Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiandae kisaikolojia


Sawa INAWEZEKANA Mwenzangu umejiandaa kushindana zaidi na
Kubisha.

Ngoja nikuscreenshot utaiona.
 
Viongozi wamefuata ushauri wa Head of Scouting , wamefuata Ripoti ya kocha ,ambae ni Robertinho bado yupo

Ila sasa humu humu kuna nyuzi za kuisifu simba hii unayosema imesajili bila vigezo 'vyako'
 
Viongozi wamefuata ushauri wa Head of Scouting , wamefuata Ripoti ya kocha ,ambae ni Robertinho bado yupo

Ila sasa humu humu kuna nyuzi za kuisifu simba hii unayosema imesajili bila vigezo 'vyako'

1: Hukuwahi kusikia Simba Imedaka mchezaji Air port???

2: KOCHA Gani atafanya kazi na Miquisson WA Leo?????

3: Hukuwahi kusikia KOCHA hakubaliani na uwezo wa chama ali mashabiki na uongozi unafoece chama aanze....?????
 
1: Hukuwahi kusikia Simba Imedaka mchezaji Air port???

2: KOCHA Gani atafanya kazi na Miquisson WA Leo?????

3: Hukuwahi kusikia KOCHA hakubaliani na uwezo wa chama ali mashabiki na uongozi unafoece chama aanze....?????
Unajua mashabiki mnafurahisha sana, wakati watu wanasema timu inaunga unga usajiri humu, mtu unatukanwa ,na post za kusifia zikiwekwa

Kwa kocha nae njaa ,atafanya kazi na wote hao ,kama wanavyofanya sasa
 
Kila kocha ana mfumo wake hayo mambo ya kiungo kama mkude yameshapitwa na wakati kiungo wa kisasa unatakiwa uwe mnyumbulifu kama rodri au bosquet sio kiungo unakaba ila ukipiga pasi haifiki kama mzamiru yasin na ngolo kante hao viungo wamepitwa na wakati kuna team hazina kiungo punda zina viungo walaini sana ila zinapata matokeo na robertinyo ni the most tactical and technical coach katika historia ya simba kama anamuachia mpinzani anacheza lakini haruhusu goal basi hyo ni kocha bora kwa hyo tuheshimu maamuzi ya kocha sometimes wengine tubaki watazamaji.
 
Hivi wewe ni kijana wa Rage, au ni kijana wa Try Again!! Naona mawazo yako yanapingwa waziwazi na mashabiki wenzako!!!
 
Naomba niweke kumbukumbu sawa. Wakati wa dirisha la usajili, mashabiki wa Yanga tulikuwa upande wa viongozi wetu. Na wala hakuna shabiki aliyekosa imani na wachezaji waliosajiliwa.

Isipokuwa kejeli zilikuwa zinatoka kwa mashabiki wa upande wa pili! Na ambao ni kawaida yao kutoa maneno ya dharau pale Yanga inaposajili, na pia kulialia na kumtafuta mchawi, pale timu yao inapofanya vibaya.
 

Siwezi kusema Mengi
Lakini JIFUNZE soka.

INSHORT mkude sio CDM
 
Sasa naomba niwe Majanja miongoni mwa wajanja wa kwanza kwanza kuchangia.Homgera kwa uchambuzi mzuri,na vyema imetamka kama unao ujuzi wa ukocha na pia kuwa ni mwana Lunyasi mpenda timu yako.Nilivyo kuelewa ulipenda kuusaidia timu yako,ila bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa,pia kumbuka mnayo misimu mitano mbele ili muwe angalao na ndoto ya ubingwa tena wa NBC,kule kimataifa siwasemei kolo.Wananchiiiiiiiiiiiiii😂😂😂🏃🤸🤸🤸🤸🤔😂😂😂.🦁kolo kasha katwa mkia asubuhi na mapema hata kabla ya mapambazuko.Kinacho fuata ni kuliwa na tai porini.
 
Na itawaua kweli
 
Aahaaaa,mkuu nakumbuka Ile picha ebu niigoogle tena
 
Crap
 
🤔🤔🤔🤔
Point kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…