Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Nimesoma kanisani mambo ambayo wakristo wanafundishwa kwanza kuwaita waislamu majini na pili kuwaita magaidi.
Naongea hapa ukweli mimi binafsi nimekumbana na chuki za wazi na sehemu ya kufanya kazi wala sikutegmea kama kuna udini...Ilikuwa hivi pale kazini nawahi sana na jamaa mmoja wote tulikuwa watu wa ibada ,siku moja katika kikao cha mwaka cha wafanyakazi walipoangalia maudhurio ya kuwahi kupitia biometric walikuta wengi wanachelewa basi ni mmi na jamaa mmoja ndio tulikuwa na maudhurio mazuri ila kuna siku naweza kuchelewa kama dk hata 20.
Jamaa mmoja mgalatia akasema "Hao ni Waislamu kwani hujui wanaamka asubuhi mapema kwenda kuabudu Mungu " na kuna maneno walitamka ya chuki...
Mpaka nilipanic binafsi palikuwa na mgogoro mpaka kwa HR tulifka.
Hao jamaa wanaogop waislamu na chuki zao wanapandikizwa tangu watoto ,sisi waislamu hatuna chuki ila tunaongea ukweli ukifanya jambo tunakuambia hii ni dhambi basi wao wanasema eti tuna hukumu watu ...Sisi tunafikisha ujumbe kama ulivyo .
Siwezi kueleza mengi maana kuna code nitafichua ila nimekumbumana na mambo ya hovyo hao jamaa wana chuki hata wawe kumi wewe ukiwa pekeako wanaanza kukudiss .
Naongea hapa ukweli mimi binafsi nimekumbana na chuki za wazi na sehemu ya kufanya kazi wala sikutegmea kama kuna udini...Ilikuwa hivi pale kazini nawahi sana na jamaa mmoja wote tulikuwa watu wa ibada ,siku moja katika kikao cha mwaka cha wafanyakazi walipoangalia maudhurio ya kuwahi kupitia biometric walikuta wengi wanachelewa basi ni mmi na jamaa mmoja ndio tulikuwa na maudhurio mazuri ila kuna siku naweza kuchelewa kama dk hata 20.
Jamaa mmoja mgalatia akasema "Hao ni Waislamu kwani hujui wanaamka asubuhi mapema kwenda kuabudu Mungu " na kuna maneno walitamka ya chuki...
Mpaka nilipanic binafsi palikuwa na mgogoro mpaka kwa HR tulifka.
Hao jamaa wanaogop waislamu na chuki zao wanapandikizwa tangu watoto ,sisi waislamu hatuna chuki ila tunaongea ukweli ukifanya jambo tunakuambia hii ni dhambi basi wao wanasema eti tuna hukumu watu ...Sisi tunafikisha ujumbe kama ulivyo .
Siwezi kueleza mengi maana kuna code nitafichua ila nimekumbumana na mambo ya hovyo hao jamaa wana chuki hata wawe kumi wewe ukiwa pekeako wanaanza kukudiss .