DOKEZO Diwani Athuman kuondolewa TISS mwishoni mwa 2022. Mikutano ya Vyama vya Siasa kuruhusiwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
CCM kwenye MAKARATASI na KATIBA ilisukwa vizuri sana,

Nilisema Nchi Hii tutapata KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA Kwa AMANI.

Na itakamolika 2026.

TINDO aelimishwe maana Yeye anaamini njia ya machafuko,

Mungu ibariki TANZANIA. Aamen.
 
Hands up!, nimekunyanyulia mikono.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…