NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
D😀😀😀[emoji23][emoji28][emoji2]Sahivi ni kujiita Mohamed au Athumani
Athumani Benjamin Netanyau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
D😀😀😀[emoji23][emoji28][emoji2]Sahivi ni kujiita Mohamed au Athumani
Obviously wewe ndiye huko sawa,na possibly sio rijali.Mwaume unakubali kuongozwa na mwanamke,it is a shame.God did not create a man that way.God created a man to be a leader,not to be led a by Woman!Wai,nenda kafie mbali,mwanaume gani wewe.Mtu anayehusisha kila kitu na nguvu za gizs huwa namwona somewhere hayupo sawa kichwani
MPONJOLIKwa kweli Kaganda anafaa kuwa IGP
Naunga mkono hoja, Suzy ni kabinti Ka Mama Kamm pale Weruweru, sisi Ilboru tukiwa ndio ma Kaka zao. She is capable, well mannered, very displined and no nonsense lady.MY TAKE;
Kwa Nchi ilipofika, natamani SACP Susan Kaganda, ndo awe IGP Mpya
Asante mkuu. Siku hizi najifunza sana kupambanua mamboShukrani mchungaji Maghayo, Allah akubariki
Umeacha kuvuta sigara na kula wazee wa kizunguAsante mkuu. Siku hizi najifunza sana kupambanua mambo
Huenda alishindwa ku control emotionsHuwezi kujua kilicho mfanya ajiamini kuongea vile ni nini?
Hii wala si uongo bahari huwa inatulia sana ndugu zetu wakitawala, ila tukiwa sie ngoma huwa yakibabe sana.Shukrani mchungaji Maghayo, Allah akubariki
Wewe lazima uwe mtu uliyebarikiwa sana, maana ni mtu wa SHUKRANI sana.Ahsante kwa taarifa...
Wewe lazima uwe mtu uliyebarikiwa sana, maana ni mtu wa SHUKRANI sana.
Asante mkuu. Siku hizi najifunza sana kupambanua mambo
Hakika, inapendeza sana kusikia hivyo...Wewe lazima uwe mtu uliyebarikiwa sana, maana ni mtu wa SHUKRANI sana.
Anahusikaje?Wambura ana doa. Kwenye kesi ya Mbowe ana husika. Hivyo asahau.
Ana demu wake anaitwa mahondwa sijui wameachana au vipi.Inapendeza sana kusikia hivyo...hakika...