kwa posa boy🤗
Middle EastWalizipokea kutokea wap?
Imani ni kitu chenye nguvu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda kama siwajui walokole maisha yao yalivyo.Imani ni kitu chenye nguvu kwa anaeamini kama yeye anaona wese linatatatua shida zake za kiroho poa tu sawa na mtu atambiae mizimu akaona anatatulika shida zake
Maisha Yao kivipiImani ni kitu chenye nguvu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda kama siwajui walokole maisha yao yalivyo.
Mitume na manabii mbona wako wengi sasa ivi. Kuna nabii mkuu Geo Davie, kuna nabii ?Malisa, Mwamposa ,Nabii ShillohMbaya zaidi aliyeleta dini akasema hakuna mtume mwingine tena zaidi ya Yesu na Mohamed, akijitokeza mwingine ni wauongo. Yaani ni wao tu milele. Yaani Mungu ameishiwa uwezo wa kuumba na kuleta tena mitume wengine duniani. Mungu amezeeka? amekuwa punguani? amechoka sana? au amepatwa na nini hadi mitume iwe hiyohiyo milele na anaesema wasije wengine ni hawahawa wanaofaidika na mitume walioko sasa.
Suala la kuamini jambo na likatokea sio lazima lihusishwe na dini ama Mungu , mimi siamin Mungu wala dini ila kuna mambo mengi naamini tu na yanatokea na wala kwangu sio kitu cha kushangaza .Maisha Yao kivipi
Watu wengi wanatumia dini kama kichaka cha kujificha ili wawe Ruthless .Imagine dini isingekuwepo pia watu tungekuwa Ruthless kiasi gani
Mbaya zaidi aliyeleta dini akasema hakuna mtume mwingine tena zaidi ya Yesu na Mohamed, akijitokeza mwingine ni wauongo. Yaani ni wao tu milele. Yaani Mungu ameishiwa uwezo wa kuumba na kuleta tena mitume wengine duniani. Mungu amezeeka? amekuwa punguani? amechoka sana? au amepatwa na nini hadi mitume iwe hiyohiyo milele na anaesema wasije wengine ni hawahawa wanaofaidika na mitume walioko sasa.
Hilo ni tatizo la mtu binafsi na sio maagizo ya dini.Watu wengi wanatumia dini kama kichaka cha kujificha ili wawe Ruthless .
Bila watu hakuna dini mkuuHilo ni tatizo la mtu binafsi na sio maagizo ya dini.
Bila ata maagizo ya dini Africa tulikua tunatambua mambo mazuri na mabaya .Hilo ni tatizo la mtu binafsi na sio maagizo ya dini.
Dini ni kile unachokiamnu, huwezi amini kama huna diniSuala la kuamini jambo na likatokea sio lazima lihusishwe na dini ama Mungu , mimi siamin Mungu wala dini ila kuna mambo mengi naamini tu na yanatokea na wala kwangu sio kitu cha kushangaza .
Labda umeshindwa kuelewa maana ya neno dini.Bila ata maagizo ya dini Africa tulikua tunatambua mambo mazuri na mabaya .
Kwa hiyo nikiamini dukani kwangu Leo nitauza ,au nikiamini Leo mvua itanyesha ni dini?Dini ni kile unachokiamnu, huwezi amini kama huna dini
Watu wanaogopa sheria za nchi kuliko kwenda motoni. Wengi wanaogopa kufanya mauaji sio kwasababu amri kumi zimekataza ila kwasababu kuna kufungwa na adhabu ya kunyongwa.Imagine dini isingekuwepo pia watu tungekuwa Ruthless kiasi gani
Ukiamini kwa nguvu ipiKwa hiyo nikiamini dukani kwangu Leo nitauza ,au nikiamini Leo mvua itanyesha ni dini?