Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani ni sukuma gang. Mama kaamua kumchinjilia mbali
Who is next?
D9B8ACA5-BFE8-41A3-8B22-8BD6510AAE0D.jpeg
 
Hongera Diwani kwa kujiuzulu kutunza heshima yako[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Ila una madudu mengi Sana mafaili yako yakipekuliwa duh sijui kama utapona!!!

Inaonyesha ndani ya siku moja mafaili yako uliyokuwa umeyakalia yamedakwa sisi tunakuombea uvuke salama[emoji120][emoji120]
Mkuu nipe dili kitengoni uko
 
Awepo 'mole' alafu apeleke taarifa kwa Samia? Sasa huyo sio mole ni agent na anachokifanya ni kazi yake, mole ni yule jasusi wa organization fulani kajichomeka kuajiriwa kwenye taasisi nyingine ya intelligence. Utawakuta Wanyarwanda hizi nchi za EAC wanareport kwa NISS, ndio moles hao
Angalau umeliweka sawa hili maana tuna kasumba ya kutumia maneno bila kuzingatia maana yake halisi?
 
Na mimi unajua maana ya kusema acha kuongopa

ningesema moja kwa moja kuwa diwani aliwahi kuwa naibu wa IGP hapo ungesema niache uongo, but nilichosema ni kama kumbukumbu zangu ziko sawa, so ww ungekuwa ni over 18yrs old ungesema hapana kumbukumbu zako haziko sawa, diwani hajawahi kuwa kaimu IGP then mjadala unaendelea,
 
Back
Top Bottom