Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Status
Not open for further replies.
Swadakta. Wote ni ndugu
 
Jamani tunajua IGP mpya soon will be on air ila Wawalipe askari kwanza posho zao ni miezi miwili sasa mam amewapiga mwingi!!

[emoji16][emoji16][emoji16] Poleni askari wetu!! Hasa JWTZ mungu awalinde
 
Usichanganye MI na TISS kuwa MI haikupi nafasi uwe mkurugenzi wa TISS. Huwezi kuwa mkurugenzi wa TISS bila kuwa TISS.
Hapo huwezi ona mtu kutoka MI anakuwa DG wa TISS. Ingawa naamini kabisa kama atatoka JWTZ basi ni kati ya MAJENERALI WA JUU PALE KUANZIA MEJA JENERALI na ambaye hata hakuwa kitengo cha MI.
 
Mkuu kwamba umeandika ili lisitokee au? 😁
 
ambacho hutaki kuamini ni nini sasa kwenye nchi kama Bongo?
 
Diwani ndio alikua anambebea Mahita mikoba kile kipindi tunaambiwa CUF ni chama cha magaidi wameingiza mapanga bandarini.
 
Ongeza na mtu mmoja, haongei sana ila nimtendaji kweli kweli RPC wa MISENYI kama sikosei, alikua Tanga Chatanda
 
Ila waweza kuwa JWTZ na ukawa Mkuu wa Magereza
 
Kuna RPC mmoja namkubali sana, haongei sana ila nimtendaji kweli kweli RPC wa mkoa wa Simiyu nadhani BLASIUS CHATANDA, Ni mtendaji Sana, Kila anapopelekwa mkoa anautendea haki kwakweli. Japo sio mtu wa Medea Sanaa.
 
Jamani tunajua IGP mpya soon will be on air ila Wawalipe askari kwanza posho zao ni miezi miwili sasa mam amewapiga mwingi!!

[emoji16][emoji16][emoji16] Poleni askari wetu!! Hasa JWTZ mungu awalinde
Posho gani hizo hawalipwi?
Bora tuteseke wote kama tunavyoteseka raia.
 
Kwa Wambura kuwa IGP inakuwa ngumu maana itaonekana kama mkoa huo wanapokezana ukuu wa polisi
 
SOFIA JONGO VIPI ALIYEKUWA RPC TABORA NOW YUPO TANGA
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…