Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Sio wakatoliki wala dini ya ukristo ni watu ndio wanaenda ,hawakufundishwa na ukristo ila wao ndio wanafanya katika kuyaendea mambo ya kidunia.Mbona wengi mnatoa mifano ya bar!? Kwani wakatoliki wote wanaenda bar kunywa?
Punguza hasira mtume nabiiSasa wewe kenge unalalamika nini?
Si uende kwa mwamposa au kuhani mussa!
tena hama hata leo Ukatoliki hakuna gereza wala minyororo. Kwendraaaaaaaaaaaaaaaaa
wewe andazi kweli,kwahiyo nawewe tukisem uislam ni biashara ya saudia mkienda kuhiji utaelewa au mpaka tuhakiki kwanza kama akili zako ni kubwa!!!!ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu
kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.
Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tukienda kuhiji tunafanyaje?hebu ropoka usikike😁wewe andazi kweli,kwahiyo nawewe tukisem uislam ni biashara ya saudia mkienda kuhiji utaelewa au mpaka tuhakiki kwanza kama akili zako ni kubwa!!!!
dino yoyote inaweza kutumia kama biashara,tofauti ya uislam na ukristo ni kwamba waislam hawajui kutoa sadaka misikinitini.
ndio sababu nikasema akili ndogo huwezi elewa unakandwa wapi.wenye akili wanajua[emoji16][emoji16].tukienda kuhiji tunafanyaje?hebu ropoka usikike[emoji16]
du!!! mimi nimeacha kwenda jumuia miaka minne sasaSalaam!
Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.
Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.
Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.
Kidogo nisahau kuuliza hili swali?
Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
Aahaaaa,hapa ndipo ninaposema kuwa dini ni michongo ya watuSalaam!
Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.
Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.
Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.
Kidogo nisahau kuuliza hili swali?
Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
🤣Hii ni huko kanisani kwakoSalaam!
Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.
Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.
Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.
Kidogo nisahau kuuliza hili swali?
Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
Kwann mkuudu!!! mimi nimeacha kwenda jumuia miaka minne sasa
Kumbe huyu mleta Uzi ni mlokole?🤔Walokole kwa kushambulia na kukosos Roman Catholic hamjambo mnakuja kujisahau kwamba wote mko kwenye the same boat mnamshirikisha Mungu wote ni washirikina af wapigaji kwa waumini wenu.
Tatizo husomi biblia lazima upelekeshwe.Tutoe tu mangi???
akili huna.wakija watakaofaidika niwatu wamahoteli wenye nyumba zakupanga wafanya biashara ila sio mashehe bwege wewendio sababu nikasema akili ndogo huwezi elewa unakandwa wapi.wenye akili wanajua[emoji16][emoji16].
watu 3mil wakija hapa nchini tena dsm pekee,unajua impact yake??nenda kaoge ulale.
Ss kwavile huyo mpuuzi kafanya huo ujinga ndo ujumlishe 'ukristo'?ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu
kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.
Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣
Yesu nimungu au siomungu?☹️☹️☹️Ss kwavile huyo mpuuzi kafanya huo ujinga ndo ujumlishe 'ukristo'?
Ukristo ni Imani ya kweli ya pekee, na Ile kwamba ni ya kweli hainamaana itakosa matapeli,waongo ilishaandikwa hata hatushangai!
bwege nani sasa kama sio wewe[emoji23][emoji23]akili huna.wakija watakaofaidika niwatu wamahoteli wenye nyumba zakupanga wafanya biashara ila sio mashehe bwege wewe
Ukimtaja Mungu andika kwa herufi kubwa labda kama una maanisha Mungu wakoYesu nimungu au siomungu?☹️☹️☹️
Wasiingiliwe mara ngapi? 🤣Hili linafurahisha sana ila uislamu lazima pia wachunge wasiingiliwe na tamaa za makanjanja....