Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Yani amepoteza japo ka mvuto kadogo alikokua nakoBila kusahau pua, yaani amenenepa hadi pua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani amepoteza japo ka mvuto kadogo alikokua nakoBila kusahau pua, yaani amenenepa hadi pua
Ipiii hiyoo?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wangapi walio kuwa na nafas ya kutoka na hawakufanya hivyo? Kila kitu juhudi na uwezo wa kukipigania kile unacho hitajiii.My dear hivi unadhani wanaokosa hawana juhudi? what if vanessa angezaliwa uswekeni huku akakosa hata jinsi ya kutoka ?
Au unadhani wangapi wamepata na wakiwa na akili/juhudi/uwezo na wakaachwa tu out of blue?
Mgangaa anajua kupiga dekii na kusugua kiharagee, msingi wake ni kiunooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mganga huwa hajibu, unamkumbuka Yule mmanga aliyeachwa kabla ya Diva? Alipaparika hadi Kwa Mange, mganga kimya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mganga atakuwa na vitu adimu huyu tatizo hana hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona akiwaacha wanapagawaga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
cocastic mganga aundiwe tume huyu, ana nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dear sikuweziii wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mganga anaonesha kabisa shughuli anaijua, kitandani hana papara anapiga deki hadi mtaro, anajua kudekeza na kumfanya mwanamke afungue pochi ampe mihela, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Diva apige moyo konde ajipange kumsahau, asilete maneno mingi.
Yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mange nyokooo sana
Ndio maana anahangaika sana kujiedit.Ndio nakubaliana na ww..ila yy kunenepa uso hakujampendeza
Ewaaa, msingi wake kiuno anakitumia vema,Mgangaa anajua kupiga dekii na kusugua kiharagee, msingi wake ni kiunooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Diva anasema alifungwa akiliiii, woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan alisema Faiza, kuwa mganga ana mwanamke mwingine, yeye mbibi alikataa na kumshambuliaa vikalii, kumbe kwelii.Ewaaa, msingi wake kiuno anakitumia vema,
Nasikia kaoa sugar mamy hiyo ndio imemuumiza shoga angu maskini anaona raha zake anashare na mwingine.
kama alikua akidundwa, sina comment mpya zaidi ya kubariki tu Alichokichagua.Akati amesema alikua anapigwa na kudundwa vibaya had mimba yake imeharibika.
Mganga mwenye sifa za kuweza kulogaIla sheikh mwenyewe kimeo
Andaa mazingira usiku ..Njoo tulale kitanda kinapwaya mamy😂
Na mganga wake
Wanawake hawana malengo, sasa haya mabusu yote, na anachosema sasa ni tofauti, kwenye hayo mabusu tu unaona analazimisha na jamaa wala hana mzuka.
Limechukuliwa kwa uzito🤣Andaa mazingira usiku ..
Vijana hawana siri moyoni tena , wakigombana kidogo wanakimbilia kuujulisha umma vitu ambavyo hata havituhusu !! Yaache yafarakane tu
Ngoja tusubiriAtasema tuu, si yameshaharibika😎
Akati amesema alikua anapigwa na kudundwa vibaya had mimba yake imeharibika.