Dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika

Labda utakuwa huwajui vizuri waarabu mkuu,ukiniambia wazungu sawa nitakubali ila sio waarabu.
 
Degree yake humu haimsadii chochote namkubusha tu kua hili sio jukwaa la elimu au mashindano ya CV, zaidi kajionesha upande wake wa ujinga ambao umeturahisishia kumpuuza labda pengine ingetuchukua muda kugundua endapo asinge andika huo utopolo
 
Kijana alikuwa na uwezo mzuri wa masomo ya sayansi ila aliamua kuwa mlokole na mda mwingi ni kufunga na kusali. Aliambulia 0 form 6 akadai ni mapenzi ya Mungu. Ni kudumiza akili. Karl Marx alizungumza vizuri kuhusu dini.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
The one who said "you are not a right person to discuss with me " I have degree in theology from California! You could have said "degree in Science , who needs metaphysical issues? One has got degree in Mathematics from Yale University, but he is quiet


Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Nimeshindwa kuelewa tatizo lako ni dini kumuathiri muafrika au ni dini zilizoletwa (uislam na ukristo) Tanzania ni nchi huru unaruhusiwa kuacha dini yako ulio nayo na kuwa chochote unachotaka.
Ukitaka kuwa na dini hata ya kichina unaruhusiwa.Tatizo ni pale unapotumia akili ndogo Sana kutaka na wengine wakufuate Ilhali Kila mtu Yuko huru.
Waafrika wasiofuata ukristo ama uislamu ni wengi tu na sijaona tofauti yao.Ningetegemea niwaone wakiwa na Kila kitu na wakiwa na nafasi maeneo ya kipaumbele.

Kingine hio dini inaathiri vip mwafrika?? Kwani mda wake wote anautumia kusali au mafundisho ya dini yanamzuia mtu kupata elimu nyengine?

Kilichomsababisha mwafrika asiendelee hukijui na hutakijua Hadi utakapoamua kufanya hivi kizungu (take out your head from your butt) uamue kwa makusudi mazima.
 
Niliwahi kusema hata wazungu walikuwa na dini za asili lakini ukristo ulipowafikia waliacha dini zao za kiasili na wakaufuata ukristo.Maana ukristo umeanzia Israel na ukaenezwa dunia nzima.Lakini kumekuja kizazi Sasa Cha wazungu hawautaki ukristo na si ajabu wakarudi kwenye asili.
Bila Shaka ndio wanataka uhuru wa kijinsia na kuamua watakavyo bila kuwepo kipingamizi.

Na wanataka ukristo uondolewe Kila mahali.Haishangazi kuona marekani wanadai eti Kuna jinsia ya tatu.Kwa hio shuleni kuwe na vyoo vya jinsia tatu,,au sivyo jinsia ya kike na hio ya tatu zitumie choo kimoja.

Lakini kikwazo kikubwa kwao kikawa biblia na imani ya kikristo hivyo hutumia mbinu zote waichafue.ili waweze kuleta kitu wanachokitaka.

Wako huru Kama ma puppet wao huku Africa walivyo huru..ila wasitake Kila mtu achague njia yao.
 
Nimeshindwa kuelewa tatizo lako ni dini kumuathiri muafrika au ni dini zilizoletwa (uislam na ukristo) Tanzania ni nchi huru unaruhusiwa kuacha dini yako ulio nayo na kuwa chochote unachotaka.
Mpaka hapa hujaelewa nilichoandika na umekiri hilo.
Umesema hujanielewa lakini bado unaendelea kuargue.
(take out your head from your butt)
Hii inaprove kwamba dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika.

Badala ya kutumia hoja kupinga ila badala yake unaninsult personal na kutumia hisia za dini kumuattack anayeenda kinyume na opinions zako hiko tosha kinathibitisha dini zimekudumaza ufahamu wako.

Kama umeshindwa kunielewa in the first place then sidhani kama nikikuelewesha utaelewa sababu mindset yako imefungwa na kudumazwa na dini.
 
Kilichomsababisha mwafrika asiendelee hukijui na hutakijua
Wewe unayekijua kiweke hapa unachokijua then tujue nani ametumia facts na nani ametumia personal perspective.

Kama huwezi kuweka hapa then hujui usichokijua.
 
Umeenda nje ya mada probably sababu hujanielewa.
 
Nimewahi kuandika thread kama hii kuhusu hili,

"kwanini dini za asili hazipewi nafasi kwenye hafla za kitaifa!"

upo kwenye jukwaa la dini.
 
Mwalimu Nyerere alisema maadui wetu kimaendeleo ni Ujinga,,,Maradhi na Umaskini.Wakati huo aliposema dini haikuwepo.?Tuseme katika Tz ukaondoa hayo Mambo matatu ile bajeti iliokuwa ikitumika itaelekezwa wapi zaidi ya kwenye teknolojia na kumweka mwafrika mahali pa kuionyesha dunia jinsi alivyo na akili kubwa.!!

Mwafrika haonekani kutokana na daraja alilopo.Ila niamini Mimi ninapokuambia hapa Afrika Kuna watu wenye akili kubwa Sana japokuwa Wana dini,, either wakristo au waislamu.......

Labda nikuulize
1.Kwa Nini kampuni za kigeni zilizopo hapa Tanzania zikifanya miradi mikubwa zinafadhiliwa kiruzuku na nchi zilizotokea??

2.Kwa Nini project zote za utafiti ktk nchi zilizoendelea zinadhaminiwa na serikali zao??

3.Kwa Nini kutokana na Corona nchi zilizoendelea (za ulimwengu wa Kwanza) zimetoa ruzuku kwa makampuni na viwanda ili viendelee na uzalishaji?? Ina maana hivina mitaji?? Havikopesheki? Kwa Nini serikali ya kibepari isaidie sekta binafsi badala ya kukusanya Kodi?

Je umewahi kujiuliza kwa Nini baadhi yetu sisi watz tuna imani Sana na kàzi iliofanywa na foreigners na kudharau iliofanywa na mweusi mwenzetu ??

Je umewahi kujiuliza kwa Nini foreigners na kampuni zao wakija asilimia 90 ya expert ni sisi waafrika wenyewe???

Je umewahi kuona foreigners wanakimbia hapa Tanzania kutokana na madeni wakaacha vifaa vyao vyote (ambavyo sisi hatunavyo) na weusi wenzio wakavitumia wakaanzisha campuni yao wakaomba miradi Kama waliokuwa nayo foreigners na wakapata ikafanywa ktk accuracy ile ile waliofanya hao foreigners???

Tafakari kwa kina ni Nini kilichomfanya mwafrika asiendelee,,,,,,,,,,,,,
Umeenda nje ya mada probably sababu hujanielewa.
 
Hawa wazungu sijui walifanikiwaje kwenye hili mbona kule China & India walitawaliwa na wazungu lakini bado walibaki na dini zao
Hata mimi nashangaa haya mambo yanawezekana vp? Lakini pia mfano mzuri ni kutawaliwa kwa prof K'budi na pole pole, hawa jamaa ukiwaangalia kabla na baada ya uteuzi utagundua kwa sasa ni koloni la mtu fulani hapa mjini-

Refer to tume ja jaji Warioba wote walikuwa jicho la Watanzania kwenye rasimu ya katiba mpya lakini walipolamba tu- they are there to please their boss for everything bad or good
 
Tafadhali naomba urekebishe mada yako, ukristo sio dini. Kwaza kabisa kristo ni Mungu mtu. Ukristo ni Imani ya kuamini katika kristo. Dini ni mfumo, taratibu, sheria na kanuni anuai zinazoendesha imani ya kikristo
Kwanza niulize hapo.... Kristi ni nani.!?... Na Nani alimpa Hilo jina na imani ya kikristo maana yake tunamuabudu kristo si ndo maan yake ... Fafanua hapo
 
Hivi mtu akiamini Mungu imani hii ndio itamfanya asiweze kutengeza gari ?

Ama kuna dini inayomkataza Mtu asitengeneze gari ?

Ama asitengeneze na kuvumbua teknolojia ?
Soma uelewe makala yake nzima.... Ndo uulize ... Hzi dini zimetudumaza kweli waafrika ... Minmpka Leo sijajua kwann Mungu akutuletea mtume hata mmoja wa kiafrica...
 
Utatumia mda mwingi kutafakari kuhusu "moto wa milele " utapoteza mda mwingi kufunga macho kwa kusali ukitegemea wokovu ili uende mbinguni. Ndio maana ya kudumaza akili.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…