technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hongera Diwani kwa kujiuzulu kutunza heshima yako🙏🙏🙏🙏
Ila una madudu mengi Sana mafaili yako yakipekuliwa duh sijui kama utapona!!!
Inaonyesha ndani ya siku moja mafaili yako uliyokuwa umeyakalia yamedakwa sisi tunakuombea uvuke salama🙏🙏
Ila una madudu mengi Sana mafaili yako yakipekuliwa duh sijui kama utapona!!!
Inaonyesha ndani ya siku moja mafaili yako uliyokuwa umeyakalia yamedakwa sisi tunakuombea uvuke salama🙏🙏