Dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika

Dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika

Moja wapo ya kikwazo cha maendeleo ya waafirika ni kuwa na watu wenye mawazo ya kijinga kama ya kwako.
unawzeza kuprove hilo?

au umetumia emotion kudefend dini?
Kwahiyo ukiwa mkiristo au mwislam basi ndo kigezo cha kushindwa kufanya maendeleo au?
soma vizuri mada eidha hujasoma hujaelewa au hujasoma yote.
Kama ndio hivyo mbona Thairand ambayo asilimia 90 ni mabudha isizizidi maendeleo UAE,Qtaar,saudia, Uturuki, Malaysia,Indonesia,Iran,Burunei ambayo asilimia karibia 95 ya raia wake ni waislam?

ndio maana nimesema dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika. na sio dini zimedumaza ufahamu wa mwafrika, ufahamu wa mwafrika ulishadumaa kutokana na mazingira.
Kama ndio hivyo mbona Mianimar ambayo aslimia 95 ya raia wake ni mabudha isizizidi maendeleo ,Marekani, Ujerumani,ufaransa,Italia ambazo zaidi ya asilimia 90 ya raia wake ni wakiristo?
nimesema afrika.
Hao wahindi unao wasifia kuabudu dini zao za asili ndo kila siku wana kimbilia Ulaya na mashariki ya kati kutafuta kazi kwa hao wenye hizo dini ambazo una ziponda.
hakuna sehemu nimesifia wahindi.

bali nimesema china.
Hata hapa Tz asilimia kubwa ya wasukuma hasa wa vijijini hawaaini katika hizo dini je wamefanya maajabu gani ndani ya Tz?
Mkuu kabla hujaleta mada jaribu kuangaisha akili yako.
wewe ndio ilibidi uunganishe akili yako kala hujacomment mimi nimesema dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika na sio dini zimedumaza ufahamu wa mwafrika.

ufahamu wa mwafrika ulishadumaa tangu mwanzo. soma kwa makini nilichoandika.


unajaribu kupingana na ukweli kwa kwenda nje ya afrika.
 
Daraja ni suala la kimaendeleo linalohitaji nguvu ya watu kadhaa ili likamilike.
now unaanaza kunielewa.

mtu mmoja kuamini dini hatoleta effect yoyote kwenye jamii juu ya chochote ila mpaka wakiwa wengi ndipo effect itaoneakna
Aje na dini inahitaji nguvu ya watu kadhaa kuikubali na kuiamini ili ndo iwe dini ni ujinga rasmi ?

Yaani haitoshi dini kuwa ujinga mpaka waiamini watu wengi sana ?
wapi nimesema dini ni ujinga?

usinilishe maneno.
 
Mtoa mada yeye mwenyewe anamini maandishi asiyoyaleta mwenyewe. Matusi yanayoelekezwa kwenye Dini na waumini wake hayafanani na mafanikio ya watu kimaisha hata China wapo maskini km walivyoa Africa
sijakuelewa mkuu?
 
Nina hakika
Uislam huujui,na wala huna mpango wa kuujua
Kwasababu umemezeshwa maji yasiyofaa
mimi nimekulia kwenye uislamu na naujua vizuri sana.
Huu ndio Uislam
Hakuna sehemu katika Uislam,inasema usisome Dunia yako na wala usiifikirie
unaweza kuniambia kwanini watu wa maeneo ya pwani ni masikini sana?

achana na waarabu naongelea waafrika.
 
hapa uliandika wewe.
Umeelewa swali langu ?
Nakuuliza hivi "wapi nimesema kuwa wewe teenager umesema kuwa dini ni ujinga ?

Nioneshe wapi nimekuzushia kuwa wewe umesema dini ni ujinga ?
 
Kumbe na wewe una shida ya kusoma kisichoandikwa.

Sijasema "umeandika kitu kimoja"

Unazua tu sikuandika hivyo.

Kumbe mbali na kukubali dini mtu anaweza kuwa na mashaka kama haya
usifanye watu hawana akili umeandika na umefuta.
 
Umeelewa swali langu ?
Nakuuliza hivi "wapi nimesema kuwa wewe teenager umesema kuwa dini ni ujinga ?
mkuu mbona unakuwa na ubishi usio na mantiki?
na dini inahitaji nguvu ya watu kadhaa kuikubali na kuiamini ili ndo iwe dini ni ujinga rasmi
hapo juu ni nukuu yako sasa sijui unabisha kitu gani.
Nioneshe wapi nimekuzushia kuwa wewe umesema dini ni ujinga ?
kwani wapi nilisema umenizushia mimi kwamba mimi nimesema dini ni ujinga?
 
Unaposema watu....sema watu

Lakini Dini haifundishi uvivu wala kudumaa

Kuna vitu huwa tunashindwa kuvitofautisha

Dini na Mwenye kujinasibisha na Dini

USHAURI WANGU KWAKO CHIEF
Kaa Chini na Usome Uislam vzr

Ikiwa kuna sehemu unaona udumazaji
Naomba unionyeshe na kunielemisha....

Shukran sana
Mola atuongoze njia ya sawa
mimi nimekulia kwenye uislamu na naujua vizuri sana.

unaweza kuniambia kwanini watu wa maeneo ya pwani ni masikini sana?

achana na waarabu naongelea waafrika.
 
mtu mmoja kuamini dini hatoleta effect yoyote kwenye jamii juu ya chochote ila mpaka wakiwa wengi ndipo effect itaoneakna
Kwa na
hapo juu ni nukuu yako sasa sijui unabisha kitu gani.
Bado hujaelewa swali langu.
Wewe umesema nisikulishe maneno.

Unadai mimi nimesema kuwa wewe umesema dini ni ujinga.

Na mimi nakuuliza wewe,wapi niliposema kuwa wewe umesema dini ni ujinga ?

Au na wewe unanilisha maneno ?
 
usifanye watu hawana akili umeandika na umefuta.
Huu ndo utetezi wako wa mwisho sasa mkuu.

Sema tu kwa ubinadamu wetu ulinisoma vibaya,sio kuzidi kunizushia.

Ila kwenu nyie kumzushia mtu sio shida kwa sababu hamuna adabu ya kidini inayowafundisha ustaarabu.

Endelea kuzua ndugu.
 
Ila kwenu nyie kumzushia mtu sio shida kwa sababu hamuna adabu ya kidini inayowafundisha ustaarabu
dini ilikufundisha kukejeli watu au vitu vya watu wengine?

una uhakika sio wewe uliyesema kwamba nanukuu "liuzi lilefu lakini point zimejirudia rudia"

haukundika hivyo mkuu? mungu anakuina unavyoongopa.
 
Siyo kweli, kwa mfano Tanzania Ukristo una miaka 100-150 tu, kabla ya hapo mbona hakukuwa na hayo maendeleo? Isitoshe kama yangekuwepo tusingetawaliwa, usisahau Shule za kwanza kama tuzijuavyo leo hii zilijengwa na watu wa Dini, pia Wamasai wengi hawana Dini ua Kiabrahamu mbona hawana hayo maendeleo?
Kwa hiyo unahalalisha uonevu wa mtu mweusi kwa hiyo fact. Ukweli( facts) huwa siku zote unajitenga na ukweli hata kama upo ndani ya story ya uongo.
 
Kabla ya hiyo miaka Africa mlikua manaabudu dini ya mizimu ambapo mzungu akaja kuiharamisha kua ni upagani akawafanyia updtate kwa kuwaletea dini ya mungu wa kizungu

Asilimia kubwa ya jamii inayoishi maporini au mapangoni bado wana system hii ya kuabudu dini ya mizimu hata hao wamasai huko maporini bado wanaienzi
Si kweli, hivi ndivo umefundishwa na mzungu. Elimu ya mkoloni bado ipo kichwani kwako. Hadi unashindwa kuamini kua wewe pia una thamani
 
Back
Top Bottom