Moja wapo ya kikwazo cha maendeleo ya waafirika ni kuwa na watu wenye mawazo ya kijinga kama ya kwako.
Kwahiyo ukiwa mkiristo au mwislam basi ndo kigezo cha kushindwa kufanya maendeleo au?
Kama ndio hivyo mbona Thairand ambayo asilimia 90 ni mabudha isizizidi maendeleo UAE,Qtaar,saudia, Uturuki, Malaysia,Indonesia,Iran,Burunei ambayo asilimia karibia 95 ya raia wake ni waislam?
Kama ndio hivyo mbona Mianimar ambayo aslimia 95 ya raia wake ni mabudha isizizidi maendeleo ,Marekani, Ujerumani,ufaransa,Italia ambazo zaidi ya asilimia 90 ya raia wake ni wakiristo?
Hao wahindi unao wasifia kuabudu dini zao za asili ndo kila siku wana kimbilia Ulaya na mashariki ya kati kutafuta kazi kwa hao wenye hizo dini ambazo una ziponda.
Hata hapa Tz asilimia kubwa ya wasukuma hasa wa vijijini hawaaini katika hizo dini je wamefanya maajabu gani ndani ya Tz?
Mkuu kabla hujaleta mada jaribu kuangaisha akili yako.