balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hata Mimi niliuonaHahaha
Kuna comment moja nlichangia uzi
Wa johnthebaptist nlisema jamaa
Yupo tbt, na inasemekana yuko na dem....anaitwa A.M
Sasa mnamjua huyo A.m ni nani???
Watu mlishindwa ngamua code humu
Ova
mrangi eti huyu ndo ashura?Ashura kama Ashura. Diwani alikua sehemu salama sana hahahahahahahahaView attachment 2236886
Hao ndiyo genge linalotuongoza, ingetosha ICT kureplace baadhi ya nafasi za kisiasa nchiniDuu..kwaio kipindi chote hiki diwani anatafutwa kwanini huyo mwanamke asingetoa taarifa kuwa yupo nae wanakula uroda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ni kijana wa Mama Marehemu Rwakatare?HUYO bilionea MUTA ameanza kunywa pombe Leo??!!
Na wewe Ashura bila AIBU unamuweka kinyumba mtoto wa Marehemu Askofu?
Ndio mkuu mtoto wake Huyo. Ni diwani wa Kawe, rais wa chama cha ngumu Tanzania pia mchungaji msaidizi pale Mikocheni B Assemblies of God.Kumbe ni kijana wa Mama Marehemu Rwakatare?
HahahaWaumini Kama kawaida yenu mjitokeze Kwa wingi pastor karejea View attachment 2236952
TUTAENDA KWANI HAKUNA BINADAMU ALIYEKAMILIKA.Waumini Kama kawaida yenu mjitokeze Kwa wingi pastor karejea View attachment 2236952
Shukrani.Ndio mkuu mtoto wake Huyo. Ni diwani wa Kawe, rais wa chama cha ngumu Tanzania pia mchungaji msaidizi pale Mikocheni B Assemblies of God.
Wewe si mtu mzuri.Hahaha
Kuna comment moja nlichangia uzi
Wa johnthebaptist nlisema jamaa
Yupo tbt, na inasemekana yuko na dem....anaitwa A.M
Sasa mnamjua huyo A.m ni nani???
Watu mlishindwa ngamua code humu
Ova
Ana mke na watoto. Pia Mutta ni mchungaji kwenye kanisa alililoliacha mama yao.Yaani ni shida. Imagine mke haujui mmeo yupo wapi kwa miezi 3.Kumbe anae hata mke wooooiiii😅😅😅😅
Mnamhurumia siyo?Ana mke na watoto. Pia Mutta ni mchungaji kwenye kanisa alililoliacha mama yao.Yaani ni shida. Imagine mke haujui mmeo yupo wapi kwa miezi 3.
Uyo jamaa ni teja mkubwa tuMiezi mitatu alikuwa kalewa tu! Kwanini asiibukie kituo cha polisi au kanisani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ashuraaaa [emoji16] ajengewe sanamu kabisa.
mwenye miaka 43Akutwa kwa mwanamke wa kizaramo