Dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika

Dini zimechangia kudumaza ufahamu wa mwafrika

Hili povu sasa. Hujaelewa mada. When it comes katika kutetea cha mzungu unataka kumuua muafrika mwenzako. Lakini muafrika mwenzako akianzisha platform na kuongelea maslahi yako mnamshambulia kwa nguvu zote.
Moja wapo ya kikwazo cha maendeleo ya waafirika ni kuwa na watu wenye mawazo ya kijinga kama ya kwako.
Kwahiyo ukiwa mkiristo au mwislam basi ndo kigezo cha kushindwa kufanya maendeleo au?
Kama ndio hivyo mbona Thairand ambayo asilimia 90 ni mabudha isizizidi maendeleo UAE,Qtaar,saudia, Uturuki, Malaysia,Indonesia,Iran,Burunei ambayo asilimia karibia 95 ya raia wake ni waislam?
Kama ndio hivyo mbona Mianimar ambayo aslimia 95 ya raia wake ni mabudha isizizidi maendeleo ,Marekani, Ujerumani,ufaransa,Italia ambazo zaidi ya asilimia 90 ya raia wake ni wakiristo?
Hao wahindi unao wasifia kuabudu dini zao za asili ndo kila siku wana kimbilia Ulaya na mashariki ya kati kutafuta kazi kwa hao wenye hizo dini ambazo una ziponda.
Hata hapa Tz asilimia kubwa ya wasukuma hasa wa vijijini hawaaini katika hizo dini je wamefanya maajabu gani ndani ya Tz?
Mkuu kabla hujaleta mada jaribu kuangaisha akili yako.
 
Sasa dini hizo mbili ndio chanzo mojawapo kati ya vingi vilivyolemaza ufahamu africa.

Sidhani kama kuna special scientist yoyote kutoka africa anayefanya tafiti kubwa za kidunia kama wapo basi wachache sana.
Wapo ila wanafichwa, ingia youtube andika. "Black scientists"
 
Si kweli, hivi ndivo umefundishwa na mzungu. Elimu ya mkoloni bado ipo kichwani kwako. Hadi unashindwa kuamini kua wewe pia una thamani
kwasababu umesema "sio kweli" halafu hujaonesha kwa kuthibitisha kwa kutumia elimu isiyo ya kikoloni kivipi "isiwe kweli" hivyo huna haki ya kuniambia elimu ya mkoloni bado ipo kichwani kwangu
 
JITAIDI MSOME JITAIDI SANAAA



ebu ngoja. tuanze na technoloty growth: ukiangalia vizur mazingira ya bara la africa hasa nchi za africa mashariki na ukiangalia nature ya watu walio kuwa wanaishi ndani ya nchi hiyo utagundua technologia haikuhitajika kabixaa.
wote tunajua technologia kazi yake ninkurahisiha kazi na shughuli mbali mbali. mfano utunzaji wa vyakula. vyombo vya usafiri na kazi zingine mbali mbali, sasa maisha nje ya bara la africa bila technologia kama ilivo sasa watapata tabu sana hata vifo vingi pia vitatokea lakin kwa africa lahasha.
ki vip? UNAJUA MARA NYINGI UGUNDUZI WA JAMBO LAZIMA KUWE KWANZA NA TATIZO. sasa mazingira ya nchi njee ya bara la africa ni magumu sanaa sasa ugumu huo ndio ukawa chanzo cha maarifa ya watu weupe
mazingira magumu mfano baridi au joto kali sanaa, aridhi isiyo na rutuba, uhaba wa vyakula mpaka leo ipo hivo, na nature ya miiili wa watu weupe sio strong sasa ukirudi nyuma miaka hata 400 hiz shida africa hasa "africa masharik" hazipo sasa maisha yetu tukaridhika nayo.

DINI
namna ya uandishi na mpangilio wa kitabu cha biblia ukisema ni mtu katunga kwa kwel nadhan haingii kichwani . labda useme kuna vitu vimetolewa au kuongezwaa. kwann kitoke huko? Kumbuka nchi nje ya bara la africa ni shidaa na taabu. ikajenga watu roho ya ubinafsi ushindani mkubwa vitaa roho mbaya ,utesi na uchafu mwingi NDO MAANA MPAKA LEO BEJETI YAO KUBWA NI SILAHA sijui kama umepata kitu hapo coz wanajua wenyewe wametoka mbali sanaa,
hivo vitu africa hasa africa mashariki havipo mpaka leo hiii tukisha kula ukalaa pazur ukiwa na afya basi hapo ni kukoroma tu
SASA dini ikaletwa na watu walio tii na kukubali maonyo ya mungu kutoka kwa manabii mbali mbali
Mmoja atauliza kwaiyo din zetu vip
DINI SIO TATIZO UKIISHI KWA UPENDO NA UJIRANI MWEMA NA WENZIO KUSHIRIKI SHIDA NA RAHA HIYO NDIO UTAKATIFU. Na africa tulikuwa tunaishi hivo ukiamka asubuhi unasalimia jirani zako jaman kwema! kwema ukipiga na kiruga kidogo mungu huwabariki sanaaaaa sasa SIKU HIZI KILA MTU NA GETI LAKE SASA HUO NDO USASA mnarithi tabia za ubinafsi ya watu wa mataifa. niishie hapo kwa leo
 
JITAIDI MSOME JITAIDI SANAAA



ebu ngoja. tuanze na technoloty growth: ukiangalia vizur mazingira ya bara la africa hasa nchi za africa mashariki na ukiangalia nature ya watu walio kuwa wanaishi ndani ya nchi hiyo utagundua technologia haikuhitajika kabixaa.
wote tunajua technologia kazi yake ninkurahisiha kazi na shughuli mbali mbali. mfano utunzaji wa vyakula. vyombo vya usafiri na kazi zingine mbali mbali, sasa maisha nje ya bara la africa bila technologia kama ilivo sasa watapata tabu sana hata vifo vingi pia vitatokea lakin kwa africa lahasha.
ki vip? UNAJUA MARA NYINGI UGUNDUZI WA JAMBO LAZIMA KUWE KWANZA NA TATIZO. sasa mazingira ya nchi njee ya bara la africa ni magumu sanaa sasa ugumu huo ndio ukawa chanzo cha maarifa ya watu weupe
mazingira magumu mfano baridi au joto kali sanaa, aridhi isiyo na rutuba, uhaba wa vyakula mpaka leo ipo hivo, na nature ya miiili wa watu weupe sio strong sasa ukirudi nyuma miaka hata 400 hiz shida africa hasa "africa masharik" hazipo sasa maisha yetu tukaridhika nayo.

DINI
namna ya uandishi na mpangilio wa kitabu cha biblia ukisema ni mtu katunga kwa kwel nadhan haingii kichwani . labda useme kuna vitu vimetolewa au kuongezwaa. kwann kitoke huko? Kumbuka nchi nje ya bara la africa ni shidaa na taabu. ikajenga watu roho ya ubinafsi ushindani mkubwa vitaa roho mbaya ,utesi na uchafu mwingi NDO MAANA MPAKA LEO BEJETI YAO KUBWA NI SILAHA sijui kama umepata kitu hapo coz wanajua wenyewe wametoka mbali sanaa,
hivo vitu africa hasa africa mashariki havipo mpaka leo hiii tukisha kula ukalaa pazur ukiwa na afya basi hapo ni kukoroma tu
SASA dini ikaletwa na watu walio tii na kukubali maonyo ya mungu kutoka kwa manabii mbali mbali
Mmoja atauliza kwaiyo din zetu vip
DINI SIO TATIZO UKIISHI KWA UPENDO NA UJIRANI MWEMA NA WENZIO KUSHIRIKI SHIDA NA RAHA HIYO NDIO UTAKATIFU. Na africa tulikuwa tunaishi hivo ukiamka asubuhi unasalimia jirani zako jaman kwema! kwema ukipiga na kiruga kidogo mungu huwabariki sanaaaaa sasa SIKU HIZI KILA MTU NA GETI LAKE SASA HUO NDO USASA mnarithi tabia za ubinafsi ya watu wa mataifa. niishie hapo kwa leo
True african
 
JITAIDI MSOME JITAIDI SANAAA



ebu ngoja. tuanze na technoloty growth: ukiangalia vizur mazingira ya bara la africa hasa nchi za africa mashariki na ukiangalia nature ya watu walio kuwa wanaishi ndani ya nchi hiyo utagundua technologia haikuhitajika kabixaa.
wote tunajua technologia kazi yake ninkurahisiha kazi na shughuli mbali mbali. mfano utunzaji wa vyakula. vyombo vya usafiri na kazi zingine mbali mbali, sasa maisha nje ya bara la africa bila technologia kama ilivo sasa watapata tabu sana hata vifo vingi pia vitatokea lakin kwa africa lahasha.
ki vip? UNAJUA MARA NYINGI UGUNDUZI WA JAMBO LAZIMA KUWE KWANZA NA TATIZO. sasa mazingira ya nchi njee ya bara la africa ni magumu sanaa sasa ugumu huo ndio ukawa chanzo cha maarifa ya watu weupe
mazingira magumu mfano baridi au joto kali sanaa, aridhi isiyo na rutuba, uhaba wa vyakula mpaka leo ipo hivo, na nature ya miiili wa watu weupe sio strong sasa ukirudi nyuma miaka hata 400 hiz shida africa hasa "africa masharik" hazipo sasa maisha yetu tukaridhika nayo.

DINI
namna ya uandishi na mpangilio wa kitabu cha biblia ukisema ni mtu katunga kwa kwel nadhan haingii kichwani . labda useme kuna vitu vimetolewa au kuongezwaa. kwann kitoke huko? Kumbuka nchi nje ya bara la africa ni shidaa na taabu. ikajenga watu roho ya ubinafsi ushindani mkubwa vitaa roho mbaya ,utesi na uchafu mwingi NDO MAANA MPAKA LEO BEJETI YAO KUBWA NI SILAHA sijui kama umepata kitu hapo coz wanajua wenyewe wametoka mbali sanaa,
hivo vitu africa hasa africa mashariki havipo mpaka leo hiii tukisha kula ukalaa pazur ukiwa na afya basi hapo ni kukoroma tu
SASA dini ikaletwa na watu walio tii na kukubali maonyo ya mungu kutoka kwa manabii mbali mbali
Mmoja atauliza kwaiyo din zetu vip
DINI SIO TATIZO UKIISHI KWA UPENDO NA UJIRANI MWEMA NA WENZIO KUSHIRIKI SHIDA NA RAHA HIYO NDIO UTAKATIFU. Na africa tulikuwa tunaishi hivo ukiamka asubuhi unasalimia jirani zako jaman kwema! kwema ukipiga na kiruga kidogo mungu huwabariki sanaaaaa sasa SIKU HIZI KILA MTU NA GETI LAKE SASA HUO NDO USASA mnarithi tabia za ubinafsi ya watu wa mataifa. niishie hapo kwa leo
kipi kinachokufanya uhisi mpangilio wa kitabu cha biblia haujatungwa na mtu?

na vipi kuhusu vitabu vya dini nyingine?
 
DINI SIO TATIZO UKIISHI KWA UPENDO NA UJIRANI MWEMA NA WENZIO KUSHIRIKI SHIDA NA RAHA HIYO NDIO UTAKATIFU. Na africa tulikuwa tunaishi hivo ukiamka asubuhi unasalimia jirani zako jaman kwema! kwema ukipiga na kiruga kidogo mungu huwabariki sanaaaaa sasa SIKU HIZI KILA MTU NA GETI LAKE SASA HUO NDO USASA mnarithi tabia za ubinafsi ya watu wa mataifa. niishie hapo kwa leo
wewe sio mbaguzi wa dini ambayo sio ya kwako.
wewe huna chuki dhidi ya watu wengine ambao sio wa dini yako?
 
ebu ngoja. tuanze na technoloty growth: ukiangalia vizur mazingira ya bara la africa hasa nchi za africa mashariki na ukiangalia nature ya watu walio kuwa wanaishi ndani ya nchi hiyo utagundua technologia haikuhitajika kabixaa.
wote tunajua technologia kazi yake ninkurahisiha kazi na shughuli mbali mbali. mfano utunzaji wa vyakula. vyombo vya usafiri na kazi zingine mbali mbali, sasa maisha nje ya bara la africa bila technologia kama ilivo sasa watapata tabu sana hata vifo vingi pia vitatokea lakin kwa africa lahasha.
ki vip? UNAJUA MARA NYINGI UGUNDUZI WA JAMBO LAZIMA KUWE KWANZA NA TATIZO. sasa mazingira ya nchi njee ya bara la africa ni magumu sanaa sasa ugumu huo ndio ukawa chanzo cha maarifa ya watu weupe
mazingira magumu mfano baridi au joto kali sanaa, aridhi isiyo na rutuba, uhaba wa vyakula mpaka leo ipo hivo, na nature ya miiili wa watu weupe sio strong sasa ukirudi nyuma miaka hata 400 hiz shida africa hasa "africa masharik" hazipo sasa maisha yetu tukaridhika nayo.
hapa nakubaliana na wewe asilimia 100.

mazingira ni chanzo kikuu cha udumavu wa ufahamu wa mwafrika.
 
wewe sio mbaguzi wa dini ambayo sio ya kwako.
wewe huna chuki dhidi ya watu wengine ambao sio wa dini yako?
Ukweli utabaki kua ukweli, na dini itabaki kua dini. Kitu chochote kinachosababisha tatizo kwa muafrika hakitakiwi, either kipitie kwenye dini, michezo, biashara. Au kivyovyote. We have to be positive when it comes to our maslahi
 
kipi kinachokufanya uhisi mpangilio wa kitabu cha biblia haujatungwa na mtu?

na vipi kuhusu vitabu vya dini nyingine?
vitabu dini imeviona viwili tu bible na quani machon. sasa kama bible ilitugwa kwann hakijawahi tokea kitabu cha mfanano wa model ya uandishi kama icho? ingekuwa ishu ni usanii lazima angetokea msanii mwingine wa kufana
 
dini ilikufundisha kukejeli watu au vitu vya watu wengine?
Kusema umezusha unanuna,sasa kama kweli lazima utaambiwa ili kesho uwe makini.

Unazusha mambo bila ushahidi,ushahidi unaokimbilia ati nimefuta 😃😃😃😃.
una uhakika sio wewe uliyesema kwamba nanukuu "liuzi lilefu lakini point zimejirudia rudia"
Unahamisha magoli kijana.
Ongea ongea toa dukuduku utoe nyongo za roho mkuu.
haukundika hivyo mkuu? mungu anakuina unavyoongopa.
Angalia sasa.

Sasa nimeongopa nini mbona wanchekesha mkuu ?
 
vitabu dini imeviona viwili tu bible na quani machon. sasa kama bible ilitugwa kwann hakijawahi tokea kitabu cha mfanano wa model ya uandishi kama icho? ingekuwa ishu ni usanii lazima angetokea msanii mwingine wa kufana
yani umekiri kabisa kua ni vitabu viwili tu ambavyo umeviona machoni. halafu hapo hapo tena unarukia hitimisho kua hakijawahi tokea kitabu cha mfanano wa model ya uandishi kama huo

tukueleweje?
 
Back
Top Bottom