DOKEZO Diwani Athuman kuondolewa TISS mwishoni mwa 2022. Mikutano ya Vyama vya Siasa kuruhusiwa

DOKEZO Diwani Athuman kuondolewa TISS mwishoni mwa 2022. Mikutano ya Vyama vya Siasa kuruhusiwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Yaan umejiita Anonymous Guest ili tusikujue na a/c yako imepigwa lock na JF, sawa uwe unatuletea taarifa zingine kutoka huko jikoni sasa, naona taarifa zitakuwa zinavuja sio kawaida.
Huu uzi ni questionable

Umetumwa 2 Dec. 2022 ambayo ilikuwa siku ya Ijumaa, mchangiaji wa kwanza na wengine waliofuata wakachangia Wednesday siku isiyo na tarehe

Screenshot_20230106_010733_Samsung Internet.jpg
 
Chanzo cha uhakika ndani ya corridor za Ikulu kimenihakikishia Samia anataka kuisuka upya Serikali yake.

Chanzo hiki kimenieleza pia kuwa mabadiliko zaidi yatafanywa kimkakati na kuna watakaoondoka na maji hivi karibuni.

Pia chanzo hiki kimeniambia Katiba Mpya iko njiani. Samia anataka aache legacy hii. Pamoja na hilo, ataruhusu kwa haraka mikutano ya vyama vya siasa ikiwa ni ishara ya kukubali maridhiano yaliyokuwa yakitafutwa kwa muda sasa.

Kama haya yatakuwa ya kweli, Samia atakuwa amejiongezea credit kisiasa lakini anaweza kuwa anatengeneza pia kundi jipya linaloweza kumsumbua baadae.

Utabiri bora kabisa
 
2 Dec. 2022 hadi Wedn isiyo na tarehe kuna mchezo gani ulifanyiika?
Je ni uzi ulifungiwa?
Sielewi vizuri hapa


Screenshot_20230106_011225_Samsung Internet.jpg
 
Utata ni kuwa huyu jamaa aliyepost ni nani, bila Shaka atakuwa ni mtu wa cybercrime, kuna mwamba pia alishawahi kupost humu zamani Sana kipind cha JK kuwa Rais atakayefata ni Magufuli Ila hatafika 2023, badala yake atatawala mwanamke na yeye sijui ataishia wap wapi... Halafu jamaa alipotea mpaka Leo, Uzi wenyewe sijui JamiiForums walipita nao
Huko Ni kubahatisha ndo Mana jf hawataki nyuzi za kipumbavu kila mtu Ni nabii
 
Soma tarehe na siku ya uzi ulipopostiwa kisha soma mchangiaji wa kwanza alichangia lini na kwa utaratibu wa JF kila post ina tag ya tarehe
Jf haina utaratibu kwamba uzi Ni lazima uchangiwe? Ulipostiwa hakuna aliechangia Hadi jtano na Ni juzi haiwezi weka tarehe

Hata simu yako Kama missed call haijamaliza masaa 24 huwa inaandika masaa tu ya hio missed call yakifika 24hrs inaanza andika 1 day ago, 2 days ago kuendelea mpaka siku flani ndo inaanza weka tarehe

Ni kitu simple Sana mbona hiko
 
Jf haina utaratibu kwamba uzi Ni lazima uchangiwe? Ulipostiwa hakuna aliechangia Hadi jtano na Ni juzi haiwezi weka tarehe
Sijawahi kuona uzi sensitive kama huu ukawe bila mchangiaji kwa kipindi kirefu hivyo, tangu 2 Dec mpaka juzi, anyway silazimmishi hoja yangu lakini ninakitu najiuliza kinakosa majibu
 
Sijawahi kuona uzi sensitive kama huu ukawe bila mchangiaji kwa kipindi kirefu hivyo, tangu 2 Dec mpaka juzi, anyway silazimmishi hoja yangu lakini ninakitu najiuliza kinakosa majibu
Kitu gani unachojiuliza

Kuna mawili either wali u ignore hivo ukawa hautokei kwa juu juu kwenye trending nk
Au moderator waliu ushusha juzi wakaamua upandisha tena
 
Sijawahi kuona uzi sensitive kama huu ukawe bila mchangiaji kwa kipindi kirefu hivyo, tangu 2 Dec mpaka juzi, anyway silazimmishi hoja yangu lakini ninakitu najiuliza kinakosa majibu

Wachache sana watakuelewa
 
Wana teua. Vimada wa maboss kushika nyazifa. Nzito kitaifa , and hence we back on trending............ Nyingine inakuja





..TUSIJE SHANGAA MGOMBEA WA CCM WA URAISI NI """MLOPOKAJI """JUNIOR



HENCE. POST HII IWEKWE KATIKA HISTORIA
 
Back
Top Bottom