Ilipostiwa ikafichwa si umeona hata usajili wake haueleweki, probably hata imepostiwa leo wakai-backdateOya wadau hii kitu ilipostiwa December 2 mwaka 2022 halafu yametimia.. huyu aliyepost yeye ni nani?
Halafu hii post ndio naiona leo asee
hii kauli niliisikia pia nikasema naona mpango ni 2025 basiiiiiRais Samia anaweza asigombee 2025 Ila akafanikisha Katiba mpya maana Kuna kauli ya nilimsikia anaongea kwamba anataka anapomaliza Miaka Yake 5 awe amewatendea Jambo Watzn..
Hili jamaa limeeditOya wadau hii kitu ilipostiwa December 2 mwaka 2022 halafu yametimia.. huyu aliyepost yeye ni nani?
Halafu hii post ndio naiona leo asee
Yani hiyo ndio siri?Tuanzie ya Magufuli kuugua na kufa
Unajipendekeza?Hakuna kama Samia
Serikali ilitangaza Magufuli alikuwa anaumwa? Waziri Mkuu hakusema kuwa alikuwa anachapa kazi? Na Kuna watu wengi walikamatwa kwa kusema alikuwa mgonjwaYani hiyo ndio siri?
Mbona hilo ni suala la mwishoni kabisa ambalo wala haikuwa siri?
Taja siri za ikulu alizotoa kigogo
Hands up!, nimekunyanyulia mikono.Chanzo cha uhakika ndani ya corridor za Ikulu kimenihakikishia Samia anataka kuisuka upya Serikali yake.
Pia chanzo hiki kimeniambia Katiba Mpya iko njiani. Samia anataka aache legacy hii. Pamoja na hilo, ataruhusu kwa haraka mikutano ya vyama vya siasa ikiwa ni ishara ya kukubali maridhiano yaliyokuwa yakitafutwa kwa muda sasa.
PM wetu anatosha saaana, sema kuna kumdi linamuhujumu wakifikiri mbele ya safari ataziba nafasi zao, lakini huyu mzee hana mambo mengiMkuu hapo Ikulu hebu hakikisheni Kassim Majaliwa anatumbuliwa maana hii nchi hana Huwezo wa kuwa PM
Swala la kifo cha Magu alilishikilia bango mapema huku wananchi tukiambiwa yuko ofisini anachapa kazi. Mwisho wa siku unatangazwa rasmi msiba wa taifaTaja siri 2 tu za ikulu zilizovuja alizovujisha kigogo?
Kigogo alikuwa anawalisha uzushi siyo siri zile
Sahihi mkuuSababu wangeuachia yaliyotokea yasingetokea.
Kuna uwezekano kuna nyuzi nyingi za aina hii
Kwanini nguvu hutumika kubwa?Nani mwehu wa kuchagua chadema , jamaa huwa nawashangaa sjui hata huwa wanajiaminisha nini , labda Kwa vile viongozi wao hula mara mbili
Hawabani ila wanamuamini mtoa taarifaJF wana bana habari?
Basi huu utakuwa mfano!