Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Kama ni mlevi hivyo ilikuwaje wananchi wa Kawe wakamchagua kuwa diwani wao?!
Au ndo yale mambo ya kura za kupewa mezani!
 
Ila huyo Ashura naye ajifikirie Mara mbili,


Hivi kata imekaa miezi mitatu bila mwakilishi huku akiwa amemficha mheshimiwa Sana wao ndani.........!
 
Asante Mrangi kwa kazi nzuri ambayo kama bila wewe Jeshi la polisi kuanzia RPC na mkuu wa Jeshi la polisi wangechafuka kuwa huyo diwani katekwa na wasiojulikana kumbe yuko kwenye kifua cha malaya analia nipe nipe kingine nasikia nyege
 
Umeona eeeh, Yani hili unalifungia, unaliogesha maji ya hiriki na vanilla, unalilisha....na kulipa yooooteee.
Mimi huyu polisi wasingemuona Leo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie Ashura amefaidi wallah, sio kwa mutta huyu mweeeh, mbna angesepa nae mbali huko.
 
Hao ukijaribu kutoka kazi sana. Na hawana gharama za kwenda vacations sijui kidimbwi

Tatizo huchelewi kunogewa unajikuta unamnunulia kiwanja chanika huko unamjengea nyumba kama utani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…