technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Imekuwa Kama Bashiru Ally Kakulwa Aliteuliwa Hajaapa Mpaka KutenguliwaPole yake. Hata kiapo hajaambulia
Shida nini atakuwa kama yule TPDC naye aliteuliwa na kutenguliwa
ππππππ€£π€£π€£π€£π€£πππArudishwe akawe mkuu wa kituo chochote ch polisi huko mawilayani
Hana jeuri ya kumkatalia rais kwa nafasi aliyokuwa nayo. Vinginevyo atakwenda peponiSababu ya kwanza naamini ndio inaelekea kuwa kubwa zaidi, kwani ni ka tabia kwetu kuzichukulia hizi teuzi kama kulamba asali, hivyo kwa akili ya kawaida inategemewa mteuliwa lazima akubali nafasi anayopewa, kumbe kwa wengine hali inaweza kuwa tofauti.
Kwa Mzilankende Yalitokea..Raisi hajui anafanya nini.
..haya mambo yalikuwa hayatokei mara kwa mara wakati wa Maraisi waliotangulia.
Kwahiyo akikataa demotion ndo anabaki na nafasi ile ile?
Umejuaje kama aliwahi kulima au umejuaje kama yuko interested na kilimo sasa hivi. Diwani pale Magu alipofariki alijua kabisa kile cheo hakai, surprisingly amekaa kaa kidogo tofauti na uzoefu wa medani ulivyoonyesha. Haijamshtua wala haijawashtua wenye medani yao kama alivyoondoka Modestus Kipilimba.Ni TAARIFA za kweli Diwani Athumani aliyeteuliwa KUWA katibu mkuu Ikulu ametenguliwa na hajapangiwa nafasi NYINGINE anarudi kwao kulima.
HatariMhhh!! Sisi wengine yetu macho na masikio tu.
Sheria gani inasema hivi?...hebu tuwekeeKukataa ni uhaini na adhabu ni inaweza kuwa kifo au kuishi kama marehemu jumbe... (RIP)
Hivyo msiwe mna andika ili mradi kuandika... una zani kwann wakina mbowe hawakatai wakiitwa kwenda kwa Mh. Ikulu? Ni uhaini kukataa wewe kama mtanzania kwa nchi yako
Ninyi vijana wa 90s, hamjui kuna kazi unaolewa mpaka kifo.
Kwa wadhifa aliokuwa nao Diwani must be UNDER total control, or neutralised.
Kwahiyo kastuka leo.ndio kajua yote hayoo na ikiwa yeye ni rais[emoji1787][emoji1787]Hakuna mtu anayehudumu TISS na ambaye ni Member wa TISS akateuliwa kazi yoyote na Rais akagoma.
Rais atakuwa amestuka kuwa kumuweka Ikulu karibu yake mtu aliyekuwa anaendesha mission za kuonea wapinzani kutaathiri mipango yake ya zile R nne
Daah!!!!Arudishwe akawe mkuu wa kituo chochote ch polisi huko mawilayani
Huu uzi umekaa kimitego sana. Kuna uzi nimeufungua ufuatilie, unahusiana na kiapo cha utii kwa RaisSasa wazee kama ninyi ndio tulitaka mtupe nondo za maana na nyie mnakomenti kiufupi tu duuuh, wazee wa siku hizi ni wahuni tu.
Cc Mshana Jr