Dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika

Dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika

Dini ni mifumo ya wanadamu waliyo ibuni pia dini haijakataza watu kufanya maendeleo, Africa tujilaumu kwa ujinga wetu tusisingizie dini kabisa tujilaumu wenyewe, mfano ufisadi, ujinga maradhi na huduma muhimu za kijamii kushindwa kuxitekeleza hapo dini imeingia vipi?
Mkuu bila shaka sidhani kama umesoma uzi wote.
Hivyo vyote nimeelezea dini ilivyoingia hapo.
 
Hayo nimeandika kwenye uzi na wewe uliniambia huwezi kusoma uzi wote.

Bahati mbaya Mimi sina muda wa kupoteza kuelezea vitu ambavto nimeshaelezea.

Soma uzi wote.
Uzi wako hata tuusome wote kumbuka lazima maswali yatakuwepo.

Okey Ila sio lazima kujibu
 
Mkuu bila shaka sidhani kama umesoma uzi wote.
Hivyo vyote nimeelezea dini ilivyoingia hapo.
Kijana pengine unaona umeelezea kwa maelezo yako lakini wasomaji hatujaona mahusiano hivyo tunataka maelezo ya ziada.

Usione kwamba mada yako iko kamilifu sana kiasi kwamba watu wasihoji yaliyo ndani ya mada ati kwa kuwa mada yako imegusa kila kitu kwa UNAVYOONA.

Ukianzisha mada unatakiwa uitetee.

Watu wanajafili kilichokuwa ndani ya mada yako yaani ulichoandika kwaaama wako ndani ya mada.

Wewe unasema ati yote umeeleza,basi kusiwepo na comment ati kwa maana hii.
 
na sio kwamba inatosha kwa mtu mmoja kuathiriwa na fikra za dini hiyo na kumdumaza endapo ataiamini ?
Nikikuambia wewe peke yako ukajenge daraja la kigamboni je ungeweza?
Kwa hiyo unataka kutuambia dini ili ilemaze na kumtia mtu ujinga basi lazima dini hiyo ipokelewe na watu wengi saaaaaana ?
Hapana.
 
Moja wapo ya kikwazo cha maendeleo ya waafirika ni kuwa na watu wenye mawazo ya kijinga kama ya kwako.
Kwahiyo ukiwa mkiristo au mwislam basi ndo kigezo cha kushindwa kufanya maendeleo au?
Kama ndio hivyo mbona Thairand ambayo asilimia 90 ni mabudha isizizidi maendeleo UAE,Qtaar,saudia, Uturuki, Malaysia,Indonesia,Iran,Burunei ambayo asilimia karibia 95 ya raia wake ni waislam?
Kama ndio hivyo mbona Mianimar ambayo aslimia 95 ya raia wake ni mabudha isizizidi maendeleo ,Marekani, Ujerumani,ufaransa,Italia ambazo zaidi ya asilimia 90 ya raia wake ni wakiristo?
Hao wahindi unao wasifia kuabudu dini zao za asili ndo kila siku wana kimbilia Ulaya na mashariki ya kati kutafuta kazi kwa hao wenye hizo dini ambazo una ziponda.
Hata hapa Tz asilimia kubwa ya wasukuma hasa wa vijijini hawaaini katika hizo dini je wamefanya maajabu gani ndani ya Tz?
Mkuu kabla hujaleta mada jaribu kuangaisha akili yako.
 
Nikikuambia wewe peke yako ukajenge daraja la kigamboni je ungeweza?
Unachanganya madawa kabisa hapa.
Daraja ni suala la kimaendeleo linalohitaji nguvu ya watu kadhaa ili likamilike.

Aje na dini inahitaji nguvu ya watu kadhaa kuikubali na kuiamini ili ndo iwe dini ni ujinga rasmi ?

Yaani haitoshi dini kuwa ujinga mpaka waiamini watu wengi sana ?
 
Kama shida yako ni dini, hakuna binadamu asiye na dini, ni swala la tafsiri tu, ...
Sasa dini hizo mbili ndio chanzo mojawapo kati ya vingi vilivyolemaza ufahamu africa.

Sidhani kama kuna special scientist yoyote kutoka africa anayefanya tafiti kubwa za kidunia kama wapo basi wachache sana.
 
Moja wapo ya kikwazo cha maendeleo ya waafirika ni kuwa na watu wenye mawazo ya kijinga kama ya kwako.
Kwahiyo ukiwa mkiristo au mwislam basi ndo kigezo cha kushindwa kufanya maendeleo au?
Kama ndio hivyo mbona Thairand ambayo asilimia 90 ni mabudha isizizidi maendeleo UAE,Qtaar,saudia, Uturuki, Malaysia,Indonesia,Iran,Burunei ambayo asilimia karibia 95 ya raia wake ni waislam?
Kama ndio hivyo mbona Mianimar ambayo aslimia 95 ya raia wake ni mabudha isizizidi maendeleo ,Marekani, Ujerumani,ufaransa,Italia ambazo zaidi ya asilimia 90 ya raia wake ni wakiristo?
Hao wahindi unao wasifia kuabudu dini zao za asili ndo kila siku wana kimbilia Ulaya na mashariki ya kati kutafuta kazi kwa hao wenye hizo dini ambazo una ziponda.
Hata hapa Tz asilimia kubwa ya wasukuma hasa wa vijijini hawaaini katika hizo dini je wamefanya maajabu gani ndani ya Tz?
Mkuu kabla hujaleta mada jaribu kuangaisha akili yako.
Wanafikiri kutukana dini ndo suluhisho.
 
Moja wapo ya kikwazo cha maendeleo ya waafirika ni kuwa na watu wenye mawazo ya kijinga kama ya kwako.
Kwahiyo ukiwa mkiristo au mwislam basi ndo kigezo cha kushindwa kufanya maendeleo au?
Kama ndio hivyo mbona Thairand ambayo asilimia 90 ni mabudha isizizidi maendeleo UAE,Qtaar,saudia, Uturuki, Malaysia,Indonesia,Iran,Burunei ambayo asilimia karibia 95 ya raia wake ni waislam?
Kama ndio hivyo mbona Mianimar ambayo aslimia 95 ya raia wake ni mabudha isizizidi maendeleo ,Marekani, Ujerumani,ufaransa,Italia ambazo zaidi ya asilimia 90 ya raia wake ni wakiristo?
Hao wahindi unao wasifia kuabudu dini zao za asili ndo kila siku wana kimbilia Ulaya na mashariki ya kati kutafuta kazi kwa hao wenye hizo dini ambazo una ziponda.
Hata hapa Tz asilimia kubwa ya wasukuma hasa wa vijijini hawaaini katika hizo dini je wamefanya maajabu gani ndani ya Tz?
Mkuu kabla hujaleta mada jaribu kuangaisha akili yako.
wasukuma wanaonesha dhaili the weakeness of African religion and traditional
 
Mtoa mada yeye mwenyewe anamini maandishi asiyoyaleta mwenyewe. Matusi yanayoelekezwa kwenye Dini na waumini wake hayafanani na mafanikio ya watu kimaisha hata China wapo maskini km walivyoa Africa
 
Kimsingi jamani dini inayo muhusisha mungu niyakuiga kutokana hajawahi kuwaacha watu pa baya " jaribu kujiangalia wewe binafsi kwamba ni dini gani inakuweka huru" then ndo utuambie mmoja kwa mmoja kuwa umejifunza mangapi kuliko kutopotosha.
 
Kimsingi jamani dini inayo muhusisha mungu niyakuiga kutokana hajawahi kuwaacha watu pa baya " jaribu kujiangalia wewe binafsi kwamba ni dini gani inakuweka huru" then ndo utuambie mmoja kwa mmoja kuwa umejifunza mangapi kuliko kutopotosha.
 
Moja wapo ya kikwazo cha maendeleo ya waafirika ni kuwa na watu wenye mawazo ya kijinga kama ya kwako.
Kwahiyo ukiwa mkiristo au mwislam basi ndo kigezo cha kushindwa kufanya maendeleo au?
Kama ndio hivyo mbona Thairand ambayo asilimia 90 ni mabudha isizizidi maendeleo UAE,Qtaar,saudia, Uturuki, Malaysia,Indonesia,Iran,Burunei ambayo asilimia karibia 95 ya raia wake ni waislam?
Kama ndio hivyo mbona Mianimar ambayo aslimia 95 ya raia wake ni mabudha isizizidi maendeleo ,Marekani, Ujerumani,ufaransa,Italia ambazo zaidi ya asilimia 90 ya raia wake ni wakiristo?
Hao wahindi unao wasifia kuabudu dini zao za asili ndo kila siku wana kimbilia Ulaya na mashariki ya kati kutafuta kazi kwa hao wenye hizo dini ambazo una ziponda.
Hata hapa Tz asilimia kubwa ya wasukuma hasa wa vijijini hawaaini katika hizo dini je wamefanya maajabu gani ndani ya Tz?
Mkuu kabla hujaleta mada jaribu kuangaisha akili yako.
Mkuu nadhani mtoa mada angebase kwenye utabaka na ubaguzi na siyo maendeleo

Ali in all namuunga mkono
 
Straight to the topic.

Africans wengi wanaamini kwenye dini kuliko chochote kile hapa duniani.

Na watu wanaomini kwenye dini wanaamini wapo hapa duniani ili kumuabudu mungu tu na si kingine.

Well hapa kwetu africa kuna dini kubwa mbili yaani uislamu na ukristo.

Na kwenye hizo dini kubwa mbili kila mtu anajiona yuko sahihi na kitabu chake ni sahii na dini ndio sahihi.
Na dini nyingine zaidi ya kwake ni ya uongo wala si ya kweli.

Cha ajabu hizi dini sio za africa bali zinatoka nje ya africa. Unaona akili ya mwafrika ilivyo hapo?

Na cha kushangaza zaidi hizi dini kwa karibu asilimia 90% zinatoka kwa wakoloni walioivamia africa.

Na sio wakoloni tu waliotukandamiza watu weusi, hapana hata hizo dini zimekandamiza watu weusi.

Na bila shaka hizo dini zilikuwa na mipango ya muda mrefu kuanzia miaka 100 mbele ili zifanikiwe na kweli zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Kumbuka ukitaka kumteka mtu kwenye kila kitu basi anza kumteka ufahamu wake.

Dini za wakoloni ndio chanzo mojawapo leo tuko hapa.

**********

Binadamu unatakiwa uwe na uwezo wa kujitambua na kujielewa ili kuepuka kuendeshwa na hisia ila ukishindwa kujitambua na kujielewa basi tegemea uwe controlled na hisia na hiyo ni sign ya ukosefu wa hivyo vitu hapo juu na vingine vya ziada yaani

=Kujitambua
=Kujielewa


Unajua kuna vitu vya kuchagua na kuvifanya au kuvitenda na kuna vitu vya kuacha. Hayo yote yanategemea na ufahamu wako.

Sasa huyu muafrika kwa yote yale aliyofanyiwa kuteswa, kudhihakiwa, kudharirishwa na mengine mengi mabaya.
Still mwafrika huyu alikubali kupokea dini hizi za mkoloni na kukubali kuwa ndio ufahamu wake na kila kitu kwenye hiyo dini kipo sahihi na hatoruhusiwa kupinga au kuhoji chochote juu ya hiyo dini au atalaaniwa.

Mwafrika huyu mweusi amekubali kupokea dini ambayo.
=Amepewa na watu weupe waliomfanyia kila aina ya ubaya na ukatili.
=Kila mtume kwenye hizo dini ni mweupe
=Hata mungu wa kwenye hizo dini katuma watu weupe waje kutangaza hizo dini weusi sijui kwanini kawaacha
=Alikubali kupokea dini ambazo mtu mweusi ni nembo ya shetani na nyeupe ni nuru ya malaika.
(Huo ni ubaguzi pure)
=Dini ambazo inasema mweusi amelaaniwa nk

Hapohapo Yaani mwafrika yupo tayari
=Akuue
=Akutukane
=Akudharirishe
=Akudharau
=Akupige
=Akudhihaki au chochote kile kibaya mwafrika atamfanyia mwafrika mwenzake sababu ya dini aliyopewa na mtu aliyemtesa, kumtukana, kumdhihaki na kumdharirisha.

Still mwafrika mweusi huyohuyo anaamini yeye amelaaniwa kwa rangi yake na yeye si chochote mbele ya mweupe kwani mweupe amebarikiwa.
Hapo hakumbuki kama hiyo dini kampa huyohuyo mweupe aliyemtesa na kumpiga mijeredi ya mgongo ili asiangushe pembe za tembo.

Yes huyo ndio mwafrika wa africa usijali hata humu watajitokeza watu kama hao. Asilimia kadhaa za hao watu wapo humu jf.

Na hapo mwafrika huyo bado ataendelea kumchukia mwafrika wa dini nyingine kivyovyote vile.

*******

Labda mababu zetu walikosa hivyo vitu yaani kujielewa na kujitambua hivyo wakawa wanaendeshwa na hisia bila wao kujua hivyo ikawafanya wasie na akili wala maarifa ya kueleweka.
Lakini binadamu anabadirika kadri muda unavyozidi kwenda
Hivyo hata sisi tunaweza kubadirika na kuanza kujitambua na kujielewa na sio kuendeshwa na hisia tena au Africans itakuwa ngumu kubadirika.

kila kitu kimerahisishwa na hao wazungu ambavyo si vya kupotosha na kukandamiza kama dini hivyo tunaweza kutumia hivyo vitu vizuri kuweza kubadirika na kujiongeza na sio kuendelea kubomoka.

Kumbuka nilikwambia binadamu anatakiwa awe na sifa ya kujitambua na kujielewa ili aisendeshwa na hisia au imani hivyo ni lazima kujua kipi cha kuchukua na kuacha na sio kupelekeshwa kama fuso bovu na hizo hisia kama mababu zetu waliokubali hizi imani.

*******

SASA HII IMEATHIRI VIPI UFAHAMU AU UBONGO WA MWAFRIKA.

=Well baada ya hapo mwafrika akawa muoga wa kuhoji "kwanini. sababu ya kuogopa kukufuru na kulaaniwa alafu alishaalaniwa mara kwanza.
=Mwafrika akawa mvivu wa kufikiri kwa kusema kila kitu anapanga mungu hivyo huyo mwafrika kubweteka chini akitegemea mungu atamfanya apate anachokitaka huku amekaa tu chini ya mwembe. Hadi leo hawa watu wapo na ndio masikini wa kwanza yaani mafukara.
=mwafrika huyu anaamini wazungu ndio wamebarikiwa na ndio maana wameendelea.
=mwafrika ubongo wake wote umelala sababu ameaminishwa yeye si chochote kwani amelaaniwa na ndo maana rangi yake nyeusi.
=mwafrika anaamini duniani anapita tu na yupo hapa kumuabudu mungu tu.
Hivyo huyo mwafrika kuendelea kufa masikini na kuendelea kuishi na changamoto sababu yeye kaja kumuabudu mungu tu na kuijaza dunia na si kingine wakati huo weupe wakiendelea kukua kila siku.
=Mwafrika anaogopa kutumia na kutegemea ufahamu wake sababu dini imemwambia asitumie ufahamu wake sababu mungu yupo.
Na anashindwa kujiuliza vitu vyote anavyotumia vimetokana na ufahamu.
=Na watu kugombana sababu ya dini iliyoletwa na weupe hata huyo mweupe akiona anaweza shangaa akili zao zilivyo za ajabu hao Africans wakimpigania mtume mweupe wa kwenye kitabu.

Na mpaka leo africa hatuna kitu ambacho kimetokana na sisi wenyewe, labda kama wangetuacha kipindi kike labda tungechelewa lakini tungepata ufahamu taratibu kuliko kutuharibu kabisa na hizi dini.

Mbona china wana dini zao lakini wana maendeleo makubwa sana na ni wamoja tena wana ufahamu mkubwa ukilinganisha na sisi.

Africans hatuna umoja wala ushirikiano sababu tunachukiana na kubaguana kidini kwa dini ambazo zililetwa na watu kutoka nje kitu ambacho ni ujinga.

Najua wengi mmerukia mwisho sababu ndio tabia zenu za kutokupenda kushughulisha vichwa vyenu.
Sasa nakuambia popote utakapomtukana mtu yoyote sababu ya tofauti za kidini basi tambua hiyo dini si asili yako bali ulipewa na mweupe ili apate kukuendesha na kukucontroll so think again.

Nadhani baada ya hapo tutaacha kutukanana, kudhihakiana, kudharauriana, kubaguana sababu ya dini na hapo ndio mwanzo wa kujitambua.

na wote kuwa kitu kimoja kitu ambacho hakiwezekani.
Fantastic, well said bro.
 
Straight to the topic.

Africans wengi wanaamini kwenye dini kuliko chochote kile hapa duniani.

Na watu wanaomini kwenye dini wanaamini wapo hapa duniani ili kumuabudu mungu tu na si kingine.

Well hapa kwetu africa kuna dini kubwa mbili yaani uislamu na ukristo.

Na kwenye hizo dini kubwa mbili kila mtu anajiona yuko sahihi na kitabu chake ni sahii na dini ndio sahihi.
Na dini nyingine zaidi ya kwake ni ya uongo wala si ya kweli.

Cha ajabu hizi dini sio za africa bali zinatoka nje ya africa. Unaona akili ya mwafrika ilivyo hapo?

Na cha kushangaza zaidi hizi dini kwa karibu asilimia 90% zinatoka kwa wakoloni walioivamia africa.

Na sio wakoloni tu waliotukandamiza watu weusi, hapana hata hizo dini zimekandamiza watu weusi.

Na bila shaka hizo dini zilikuwa na mipango ya muda mrefu kuanzia miaka 100 mbele ili zifanikiwe na kweli zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Kumbuka ukitaka kumteka mtu kwenye kila kitu basi anza kumteka ufahamu wake.

Dini za wakoloni ndio chanzo mojawapo leo tuko hapa.

**********

Binadamu unatakiwa uwe na uwezo wa kujitambua na kujielewa ili kuepuka kuendeshwa na hisia ila ukishindwa kujitambua na kujielewa basi tegemea uwe controlled na hisia na hiyo ni sign ya ukosefu wa hivyo vitu hapo juu na vingine vya ziada yaani

=Kujitambua
=Kujielewa


Unajua kuna vitu vya kuchagua na kuvifanya au kuvitenda na kuna vitu vya kuacha. Hayo yote yanategemea na ufahamu wako.

Sasa huyu muafrika kwa yote yale aliyofanyiwa kuteswa, kudhihakiwa, kudharirishwa na mengine mengi mabaya.
Still mwafrika huyu alikubali kupokea dini hizi za mkoloni na kukubali kuwa ndio ufahamu wake na kila kitu kwenye hiyo dini kipo sahihi na hatoruhusiwa kupinga au kuhoji chochote juu ya hiyo dini au atalaaniwa.

Mwafrika huyu mweusi amekubali kupokea dini ambayo.
=Amepewa na watu weupe waliomfanyia kila aina ya ubaya na ukatili.
=Kila mtume kwenye hizo dini ni mweupe
=Hata mungu wa kwenye hizo dini katuma watu weupe waje kutangaza hizo dini weusi sijui kwanini kawaacha
=Alikubali kupokea dini ambazo mtu mweusi ni nembo ya shetani na nyeupe ni nuru ya malaika.
(Huo ni ubaguzi pure)
=Dini ambazo inasema mweusi amelaaniwa nk

Hapohapo Yaani mwafrika yupo tayari
=Akuue
=Akutukane
=Akudharirishe
=Akudharau
=Akupige
=Akudhihaki au chochote kile kibaya mwafrika atamfanyia mwafrika mwenzake sababu ya dini aliyopewa na mtu aliyemtesa, kumtukana, kumdhihaki na kumdharirisha.

Still mwafrika mweusi huyohuyo anaamini yeye amelaaniwa kwa rangi yake na yeye si chochote mbele ya mweupe kwani mweupe amebarikiwa.
Hapo hakumbuki kama hiyo dini kampa huyohuyo mweupe aliyemtesa na kumpiga mijeredi ya mgongo ili asiangushe pembe za tembo.

Yes huyo ndio mwafrika wa africa usijali hata humu watajitokeza watu kama hao. Asilimia kadhaa za hao watu wapo humu jf.

Na hapo mwafrika huyo bado ataendelea kumchukia mwafrika wa dini nyingine kivyovyote vile.

*******

Labda mababu zetu walikosa hivyo vitu yaani kujielewa na kujitambua hivyo wakawa wanaendeshwa na hisia bila wao kujua hivyo ikawafanya wasie na akili wala maarifa ya kueleweka.
Lakini binadamu anabadirika kadri muda unavyozidi kwenda
Hivyo hata sisi tunaweza kubadirika na kuanza kujitambua na kujielewa na sio kuendeshwa na hisia tena au Africans itakuwa ngumu kubadirika.

kila kitu kimerahisishwa na hao wazungu ambavyo si vya kupotosha na kukandamiza kama dini hivyo tunaweza kutumia hivyo vitu vizuri kuweza kubadirika na kujiongeza na sio kuendelea kubomoka.

Kumbuka nilikwambia binadamu anatakiwa awe na sifa ya kujitambua na kujielewa ili aisendeshwa na hisia au imani hivyo ni lazima kujua kipi cha kuchukua na kuacha na sio kupelekeshwa kama fuso bovu na hizo hisia kama mababu zetu waliokubali hizi imani.

*******

SASA HII IMEATHIRI VIPI UFAHAMU AU UBONGO WA MWAFRIKA.

=Well baada ya hapo mwafrika akawa muoga wa kuhoji "kwanini. sababu ya kuogopa kukufuru na kulaaniwa alafu alishaalaniwa mara kwanza.
=Mwafrika akawa mvivu wa kufikiri kwa kusema kila kitu anapanga mungu hivyo huyo mwafrika kubweteka chini akitegemea mungu atamfanya apate anachokitaka huku amekaa tu chini ya mwembe. Hadi leo hawa watu wapo na ndio masikini wa kwanza yaani mafukara.
=mwafrika huyu anaamini wazungu ndio wamebarikiwa na ndio maana wameendelea.
=mwafrika ubongo wake wote umelala sababu ameaminishwa yeye si chochote kwani amelaaniwa na ndo maana rangi yake nyeusi.
=mwafrika anaamini duniani anapita tu na yupo hapa kumuabudu mungu tu.
Hivyo huyo mwafrika kuendelea kufa masikini na kuendelea kuishi na changamoto sababu yeye kaja kumuabudu mungu tu na kuijaza dunia na si kingine wakati huo weupe wakiendelea kukua kila siku.
=Mwafrika anaogopa kutumia na kutegemea ufahamu wake sababu dini imemwambia asitumie ufahamu wake sababu mungu yupo.
Na anashindwa kujiuliza vitu vyote anavyotumia vimetokana na ufahamu.
=Na watu kugombana sababu ya dini iliyoletwa na weupe hata huyo mweupe akiona anaweza shangaa akili zao zilivyo za ajabu hao Africans wakimpigania mtume mweupe wa kwenye kitabu.

Na mpaka leo africa hatuna kitu ambacho kimetokana na sisi wenyewe, labda kama wangetuacha kipindi kike labda tungechelewa lakini tungepata ufahamu taratibu kuliko kutuharibu kabisa na hizi dini.

Mbona china wana dini zao lakini wana maendeleo makubwa sana na ni wamoja tena wana ufahamu mkubwa ukilinganisha na sisi.

Africans hatuna umoja wala ushirikiano sababu tunachukiana na kubaguana kidini kwa dini ambazo zililetwa na watu kutoka nje kitu ambacho ni ujinga.

Najua wengi mmerukia mwisho sababu ndio tabia zenu za kutokupenda kushughulisha vichwa vyenu.
Sasa nakuambia popote utakapomtukana mtu yoyote sababu ya tofauti za kidini basi tambua hiyo dini si asili yako bali ulipewa na mweupe ili apate kukuendesha na kukucontroll so think again.

Nadhani baada ya hapo tutaacha kutukanana, kudhihakiana, kudharauriana, kubaguana sababu ya dini na hapo ndio mwanzo wa kujitambua.

na wote kuwa kitu kimoja kitu ambacho hakiwezekani.
USILOLIJUA...NI SAWA NA USIKU WA KIZA

Nina hakika
Uislam huujui,na wala huna mpango wa kuujua
Kwasababu umemezeshwa maji yasiyofaa

FAHAMU DOGO
Uislam,unahimiza sana elimu,kujitambua,kushindana katika maendeleo

Huu ndio Uislam
Hakuna sehemu katika Uislam,inasema usisome Dunia yako na wala usiifikirie

Bali uhakika na uhalisia
UISLAM NI DINI YA ELIMU

Lakini wengi(mfano wako)hawajui

Jioni njema
 
Straight to the topic.

Africans wengi wanaamini kwenye dini kuliko chochote kile hapa duniani.

Na watu wanaomini kwenye dini wanaamini wapo hapa duniani ili kumuabudu mungu tu na si kingine.

Well hapa kwetu africa kuna dini kubwa mbili yaani uislamu na ukristo.

Na kwenye hizo dini kubwa mbili kila mtu anajiona yuko sahihi na kitabu chake ni sahii na dini ndio sahihi.
Na dini nyingine zaidi ya kwake ni ya uongo wala si ya kweli.

Cha ajabu hizi dini sio za africa bali zinatoka nje ya africa. Unaona akili ya mwafrika ilivyo hapo?

Na cha kushangaza zaidi hizi dini kwa karibu asilimia 90% zinatoka kwa wakoloni walioivamia africa.

Na sio wakoloni tu waliotukandamiza watu weusi, hapana hata hizo dini zimekandamiza watu weusi.

Na bila shaka hizo dini zilikuwa na mipango ya muda mrefu kuanzia miaka 100 mbele ili zifanikiwe na kweli zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Kumbuka ukitaka kumteka mtu kwenye kila kitu basi anza kumteka ufahamu wake.

Dini za wakoloni ndio chanzo mojawapo leo tuko hapa.

**********

Binadamu unatakiwa uwe na uwezo wa kujitambua na kujielewa ili kuepuka kuendeshwa na hisia ila ukishindwa kujitambua na kujielewa basi tegemea uwe controlled na hisia na hiyo ni sign ya ukosefu wa hivyo vitu hapo juu na vingine vya ziada yaani

=Kujitambua
=Kujielewa


Unajua kuna vitu vya kuchagua na kuvifanya au kuvitenda na kuna vitu vya kuacha. Hayo yote yanategemea na ufahamu wako.

Sasa huyu muafrika kwa yote yale aliyofanyiwa kuteswa, kudhihakiwa, kudharirishwa na mengine mengi mabaya.
Still mwafrika huyu alikubali kupokea dini hizi za mkoloni na kukubali kuwa ndio ufahamu wake na kila kitu kwenye hiyo dini kipo sahihi na hatoruhusiwa kupinga au kuhoji chochote juu ya hiyo dini au atalaaniwa.

Mwafrika huyu mweusi amekubali kupokea dini ambayo.
=Amepewa na watu weupe waliomfanyia kila aina ya ubaya na ukatili.
=Kila mtume kwenye hizo dini ni mweupe
=Hata mungu wa kwenye hizo dini katuma watu weupe waje kutangaza hizo dini weusi sijui kwanini kawaacha
=Alikubali kupokea dini ambazo mtu mweusi ni nembo ya shetani na nyeupe ni nuru ya malaika.
(Huo ni ubaguzi pure)
=Dini ambazo inasema mweusi amelaaniwa nk

Hapohapo Yaani mwafrika yupo tayari
=Akuue
=Akutukane
=Akudharirishe
=Akudharau
=Akupige
=Akudhihaki au chochote kile kibaya mwafrika atamfanyia mwafrika mwenzake sababu ya dini aliyopewa na mtu aliyemtesa, kumtukana, kumdhihaki na kumdharirisha.

Still mwafrika mweusi huyohuyo anaamini yeye amelaaniwa kwa rangi yake na yeye si chochote mbele ya mweupe kwani mweupe amebarikiwa.
Hapo hakumbuki kama hiyo dini kampa huyohuyo mweupe aliyemtesa na kumpiga mijeredi ya mgongo ili asiangushe pembe za tembo.

Yes huyo ndio mwafrika wa africa usijali hata humu watajitokeza watu kama hao. Asilimia kadhaa za hao watu wapo humu jf.

Na hapo mwafrika huyo bado ataendelea kumchukia mwafrika wa dini nyingine kivyovyote vile.

*******

Labda mababu zetu walikosa hivyo vitu yaani kujielewa na kujitambua hivyo wakawa wanaendeshwa na hisia bila wao kujua hivyo ikawafanya wasie na akili wala maarifa ya kueleweka.
Lakini binadamu anabadirika kadri muda unavyozidi kwenda
Hivyo hata sisi tunaweza kubadirika na kuanza kujitambua na kujielewa na sio kuendeshwa na hisia tena au Africans itakuwa ngumu kubadirika.

kila kitu kimerahisishwa na hao wazungu ambavyo si vya kupotosha na kukandamiza kama dini hivyo tunaweza kutumia hivyo vitu vizuri kuweza kubadirika na kujiongeza na sio kuendelea kubomoka.

Kumbuka nilikwambia binadamu anatakiwa awe na sifa ya kujitambua na kujielewa ili aisendeshwa na hisia au imani hivyo ni lazima kujua kipi cha kuchukua na kuacha na sio kupelekeshwa kama fuso bovu na hizo hisia kama mababu zetu waliokubali hizi imani.

*******

SASA HII IMEATHIRI VIPI UFAHAMU AU UBONGO WA MWAFRIKA.

=Well baada ya hapo mwafrika akawa muoga wa kuhoji "kwanini. sababu ya kuogopa kukufuru na kulaaniwa alafu alishaalaniwa mara kwanza.
=Mwafrika akawa mvivu wa kufikiri kwa kusema kila kitu anapanga mungu hivyo huyo mwafrika kubweteka chini akitegemea mungu atamfanya apate anachokitaka huku amekaa tu chini ya mwembe. Hadi leo hawa watu wapo na ndio masikini wa kwanza yaani mafukara.
=mwafrika huyu anaamini wazungu ndio wamebarikiwa na ndio maana wameendelea.
=mwafrika ubongo wake wote umelala sababu ameaminishwa yeye si chochote kwani amelaaniwa na ndo maana rangi yake nyeusi.
=mwafrika anaamini duniani anapita tu na yupo hapa kumuabudu mungu tu.
Hivyo huyo mwafrika kuendelea kufa masikini na kuendelea kuishi na changamoto sababu yeye kaja kumuabudu mungu tu na kuijaza dunia na si kingine wakati huo weupe wakiendelea kukua kila siku.
=Mwafrika anaogopa kutumia na kutegemea ufahamu wake sababu dini imemwambia asitumie ufahamu wake sababu mungu yupo.
Na anashindwa kujiuliza vitu vyote anavyotumia vimetokana na ufahamu.
=Na watu kugombana sababu ya dini iliyoletwa na weupe hata huyo mweupe akiona anaweza shangaa akili zao zilivyo za ajabu hao Africans wakimpigania mtume mweupe wa kwenye kitabu.

Na mpaka leo africa hatuna kitu ambacho kimetokana na sisi wenyewe, labda kama wangetuacha kipindi kike labda tungechelewa lakini tungepata ufahamu taratibu kuliko kutuharibu kabisa na hizi dini.

Mbona china wana dini zao lakini wana maendeleo makubwa sana na ni wamoja tena wana ufahamu mkubwa ukilinganisha na sisi.

Africans hatuna umoja wala ushirikiano sababu tunachukiana na kubaguana kidini kwa dini ambazo zililetwa na watu kutoka nje kitu ambacho ni ujinga.

Najua wengi mmerukia mwisho sababu ndio tabia zenu za kutokupenda kushughulisha vichwa vyenu.
Sasa nakuambia popote utakapomtukana mtu yoyote sababu ya tofauti za kidini basi tambua hiyo dini si asili yako bali ulipewa na mweupe ili apate kukuendesha na kukucontroll so think again.

Nadhani baada ya hapo tutaacha kutukanana, kudhihakiana, kudharauriana, kubaguana sababu ya dini na hapo ndio mwanzo wa kujitambua.

na wote kuwa kitu kimoja kitu ambacho hakiwezekani.
Ahsante Sana, Ila Nina swali, wewe unayodini?
 
Kijana pengine unaona umeelezea kwa maelezo yako lakini wasomaji hatujaona mahusiano hivyo tunataka maelezo ya ziada.

Usione kwamba mada yako iko kamilifu sana kiasi kwamba watu wasihoji yaliyo ndani ya mada ati kwa kuwa mada yako imegusa kila kitu kwa UNAVYOONA.

Ukianzisha mada unatakiwa uitetee.

Watu wanajafili kilichokuwa ndani ya mada yako yaani ulichoandika kwaaama wako ndani ya mada.

Wewe unasema ati yote umeeleza,basi kusiwepo na comment ati kwa maana hii.
mkuu maswali unayouliza yote yapo kwenye mada, soma tena.
 
Back
Top Bottom