Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Mkuu nipe dili kitengoni uko
 
Angalau umeliweka sawa hili maana tuna kasumba ya kutumia maneno bila kuzingatia maana yake halisi?
 
Na mimi unajua maana ya kusema acha kuongopa

ningesema moja kwa moja kuwa diwani aliwahi kuwa naibu wa IGP hapo ungesema niache uongo, but nilichosema ni kama kumbukumbu zangu ziko sawa, so ww ungekuwa ni over 18yrs old ungesema hapana kumbukumbu zako haziko sawa, diwani hajawahi kuwa kaimu IGP then mjadala unaendelea,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…