Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiandae kisaikolojia

Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiandae kisaikolojia

Mkuu unapowaamini viongozi, waamini katika maamuzi yao pia. Naamini Simba ikifanya vizuri hautarudi kuja kuappreciate
Kwa Kasi ya wachezaji wa Yanga , uwezo binafsi na njaa yao ya magoli ni wazi Simba imezidiwa, kinachobaki ni ubishi tu! Hakuna atakaerudi hapa kuappreciate Nini, Yanga mbele kwa mbele hadi kubeba NBC premier league!
 
Kwa mtazamo wangu tatizo la Simba ni Kocha na siyo wachezaji,ni kama falsafa yake inafeli na haivutii,msimu uliopita simba imekuwa na first 11 ya kauka nikuvae kiasi kwamba hata waliopo benchi wakakufa viwango,enzi za kina Gomes hadi Israel mwenda alikiwasha vizuri tu ikaonekana anaweza kuwa mbadala wa Kapombe lakini baadaya ya mabadiliko ya makocha wachezaji wamesugua sana benchi , hata wangeletwa wazuri kiasi gani kama hamna rotation ya wachezaji nadhani viwango vitakufa tu.

Kwa usajili huu siwezi kulaumu sana maana hata hatujawaona vizuri hao waliosajiliwa kama Kramo na Golikipa mpya inawezekana wakakiwasha au wakafeli.

Hebu tusubiri kidogo tujue tatizo ni usajili,wachezaji au kocha? Ingawa mi kwa upande naona tatizo ni kocha
 
Weka hapa link ni wapi umependekeza Yao kusajiliwa na Simba. Hakuna aliyemjua Yao zaidi ya jicho la kamati ya usajili wa Yanga. Na hata baada ya Yanga kumtangaza Yao watu wa Simba mkaponda na kuonesha goli alilofunga Sakho huku Yao akiwepo. Na mlimwita garasa. Leo kaja Yanga kila mmoja anajifanya ana jicho kama walilokuwa kamati ya usajili wa Yanga.
Mtoa uzi alikuwa sahihi alipotoa angalizo kwamba uzi huu uchangiwe na watu wenye akili pekee. Yeye anasema alishauri asajiliwe mchezaji 'kama' Yao Yao, Unajua maana ya neno 'kama'?
 
Kwa Kasi ya wachezaji wa Yanga , uwezo binafsi na njaa yao ya magoli ni wazi Simba imezidiwa, kinachobaki ni ubishi tu! Hakuna atakaerudi hapa kuappreciate Nini, Yanga mbele kwa mbele hadi kubeba NBC premier league!
Yanga tunabeba kila kitu kuanzia Ngao ya Jamii
 
Hellow Wana JF.

Dirisha la Usajili la shirikisho la Soka Tanzania TFF na Lile la CAF limefungwa RASMI Jana 31AUGUST 2023.

Yale yote niliyoyaomba na Kupendekeza yafanyike ndani ya wekundu WA Msimbazi hayajafanyiwa kazi kwa asilimia 90% Hii imeniuma mno kama shabiki mwanachama na MSOMI WA UKOCHA.

MAMBO AMBAYO NILIPENDEKEZA KWA UONGOZI NA BENCHI LA UFUNDI WAYAFANYIE KAZI NA HAWAJAYAFANYIA KAZI.

1: Kuwabakisha Kakolanya na Onyango.

2: Niliwashauri Simba Wasajili beki kama Yao Yao Beki wa kuwachallange Kapombe na Shabalala pande zote mbili.
Beki anayecheza kulia na kushoto.

3: Nilishauri kuwa na Mabeki 3 wa KIMATAIFA WA kati.
[emoji3454]Inonga.
[emoji3454]Malone
[emoji3454]Onyango

5 : Kusajili Viungo wawili 6,8.
Nilipendekeza Simba ISAJILI kati ya Bangala au efoe Novon kwenye eneo la Kiungo mkabaji CDM 6...

Pia nilipendekeza Simba Kusajili kiungo No 8.
Kiungo kariba ya Aucho Akicheza 8
Kiongozi mpambanaji BOX TO BOX

6: pia nilipendekeza WASAJILI mshambuliaji mmoja mrefu 9 mwenye uwezo Mkubwa WA kumchallange Baleke.


MSIMU WA USAJILI NIKASHANGAZWA SANA NA USAJILI UNAOFANYIKA SIMBA.
USAJILI WOTE HAUENDANI NA FALSAFA UYA SIMBA LUNYASI.

.
UAJIULIZA ANAYEFANYA USAJILI WA HAWA MAWINGA ANAAKILI TIMAMU KWELI?????????
Zaidi ya mawinga 7

Mawinga. 2023
( 1. Peter Banda.)
2. Jimyson Mwinuke.
3. KIBU Denis.
4.Said Ntibazonkiza.
5. CLOTUS Chama 10-11.
6. Aubin Kramo.
7. Essomba Onana.
8. Luis Miquesson.

HAPA wenye uhakika ni 3 tu
7.Kibu
10.saido
11. Chama.

Hili KOSA lilifanyika 2020.
Mawinga walikuwa kumi, ukiunganisha idadi Yao mchango WAO MAGOLi hayafiki hata 10.

1 Bernald Morison.
2. Perfect CHIKWENDE.
3. Hassan Dilunga.
4. Ibrahim Ajibu.10--⁷
5.peter Banda.
6.pape sackho
7. Dunkan Nyoni
8. Valentine Muhilu.
9. KIBU Denis.
10. RALY BWALYA 8-10--11.
.
UNAJIULIZA HUU USAJILI UNAFANYWA NA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KWELI

Alex FERGASON ALIPATA kuwahi kusema
Safi Bora ya Ushambuliaji itakupa MAGOLi safu Bora ya ulinzi itakupa Mataji.

SIMBA WAMEPUUZA MAONI YANGU
MASHABIKI NA WANACHAMA JIANDAENI KISAIKOLOJIA.
KIUFUNDI SIMBA IPO HOVYO SANA. ILIAMUA KUSAJILI MAJINA NA SI WACHEZAJI.


SIKUONA SABABU ZOZOTE ZA MAANA ZA KUSAJILI.
1. GOLIKIPA AYOUB.
2. FABRICE NGOMA.
3. LUIS MIQUISSONE.
4. AUBIN KRAMO.
5. MOSES PHILI.
6. SADIO KANUTE.

Maeneo nyeti niliyowashauri WAYAFANYIE KAZI hawajayafanyia kazi.

N:B.
Simba Ina zaidi ya MICHEZO 60 MSIMU
[emoji3454]LIGI KUU MICHEZO 30.
[emoji3454]AZAM FEDERATION 6
[emoji3454]MPINDUZI +NGAO 6
[emoji3454]MECHI ZA KIRAFIKI. 6
[emoji3454]CAF CL. 6
[emoji3454]SUPER LEAGUE. 6.

MATOKEO yake.
[emoji3454]Inonga na Malone WANATAKIWA wacheze MICHEZO yote 60
Bila ADHABU Wala Majeraha.
[emoji3454]. Kapombe na shabala WANATAKIWA wacheze MICHEZO 60.
[emoji3454]Mzamiru Mgoma na kanute MICHEZO 60

NB: ANGALIZO:
NAOMBA UZI WANGU UCHANGIWE NA WATU WENYE UWEZO MPANA KIMAWAZO NA KIFIKRA NA SI VILAZA NA WAJINGA.
NGUVU moya
ACHA ITUUE.
Unakuta hata uwezo wa kusajili mfua jezi tu huna hivi kwanini wana simba tusimshukuru Mo kwa kazi nzuri.
Ni rahisi kuongoza kampuni yoyote ila siyo klabu ya mpira.
 
Sawa mtazamo mzuri.

Tukianzia kwa kakolanya.
1.Kakolanya ndiye Golikipa mzuri kuliko wote Tanzania, ila Bahati Mbaya kucheza yanga Amekuwa akishindwa kuaminiwa na Simba zaidi.

2. Kukaa Benchi kwa Muda mrefu nako kumechangia kiwango chake KUSHUKA.

Swali la kujiuliza Ally SALUM anauwezo kuliko kakolanya????

3. Kufika Mwezi Oktoba Manura atakuwa Fiti kwa asilimia 100.
Je huyo AYOUB amesajiliwa kwa LENGO Gani???
HUYO Abel amesajiliwa kwa LENGO Gani.?
Kuondoka kwa kakolanya kumesababisha Simba Kusajili magolikipa 5.

ALIONDOKA chama na MIQUISSONE Simba wakaenda Kusajili wachezaji 10.
Kuhusu Ayoub mimi natetea huo usajili asee, embu kapitie rekodi za injury za Manula ndio utajua

Beno alistahili kuwa chaguo la kwanza another team ndio maana akaamua kusepa

Kama ulivyosema wasajiLiwe mabeki wa kuwapa changamoto Zimbwe na Kapombe, ndio hivyo hivyo Ayoub kwa Manula.

Usajili wa Abel hapo hawakujipanga
 
Wachezaji wa Yanga wamewazidi Simba uharaka wa kwenda mbele , speed ya uchezaji. Ukipewa wachezaji wazuri ukaamua kuwabwaga tu uwanjani hukawii kuhisi ni wachovu.

Kuna sababu kwanini makocha wanalipwa mamilioni. Wachezaji wazuri hautoshi. Yanga ya Nabi vs Kaze.

Pale kapombe alipo unamfundisha nini???

Ngoja niende Ulaya.

MESI , Ronaldo, Mbappe, KDB nk
Hawa watu unawafundisha nini???

Fungua akili.
 
Hellow Wana JF.

Dirisha la Usajili la shirikisho la Soka Tanzania TFF na Lile la CAF limefungwa RASMI Jana 31AUGUST 2023.

Yale yote niliyoyaomba na Kupendekeza yafanyike ndani ya wekundu WA Msimbazi hayajafanyiwa kazi kwa asilimia 90% Hii imeniuma mno kama shabiki mwanachama na MSOMI WA UKOCHA.

MAMBO AMBAYO NILIPENDEKEZA KWA UONGOZI NA BENCHI LA UFUNDI WAYAFANYIE KAZI NA HAWAJAYAFANYIA KAZI.

1: Kuwabakisha Kakolanya na Onyango.

2: Niliwashauri Simba Wasajili beki kama Yao Yao Beki wa kuwachallange Kapombe na Shabalala pande zote mbili.
Beki anayecheza kulia na kushoto.

3: Nilishauri kuwa na Mabeki 3 wa KIMATAIFA WA kati.
[emoji3454]Inonga.
[emoji3454]Malone
[emoji3454]Onyango

5 : Kusajili Viungo wawili 6,8.
Nilipendekeza Simba ISAJILI kati ya Bangala au efoe Novon kwenye eneo la Kiungo mkabaji CDM 6...

Pia nilipendekeza Simba Kusajili kiungo No 8.
Kiungo kariba ya Aucho Akicheza 8
Kiongozi mpambanaji BOX TO BOX

6: pia nilipendekeza WASAJILI mshambuliaji mmoja mrefu 9 mwenye uwezo Mkubwa WA kumchallange Baleke.


MSIMU WA USAJILI NIKASHANGAZWA SANA NA USAJILI UNAOFANYIKA SIMBA.
USAJILI WOTE HAUENDANI NA FALSAFA UYA SIMBA LUNYASI.

.
UAJIULIZA ANAYEFANYA USAJILI WA HAWA MAWINGA ANAAKILI TIMAMU KWELI?????????
Zaidi ya mawinga 7

Mawinga. 2023
( 1. Peter Banda.)
2. Jimyson Mwinuke.
3. KIBU Denis.
4.Said Ntibazonkiza.
5. CLOTUS Chama 10-11.
6. Aubin Kramo.
7. Essomba Onana.
8. Luis Miquesson.

HAPA wenye uhakika ni 3 tu
7.Kibu
10.saido
11. Chama.

Hili KOSA lilifanyika 2020.
Mawinga walikuwa kumi, ukiunganisha idadi Yao mchango WAO MAGOLi hayafiki hata 10.

1 Bernald Morison.
2. Perfect CHIKWENDE.
3. Hassan Dilunga.
4. Ibrahim Ajibu.10--⁷
5.peter Banda.
6.pape sackho
7. Dunkan Nyoni
8. Valentine Muhilu.
9. KIBU Denis.
10. RALY BWALYA 8-10--11.
.
UNAJIULIZA HUU USAJILI UNAFANYWA NA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KWELI

Alex FERGASON ALIPATA kuwahi kusema
Safi Bora ya Ushambuliaji itakupa MAGOLi safu Bora ya ulinzi itakupa Mataji.

SIMBA WAMEPUUZA MAONI YANGU
MASHABIKI NA WANACHAMA JIANDAENI KISAIKOLOJIA.
KIUFUNDI SIMBA IPO HOVYO SANA. ILIAMUA KUSAJILI MAJINA NA SI WACHEZAJI.


SIKUONA SABABU ZOZOTE ZA MAANA ZA KUSAJILI.
1. GOLIKIPA AYOUB.
2. FABRICE NGOMA.
3. LUIS MIQUISSONE.
4. AUBIN KRAMO.
5. MOSES PHILI.
6. SADIO KANUTE.

Maeneo nyeti niliyowashauri WAYAFANYIE KAZI hawajayafanyia kazi.

N:B.
Simba Ina zaidi ya MICHEZO 60 MSIMU
[emoji3454]LIGI KUU MICHEZO 30.
[emoji3454]AZAM FEDERATION 6
[emoji3454]MPINDUZI +NGAO 6
[emoji3454]MECHI ZA KIRAFIKI. 6
[emoji3454]CAF CL. 6
[emoji3454]SUPER LEAGUE. 6.

MATOKEO yake.
[emoji3454]Inonga na Malone WANATAKIWA wacheze MICHEZO yote 60
Bila ADHABU Wala Majeraha.
[emoji3454]. Kapombe na shabala WANATAKIWA wacheze MICHEZO 60.
[emoji3454]Mzamiru Mgoma na kanute MICHEZO 60

NB: ANGALIZO:
NAOMBA UZI WANGU UCHANGIWE NA WATU WENYE UWEZO MPANA KIMAWAZO NA KIFIKRA NA SI VILAZA NA WAJINGA.
NGUVU moya
ACHA ITUUE.
Umemsahau kumuongelea Boko.

Boko wa kazi gani?
 
Kipofu hawezi kumuongoza kipofu Mwenzie either watapotea au watatumbukia.


FIKICHA AKILI.
Muda wa usajiri ulikuwepo, ungetoa pesa zako kutengeneza kikosi unachotakaa, unapiga kelele pesa za wenzakoo??
Unachekesha kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom