Dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika

Dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika

Acha ku troll. Fanya research vizuri. Ukristu umeanzia ethiopia kabla hata wazungu hawajabadili story kwa manufaa yao.
Niliwahi kusema hata wazungu walikuwa na dini za asili lakini ukristo ulipowafikia waliacha dini zao za kiasili na wakaufuata ukristo.Maana ukristo umeanzia Israel na ukaenezwa dunia nzima.Lakini kumekuja kizazi Sasa Cha wazungu hawautaki ukristo na si ajabu wakarudi kwenye asili.
Bila Shaka ndio wanataka uhuru wa kijinsia na kuamua watakavyo bila kuwepo kipingamizi.

Na wanataka ukristo uondolewe Kila mahali.Haishangazi kuona marekani wanadai eti Kuna jinsia ya tatu.Kwa hio shuleni kuwe na vyoo vya jinsia tatu,,au sivyo jinsia ya kike na hio ya tatu zitumie choo kimoja.

Lakini kikwazo kikubwa kwao kikawa biblia na imani ya kikristo hivyo hutumia mbinu zote waichafue.ili waweze kuleta kitu wanachokitaka.

Wako huru Kama ma puppet wao huku Africa walivyo huru..ila wasitake Kila mtu achague njia yao.
 
Hebu muulize tu, babu wa babu yake alikuwa mkristo au Muisilamu???, kama hakuwa na moja kati ya hizo dini basi atuambie alikuwa na maendeleo gani mbali na kuwa mchawi na mshirikina katika zama hizo.
Wote hamjui mnachoongea. Hamjui kwann tulitawaliwa na hamjui the power of black african. Afu kwani tulitawaliwa sisi tu. Kwenye historia ya dunia kila race ilishawahi kutawaliwa. Sisi ndo tulikua race ya mwisho inayomalizikia katika utawala wa direct. Wachina walishawahi kutawaliwa lakini mbona hawajidharau kama nyie mnavojidharau kuhusu swala la kutawaliwa.
 
Hakuna aliye mzidi mtu akili. Its a matter of time and opportunity. Ujinga wako unaanzia pale unapoanza kusema una akili ndogo kuliko mwanaume mwenzako. Unajipeleka kwenye utumwa mwenyewe bila hata nguvu. Jiamini ili hata huyo mzungu akija kukuonea hutakua na mtazamo wa kipumbavu wa kumuogopa kwa kufikiri anakuzidi akili
Kwa tafsiri yangu kuhusu akili ni kuwa, Akili ni Ufahamu au kipawa kinachomuwezesha mtu kufikiri, kuelewa, kuwasiliana, kupanga/kupangua, kujifunza na namna ya kutatua changamoto mbalimbali zinazomkabili mtu kulingana na mazingira aliyomo.

Nimesema wazungu na waarabu walituzidi akili kwa kuwa kabla ya kufika Africa wao wenyewe walikuwa wameshapata changamoto nyingi za kimazingira, kiutawala na kimkakati ikiwemo vita nyingi walizopigana baina yao katika kugombea ardhi na kutanua himaya zao, hivyo basi changamoto hizo ziliwafanya kukuwa kiakili kwa kutafuta maarifa sehemu mbalimbali na kuwa wabunifu, kwa ubunifu wao waliweza kugundua namna bora za utawala na udhibiti. Hali hiyo huku Africa ilikuwa haijafikiwa japo vita miongoni mwa watawala vilikuwepo lakini ubunifu haukuwa mkubwa.

Hivyo wao walipofika huku walikuta sisi bado tupo chini kiakili hivyo ilikuwa rahisi kwao kutushika na kututawala wanavyotaka, ndiyo maana utaona hata tunajivunia kutumia majina yao kwa kuwa walitudanganya eti ni majina ya dini (kitu ambacho ni uongo). Wahindi wametawaliwa na Waingereza lakini ni nadra sana kukuta muhindi anatumia jina la Kiingereza. Hii ni kwa kuwa wanajielewa sana tofauti na sisi, Wachina walitawaliwa na Japan kwa muda mrefu lakini ni nadra kukuta mchina anatumia jina la Kijapani ni kwa kuwa wanajielewa na uwezo wao wa kufikiri na kuchambua ni mkubwa.

Sisi kwa kuwa uwezo wetu ulikuwa mdogo hata tulipoletewa dini tulishindwa kuhoji Maana ya dini, matokeo yake tukapokea dini ikiambatana na mila na tamaduni zao kwa kuhisi kuwa navyo ni sehemu ya dini (kitu ambacho si cha kweli).
 
Hakuna aliye mzidi mtu akili. Its a matter of time and opportunity. Ujinga wako unaanzia pale unapoanza kusema una akili ndogo kuliko mwanaume mwenzako. Unajipeleka kwenye utumwa mwenyewe bila hata nguvu. Jiamini ili hata huyo mzungu akija kukuonea hutakua na mtazamo wa kipumbavu wa kumuogopa kwa kufikiri anakuzidi akili


Wewe si Genius ?!!, kwa kujiamini kwako umefanya kitu kipi cha kusaidia umma cha kukumbukwa??
 
Wote hamjui mnachoongea. Hamjui kwann tulitawaliwa na hamjui the power of black african. Afu kwani tulitawaliwa sisi tu. Kwenye historia ya dunia kila race ilishawahi kutawaliwa. Sisi ndo tulikua race ya mwisho inayomalizikia katika utawala wa direct. Wachina walishawahi kutawaliwa lakini mbona hawajidharau kama nyie mnavojidharau kuhusu swala la kutawaliwa.
Tatizo sie tunalalamika mambo ya kutawaliwa sijui tamaduni za kigeni utafikiri ni sie tu pekee ndio tuliotawaliwa au ndio sie pekee tunafuata tamaduni za watu wengine.
 
Unamwambia mwanamke tufunge ndoa ya serikali anakujibu "Yesu Maria na Yosefu, sitamkufuru Mungu " ni kudumaa kwa akili kutokana na hizi dini zilizosukwa na binadamu.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wazungu sijui walifanikiwaje kwenye hili mbona kule China & India walitawaliwa na wazungu lakini bado walibaki na dini zao

Nilikuwa naenda kanisani, ila baada ya kustuka, sasa hivi nimewapotezea vibaya sana.
 
Kitendo cha kuacha mila zako na kufuata za kizungu ni "utumwa " uliokubuhu. Ni kudumaa kiakili! Haraka turudi kwenye matambiko yetu Waafrika. Zamani likipigwa tambiko la uhakika janga (njaa) inaondoka na mvua inanyesha. Sasa tumekufuru kwa kutokuzingatia matambiko.
 
yerickonyerere_20201227_182247_0.jpg
 
Acheni kupotosha umma. Dini ina Mchango mkubwa Sana katika Maendeleo ya Dunia. Si Ulaya tu lakini hata Africa.
Shule za kwanza za Misheni ndio zimetuletea viongozi wapigania uhuru huku Africa.
Huduma Bora za jamii huku Africa mpaka leo ni zile zinazotolewa na Mashirika ya Dini..ikiwemo Afya na Elimu. n.k

Jibuni swali kivipi Dini inakufanya usivumbue vitu ??
 
Back
Top Bottom