Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiandae kisaikolojia

Ndio umeandika nini hapa?
HUJUI KITU,
KAA KIMYA.
CHAMA NI WINGA?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umemjibu poa na kwa kutuliza akili.
Safi bro
 
Ndio umeandika nini hapa?
HUJUI KITU,
KAA KIMYA.
CHAMA NI WINGA?[emoji23][emoji23][emoji23]

UTABAKI na UJINGA WAKO.

Tunakwambia Akicheza namba 11 Robertinho anamtumia kama Free role au ANACHEZA kama Kiungo wa Pembeni huelewi..

Na si Robertinho tu Hata Patric Ausems alimtumia Chama kama 11.

7 Okwi.
8. Kotei.
9. Kagere.
10. Boko.
11. Chama.

MAKOCHA waliofuata Sven na Gomes ndio walikuwa wanatumia mshambuliaji mmoja MUGALU.
Chama AKAWA ANACHEZA No 10

Tangu amekuja Saido ndio ANACHEZA No 10
Chama ANATOKEA pembeni 11.

Bado unabisha Sijui Unabisha kitu Gani au unataka KUFURAHISHA Jukwaa.

Pole sana Kwa wazazi waliokuzaa na maziwa oluliyo nyonya mtoto MJINGA Kiasi hicho.
 
CAPO ulishambuliwa Sana na Wanasimba wenzio. Lakini kuanzia Leo watajua Ukuta wa Yeriko siyo ngome sahihi ya kuzuia mashambulizi.
 
Matatizo yote ya simba yapo hapa.

Hii ni rejea kwao.

Itawahukumu sana hii rejea.
 
Dah mkuu
Hili la kakolanya 👍🏽
Hili la mabeki wa pembeni👍🏽
Hili la kiungo👍🏽

Dah ulisema aisee
 
Kusikia kwa Kenge, mpaka damu zimtoke masikioni.
 
Inaonekana IQ yako ipo very low kijana.
 
TBT
 

Attachments

  • downloadfile-76.jpg
    98.5 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…