Dini zingesambazwa kama ambavyo Atheism inasambaa sidhani kama zingekuwa na wafuasi wengi hivi

Dini zingesambazwa kama ambavyo Atheism inasambaa sidhani kama zingekuwa na wafuasi wengi hivi

Kwasababu tumetokea familia za dini sana. Nikisema niwaelezee baadhi ya vitu nitaleta sintofahamu kubwa.

Binafsi imenichukua kama miaka 2 kuamini kwamba haya madini hayapo sawa.

Kipindi nilipoamua kuchallenge mafundisho/mahubiri, na huku nasoma hoja za atheists, nilianza kama kudata/kuchanganyikiwa kimtindo.

It's not easy kwa "mfia dini" kuwa atheist. Atheism ni process ya taratibu. Kama umetokea familia za kushika dini. Kwenye transition period kwenda kwenye atheism lazima uwe battle la wewe na kichwa chako kwa muda kidogo

Sipendi kuwashawishi watu kuwa maatheists, kwasababu naamini Kama una akili timamu, Kuna vitu utajua haviko sawa
Vitu hivyo haviko sawa kwenye dini au dhana nzima ya kuwepo Mungu? Kwa sababu wapo waliyoona vitu havipo sawa kwenye dini aliyokuta kwa wazazi na akaona dini nyengine ndio sahihi akahamia hiyo dini na wapo waliacha kabisa dini na kuamini Mungu pasina kuwa na dini.

Lakini pia wapo waliyokuwa atheists na wakaja kuwa waunini wa dini wazuri tu mkuu, hivyo usikuze sana hili suala la mtu kuacha dini kuwa atheist kuonekana ni ishu kuuubwa. Hasa kama utachunguza utaona tatizo lenu wengi ni aina ya dini mliyotoka.
 
Kama hakuna ushahidi anaweza kukataa.
Lakini mimi nimeweka ushahidi

Na mmoja kati yenu amesema kuwa hiyo ni hadithi ambayo ipo kwenye grade ya "Hasan"

Kwa mujibu wa source yake aliyoweka imefafanua kuwa Hasan ni hadithi ambazo ni sahihi kutumiwa kama ushahidi.

Sasa mpaka hapo unaoingaje kuwa sio kweli?
 
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Kitu kama kipo hakihitaji uthibitisho wa uwepo wake.

Maana kikihitajika kujulikana kipo, kitafahamika kipo angalau kwa namna moja ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Kisicho kuwepo, Hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika kipo.

Hakionekani, hakishikiki, hakisikiki na hakihisiki.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo ya kufikirika tu.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kitu hakiwi hakipo kwa sababu wewe umesema tu hakipo na ndio maana agnostic hawadai kuwa Mungu hayupo.
 
Kitu ni kilekile unasoma kwa sababu unaelewa umuhimu wa shule ama unasoma kwasababu unaogopa kuchapwa na mwalimu.

Jela ,jehanam kitu ni kile kike tu kutokujitambua.
Na ndio binaadamu tulivyo, hicho unachotaka kutuambia wewe hapa ni kwamba wenye kujielewa ni watu perfect hawafanyi makosa hivyo hakuna haja ya jela.
 
Lakini mimi nimeweka ushahidi

Na mmoja kati yenu amesema kuwa hiyo ni hadithi ambayo ipo kwenye grade ya "Hasan"

Kwa mujibu wa source yake aliyoweka imefafanua kuwa Hasan ni hadithi ambazo ni sahihi kutumiwa kama ushahidi.

Sasa mpaka hapo unaoingaje kuwa sio kweli?
Uliyoyaeleza kuhusu mtume ndio waislamu humu wameyakataa kuwa sio iwe kwa kutafsiri kinyume hadithi au hadithi dhaifu na ndio maana hata huyo jamaa mnabishana hapo.
 
Na ndio binaadamu tulivyo, hicho unachotaka kutuambia wewe hapa ni kwamba wenye kujielewa ni watu perfect hawafanyi makosa.
Hilo umesema wewe , sio kila binadamu yupo kama wewe , tembea uone , kosa ni kosa kwako na jamii yenu kwa wengne sio kosa.
 
Hilo umesema wewe , sio kila binadamu yupo kama wewe , tembea uone , kosa ni kosa kwako na jamii yenu kwa wengne sio kosa.
Sijui hatuelewani? Nachosema binaadamu kiujumla tunafanya makosa kwa mujibu wa jamii na sheria zao. Uwe una dini ama atheist wote hutokea kufanya makosa kama binaadamu hata kama unajielewa.
 
Soma kama unajua !..Nimekupa ayah unataka nn tena?

Nimekuambia soma hutaki.
Aya hazina maelezo ambayo mimi nimesema.

Ndio maana nimekuambia uweke hiyo quote hapa inayoonesha Quran ikitoa maagizo watu waswali sala 5 kwa siku
 
Ndio maana nikakuuliza kama uislamu ulienea kwa kuuwa wasio waislamu ina maana kipindi hicho waislamu hawakuwa wakiishi na wasio waislamu?
Mecca kabla ya Uislamu kulikuwa na wapagani.

Lakini leo hii Mecca ni 100% waislamu na wapagani ni 0.00%

Bado utarudia kuuliza waislamu hawakuwa wakiishi na wasio waislamu?
 
Soma kama unajua !..Nimekupa ayah unataka nn tena?

Nimekuambia soma hutaki.
Aya hazijibu swali langu.

Na kwa pointi hiyo unathibitisha ni eidha wewe muongo au Quran ni ya uongo.

And for my POV nadhani wewe na Quran wote ni wazushi.
 
Atheism ni moja ya Imani kongwe kabisa kuwepo Duniani, na wengi wanaojiita waumini wa madhehebu na dini mbalimbali ni wafuasi wa Imani hii, wakitofautiana tu viwango!
... ONGELEA TU KUWA OFFICIAL LAKINI SIO KITU KIPYA!
 
Back
Top Bottom