Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sio kamba, sikuhamishwa wodi wala nini wakaniambia we tulia tu, ila niliogopa cz jamaa tulipiga story vzr tu , akala vzr , baadae hali yake ikabadilika ghaflaAhahahah..acha kamba..kwahiyo wakaku discharge tu kienyeji enyeji kama like unapojiskia tu? Labda kama ulitoroka π
Mmmh!Muda ambao mtu huzaliwa ndio muda huo huo hufa
Tarehe ,siku ,mwezi vyaweza kuwa tofauti lakini wengi hufa muda uleule aliozaliwa
Wengi huzaliwa usiku wa manane na kufa hufa usiku wa manane
Ukaona hapa naweza nikafuatia mimi!?Sio kamba, sikuhamishwa wodi walq nini wakaniambia we tulia tu, ila niliogopa cz jamaa tulipuga story vzr tu , akala vzr , baadae hali yake ikabadilika ghafla
Mkuu ule usiku ulikua mrefu kwangu ,na usiombe ushuhudie mtu anakata moto ni noma ,na ukizingatia marehemu alikua bonge la mtuUkaona hapa naweza nikafuatia mimi!?
Hasa mchawi kifo chake Huwa Cha kutisha akiwa anakata rohoMkuu ule usiku ulikua mrefu kwangu ,na usiombe ushuhudie mtu anakata moto ni noma ,na ukizingatia marehemu alikua bonge la mtu
Siyo wewe Mkuu? Jifinye. JokeMkuu ule usiku ulikua mrefu kwangu ,na usiombe ushuhudie mtu anakata moto ni noma ,na ukizingatia marehemu alikua bonge la mtu
Mkuu ebu fafanua plzzzz!!!akakutane na alichotanguliza kwa mikono yake.
halafu nyie wa RIP mna uhakika kuna vitanda kule ?π€
KajinyongaMapesa yote anayogawa mtoto kafia nyumbani,iko shida
Hata kwa baadae maisha ni safari...Nafuu hiyo itoke wapi in an overnight mkuu..
Hivi Kwanini Wagonjwa wengi ufariki usiku wa manane?[emoji29]
Ndio maana ya kuwa mwanaume. Sasa familia nzima ikiwa week nani ataongoza masuala ya msiba...Huyo mzazi he's as nothing happened. Wanaume mna roho
Katolewa kafara na yule tapeli mchungaji.Kwann wazo la kwanza kuingia kichwani mwangu baada ya Taarifa ya tanzia hii ni Kafara?I don't why ila ndio mawazo yanayojirudia rudia
Ni kwasababu una mawazo ya kishetani. Ewe pepo mchafu mtoke huyu kijanaKwann wazo la kwanza kuingia kichwani mwangu baada ya Taarifa ya tanzia hii ni Kafara?I don't why ila ndio mawazo yanayojirudia rudia
Yes yes. Kwa hapa mambo yao tusiwaachie wenyewePole yao sana wafiwa...
Huna kwasababu leo umeandika pumba. Kwa kifupi leo umekua mtu mzima hovyo
Aaaaargh qumamaqe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguza nyege yupo msibani
Mkuu acha kumnyamba mke wanguJoined october 27 2023, umejiunga Juzi kuja kutukana wazazi wako ?
Jf ni sehemu ya kujifunza siyo kutukana watu , matusi hayawezi kukuondolea umasikini ulionao
Una umri gani mkuu kwa kutoa komenti ya namna hii,hebu niambie uko shambani unalima mazao yakiwa katika hali nzuri ya matumaini unakuta yamefyekwa ,unashangaria na kutafuta shamba jingine na kuanza kulima upya!? Na vipi hali ikiendelea hivyo mwisho wa juhudi zako ni upiBasi ingekua hivyo DiBanj na Davido tungekua hatunao mda huu, watoto si unakamata Mwanamke tu unamjaza mimba issue sio mtoto sio depression kuna maelezo zaidi ya hayo anaejua sana sana ni yeye na nakafa nayo, apumzike panapositahiri tutaonana mawinguni